Katibu wa TEC: Maaskofu wanahitaji kuisoma mikataba iliyosainiwa, walipoitwa hawakuambiwa kulikuwa na nini

Katibu wa TEC: Maaskofu wanahitaji kuisoma mikataba iliyosainiwa, walipoitwa hawakuambiwa kulikuwa na nini

Nyie si mnajifanya mna WATU serikalini na mna watu kwenye system haya tafuteni hiyo mikataba kisha mvujishe
 
Mpoto aliharibu sana kuwakejeli TEC!
Sasa waitakemikataba waisome.
Tofauti na hapo watoe waraka mwingine
 
Namuunga mkono na miguu kabisa.

Mkataba uwekwe hadharani kwa kuwa mwenye nchi ni Mwananchi na anapaswa kujua yaliyomo yamo.

Tupokee taarifa ya kusainiana mkataba huu kwa tahadhari sana.

Kama nchi tunalipishwa mabilioni ya dollar kwa mikataba mibovu viongozi wetu waliotuingiza kama hawajui kusoma na kuona kesho kwenye vision yao.
Happy to see you again.
 
Duh, kumbe wameitwa na kukuta agenda palepale na wapigapicha wakajitahidi kuwafotoa ili waonekane na jamii. Mbaya Sana hii kama ni kweli
 
Kitima akatoe matunzo kwa wanawake aliowazalisha.
Huyu jamaa anayejificha kwenye kivuli cha udini wakati kila mtu anajuwa ni Chadema. Apewe mkataba asome kama nani yeye? anamuwakilisha nani? anatka kuingia kwenye siasa agombee tu wanaweza kuanzisha chama cha siasa cha maaskofu halafu ndio acheze ngoma za siasa. Kuna kijitu nchi hii mijinga sana walishaota mapembe kujiona wako juu ya siasa hajui kuwa humo ndani ya vyama kuna waumini kwa maelfu wamegombea na wanamuwakilisha hata yeye kwenye siasa. Akamuombe Papa Vatican wapewe mikataba ya Vatican pia wasome.
 
samia Hilo suala la hili limkataba la bandari ilikuwa afe kipa afe beki ilikuwa harudi nyuma na ndio mana kafanya aliyoamua kuyafanya ili DP uanze kazi bandarini.

Kuna ajenda ya siri sana inafichwa juu ya suala hili waTanganyika tuombe sana

Imagine mwarabu wa DP kabla hata hajaanza kazi bandarini keshafika Njombe kuangalia ardhi ili awekeze huko sasa unajiuliza wamekuja kwa ajili ya bandari au na mambo mengine?
Ile ya njombe hata sijaelewa maana mtu kaja kwa ajili ya bandari sasa njombe anatafuta nini?
 
Hata viongozi wa vyama vya upinzani huitwa hivyo. Wakitoka tunawalaumu wameonjeshwa asali.
 
Imagine halafu kumbe wanajenga misikiti

Hili suala waTanganyika tusipofungua jicho la tatu kuna madhara makubwa sana yanaenda kutokea huko mbele ya safari
Hiyo story ya misikiti siyo hoja maana hatujui ukweli ila njombe anasema anataka kuwekeza ndio ajabu maana wao wamekuja for bandari hata hawajaanza wameshaanza kukagua mashamba njombe hapo kidogo wapunguze spidi
 
Hiyo story ya misikiti siyo hoja maana hatujui ukweli ila njombe anasema anataka kuwekeza ndio ajabu maana wao wamekuja for bandari hata hawajaanza wameshaanza kukagua mashamba njombe hapo kidogo wapunguze spidi
Hatari sana
 
Back
Top Bottom