Katibu wa TEC: Maaskofu wanahitaji kuisoma mikataba iliyosainiwa, walipoitwa hawakuambiwa kulikuwa na nini

Katibu wa TEC: Maaskofu wanahitaji kuisoma mikataba iliyosainiwa, walipoitwa hawakuambiwa kulikuwa na nini

Huyu jamaa anayejificha kwenye kivuli cha udini wakati kila mtu anajuwa ni Chadema. Apewe mkataba asome kama nani yeye? anamuwakilisha nani? anatka kuingia kwenye siasa agombee tu wanaweza kuanzisha chama cha siasa cha maaskofu halafu ndio acheze ngoma za siasa. Kuna kijitu nchi hii mijinga sana walishaota mapembe kujiona wako juu ya siasa hajui kuwa humo ndani ya vyama kuna waumini kwa maelfu wamegombea na wanamuwakilisha hata yeye kwenye siasa. Akamuombe Papa Vatican wapewe mikataba ya Vatican pia wasome.
Ondoa upumbavu wako hapa. Udini, udini, imeanza lini kuhoji mambo ya serikali ukawa udini. Kwahiyo wewe uwe na haki hiyo, yeye asiwenayo? Hovyo kabisa wewe jamaa. Akiwa kiongozi wa dini au Chadema ndio anakosa haki ya kuhoji mambo? Yeye si mtanzania? Humpendi jinyonge.
 
Ondoa upumbavu wako hapa. Udini, udini, imeanza lini kuhoji mambo ya serikali ukawa udini. Kwahiyo wewe uwe na haki hiyo, yeye asiwenayo? Hovyo kabisa wewe jamaa. Akiwa kiongozi wa dini au Chadema ndio anakosa haki ya kuhoji mambo? Yeye si mtanzania? Humpendi jinyonge.
Mbona ume panic jiwe limekupiga. Aseme tu mimi ni mwanaharakati wa Chadema sio kujificha sijui katibu wa maskofu. Mbona Gwajina kasema tu mimi CCM na mchungaji hakuna shida. Kama mwanamme kweli aseme yeye ni nani sio kujificha kwenye kivuli cha udini huo ni uwoga. Kwanza sasa hivi hana thamani yoyote kaalikwa kapigwa mawe na kina Mrisho sura akaishusha na mpiga picha kaambiwa peleka kule camera. Unacheza na CCM weweee
 
It's like a page from Mario Puzzo Novel (Actually this is Stranger than Fiction)....; Gives a Whole new Meaning to Banana Republic...
 
TEC waachane na mambo ya bandari kwa sasa imeisha hiyo it's too late! wakae kwa kutulia waende kanisani wadili na kondoo waliopotea CCM sio viumbe wema.
 
Unajua huu mkataba unakuhusu wewe na watoto wako?
Unajua unatakiwa kutetea raslimali za nchi kwa ajili ya vizazi vyetu?
Kwanini unashindwa kutumia akili japo kama kuku?
Wewe ni mmoja ya watu wasio na faida kabisa sio kwa Nchi bali hata kwa familia yako! (kama unayo)
Sasa mkuu mimi naamini ile nadharia ya kuwa mali zote pamoja na rasilimali za Nchi zinatoka kwa Mungu na yeye pekee ndiye mwenye nguvu na mamlaka ya kulinda hizo mali.

Ikitokea Mungu kaona serikali ya samia haitendi haki kwenye uangalizi wa mali zake Mungu ataleta serikali nyingine kwaajili ya kuzilinda mali zake zote. Kwa sasa relax na ujifunze kutofautisha viongozi ili akija mwingine mwenye misimamo msimpinge.

Kazi ya kanisa ni kulingania kondoo wa bwana na sio kuwa mtetezi wa mali.
 
samia Hilo suala la hili limkataba la bandari ilikuwa afe kipa afe beki ilikuwa harudi nyuma na ndio mana kafanya aliyoamua kuyafanya ili DP uanze kazi bandarini.

Kuna ajenda ya siri sana inafichwa juu ya suala hili waTanganyika tuombe sana

Imagine mwarabu wa DP kabla hata hajaanza kazi bandarini keshafika Njombe kuangalia ardhi ili awekeze huko sasa unajiuliza wamekuja kwa ajili ya bandari au na mambo mengine?
Sasa watu ni muhimu wajiulize swali; hivi kweli msimamizi wa haya ni Samia, au kuna nguvu nyingine pembeni inayomwendesha kama lori?
 
Udini unataka kutafuna taifa hili, tukae macho. Watu wamedhamiria haswaa, wamejipanga kumchafulia kwa lolote atakalofanya.......watajifanya kukataa kila kitu ili mradi tu nia yao ovu itimie.
 
Father Kitima angerudi kanisani kuungamisha waumini wanaomtafuta ili watubu dhambi zao haya masuala ni ya kiuchumi tena ya kina sana angeachana nayo tu.
Maswala ya kifisadi unayaita ya "kiuchumi"?

Maswala ya kiuchumi ndiyo yanayoondoa heshima kwa kiongozi wa nchi kuwa mwongo bla ya aibu yoyote?

Inavyoonekana sasa ni wazi kuna nguvu kubwa pembeni nyuma ya swala hili. Hili siyo swala la Samia, yeye ni mateka tu.
WaTanzania watalishughulikia.
 
Suala la mkataba bandari limeisha.
sasa tupo kwenye utelekezaji
Mikataba huwa haiwekwi hadharani, juna wahusika serikalini ndio kazi yao.
TEC wajiandae na krimas inakuja.
...Sheria inasemaje kuhusu Bunge kuiona na Kuijadili Mikataba..??
 
Na bado,watajenga Hadi hospital na shule ili kuvuna waumini Kama kanisa lilivyofanya tangu ukoloni
Njombe na mbeya hapatakiwi kujenga misikiti!?..kumbe kelele zote hofu ni hiyo!?
...Jina lako linaonyesha Ulivyo...!!
 
Kiswahili tunasema "wanajitowa kimasomaso".

Hao wanaelewa nini kinaendelea kabla hata ya waliopo kwenye serikali wengi tu.

Eti walikuwa hawajui wameenda kufanya nini. Uongo mtupu.
...Una Ushahidi ???...
 
Wanaotusababishia hasara kwa kutuingiza kwenye mikataba hiyo mibovu wako ndani ya uwezo wetu.

Natamani siku moja tupate wanajeshi wazalendo waongoze nchi na kuwashughulikia kisawasawa hawa hayawani, maana hata wakitoka kwa njia ya kura hakuna hakika kama watakaoingia watakuwa tofauti.
Kwa haya tunayoyashuhudia sasa katika utawala huu, hayo unayoyaeleza na kuyatamani inawezekana sasa yasibaki kuwa matamanio tu!
 
Back
Top Bottom