Katibu Wizara ya Nishati Felchesmi Mramba: Umeme unaokuja kutoka Ethiopia utakuwa na hasara lakini hiyo hasara haituhusu

"Umeme utakaonunuliwa utakuwa na hasara, Lakini hiyo hasara haituhusu"🤔
😂🤣 Hapa wametengeneza excuse kabisa.

Likitokea la kutokea ambalo lazima litokee huyu Bibi akimaliza muhula wake, watasema tulisema utakuwa na hasara

Yaani Tanzania kwa Afrika ndio mambonda wa mwisho. Tunadanganywa sana na mafisadi.
 
Kulikuwa na ulazima gani wa kujenga Bwawa la Nyerere, kununua umeme wa gharama wa mitambo ya mafuta na gesi na nchi kuingia kwenye mgao mkubwa ikiwa umeme wa kutosha wa bei nafuu na uhakika ulikuwa unapatikana nchi jirani?
 
Sasa nimeamini kitendo cha kuiamini Sisiem au kujiunga nayo kwa jambo lolote,unapoteza uwezo wa kufikiri.Huyu mchaga hakupaswa kusema haya mambo ya ajabu ajabu hivi
 
Kulikuwa na ulazima gani wa kujenga Bwawa la Nyerere, kununua umeme wa gharama wa mitambo ya mafuta na gesi na nchi kuingia kwenye mgao mkubwa ikiwa umeme wa kutosha wa bei nafuu na uhakika ulikuwa unapatikana nchi jirani?
Hivi vitu vinauma sana
 
Walioshindwa hisabati utawajua,
 
Hivi Arusha na Mara au Mwanza kwa kusafirisha umeme wa Gridi wapi mbali au suluhisho la kununua umeme haliwexi kufanya kazi mara kupitia Sirari
Nashauri mikoa ya Mipakani tununue umeme nje.
 
Wakati linajengwa bwawa la Nyerere hizi hadithi hazikuwepo leo ni utapeli tupu
 
Kwa Sarakasi za Tanesco kila kukicha Wananchi wamebaki na maneno ya Megawatts,Kilowatts sasa hivi wameleta kipengele kutumia umeme wa kwao ni hasara kubwa tena wa maji kuliko kununua Nje ya Nchi ambao USD ndio itatumika kwenye malipo yao wawatafute wa kuwadanganya kuhusu hizo mambo zao..
 
 

Attachments

  • images - 2025-02-28T165906.781.jpeg
    12.5 KB · Views: 1
Umeme unatoka Kariba Dam Mpaka Kitwe huko kaskazini mwa Zambia hizi sanaa sijawahi kuzisikia umeme unatoka Caborabasa dam mpaka SA hakuna hii sanaa ya Tanesco na hizo Nchi umeme upo bei ya kawaida kabisa sasa ninyi wazee wa % mpaka kwenye mali yenu ni kiboko..
 
Labda niongeze swali jingine hapo

4. Hasara walioyokuwa wanapita kuipeleka umeme kaskazini haitakuwepo tena baada ya kununua wa Ethiopia. Je nafuu hiyo itapelekea watumiaji wa umeme wa ndani watapata nafuu?

5. Vyanzo vya Bwawa la Nyumba ya Mungu 8MG, Hale 68MG vitafunwa Kwa sababu Kuna cheap umeme wa Ethiopia?

6. Kama Ethiopia wanazalidha na kusafirisha maelfu ya km na kuweza kuuza Kwa USD 0.077 kwetu sisi tumeshindwa wapi kusafirisha umeme 900km walau tuwe sawa na wao?

Kila mwaka wa uchaguzi suala la umeme linaibuka tutakuwa TU siku ikifika
 
Kwahiyo utakodi bolt pamoja na baraba au utatumia Barabara iliyopo
DIstribution line zilizopo ni za zamani haziwezi kuhimili nguvu kubwa ya umeme, natukilazimisha kutakuwa na upotevu mkubwa a umeme na kuharibu miundombinu iliyopo, ni vyema tukatumia njia mbadala wakati tukitafuta suluhisho la kudumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…