GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na sababu Kuu ya Kuongea aliyoyaongea jana ilikuwa ni sehemu ya Makubaliano aliyopewa baada ya Mhusika kuwa Muoga na Kuwaonea Aibu Watajwa kwakuwa anajuana nao Kitambo (wengine kupitia Baba zao) na wengine humpelekea Waganga wa Kienyeji, wengine Chenji za Upigaji zikibaki hummege nae Kidogo.
Na baada tu ya Kumaliza zoezi lile na Mhusika Mnafiki Muoga kufurahia tayari ameshamweka katika Kikosi chake Kipya Kijacha ambacho kwa taarifa za ndani japo Wahusika Watatu Walengwa Wawili ni Magwiji wa kwenda na kutembea na Waganga wao hadi Bungeni wakiwa katika Magari yao safari wanaondoka.
Na yule mwingine nae ambaye tulijua Baba yake ni wa Kusini kumbe ni wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini nae pia kutokana na Unafiki wake kwa Kuungana na hawa Wawili (Wana Majungu Wenzake) wa Kiomboi na Barabara ya 13 ameshamkera Mnafiki Muoga hivyo nae safari ya Kulima Korosha zake kwa Amani imewadia.
Na baada tu ya Kumaliza zoezi lile na Mhusika Mnafiki Muoga kufurahia tayari ameshamweka katika Kikosi chake Kipya Kijacha ambacho kwa taarifa za ndani japo Wahusika Watatu Walengwa Wawili ni Magwiji wa kwenda na kutembea na Waganga wao hadi Bungeni wakiwa katika Magari yao safari wanaondoka.
Na yule mwingine nae ambaye tulijua Baba yake ni wa Kusini kumbe ni wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini nae pia kutokana na Unafiki wake kwa Kuungana na hawa Wawili (Wana Majungu Wenzake) wa Kiomboi na Barabara ya 13 ameshamkera Mnafiki Muoga hivyo nae safari ya Kulima Korosha zake kwa Amani imewadia.
