Katika Empire zote zilizowahi kuwepo duniani, Roman Empire bado inaendelea kutawala

Katika Empire zote zilizowahi kuwepo duniani, Roman Empire bado inaendelea kutawala

Kama waroma( Vatican ) tuliweza kupenyeza mfumo wa kalenda unaowezesha kujua muda na tarehe ; Hii ni dalili kuwa wakatoliki ( Vatican) tuna nguvu ya kuitawala dunia . Mfumo wa Gregorian-kalenda ndo unatumiwa na nchi nyingi duniani leo na kesho ikiwemo marekani.
Tambua kuwa kuna Roman Empire na Holy Roman Empire. Baada ya kanisa kuwa sehemu ya Dola la Rumi, lilipata nguvu na kuwa na Taasisi kama Serikali. Hivyo baadaye Roman Empire ilipoanguka likabaki Kanisa Katoliki ndiyo huitwa Holy Roman Empire!
 
India pia inawakatoliki wengi kwa percentage ya population ni ndogo lakini

Kumbuka ina watu wengi kama 1.4 billions. Nawanaongezeka kwa kasi hata nchi za kiarabu.
India ina %2 tu ya wakristo nchini humo India ina wakatoliki wachache na wanakabiliwa na changamoto ya wahindu wenye misimamo mikali wana wanyanyasa sana hivyo hawana uhuru wa kuabu.

Hizo takwimu za ukatoliki kuenea kwenye nchi za kiarabu sijui umezitoa wapi waarabu wengi ambao ni wakristo ni wafuasi wa kanisa la koptic na sio wakatoliki.

Alafu ukatoliki kwa sasa hauenei bali una fifia kutokana na kubuka kwa makisa ya kiroho.
 
Germany Empire ya Adolf Hitler ili-fail
Akifanya pupa bila kuwa na utulivu. Amgekuwa na utulivu kidogo German Empire inhekuwepi hadi Leo. Wajerani wenzake waliotangulia waliitawala Ulaya karibu yote kwa miaka zaidi ya 900 kupitia Dola walitoiita Holy Roman Empire.
 
India ina %2 tu ya wakristo nchini humo India ina wakatoliki wachache na wanakabiliwa na changamoto ya wahindu wenye misimamo mikali wana wanyanyasa sana hivyo hawana uhuru wa kuabu.

Hizo takwimu za ukatoliki kuenea kwenye nchi za kiarabu sijui umezitoa wapi waarabu wengi ambao ni wakristo ni wafuasi wa kanisa la koptic na sio wakatoliki.

Alafu ukatoliki kwa sasa hauenei bali una fifia kutokana na kubuka kwa makisa ya kiroho.
2 percent ya watu Bilioni 1.4 siyo watu wachache shekhe. Pia kumbuka tamaduni za India hazina ugomvi mkubwa na Ukatoliki ukilinganisha na Uislamu.
 
India ina %2 tu ya wakristo nchini humo India ina wakatoliki wachache na wanakabiliwa na changamoto ya wahindu wenye misimamo mikali wana wanyanyasa sana hivyo hawana uhuru wa kuabu.

Hizo takwimu za ukatoliki kuenea kwenye nchi za kiarabu sijui umezitoa wapi waarabu wengi ambao ni wakristo ni wafuasi wa kanisa la koptic na sio wakatoliki.

Alafu ukatoliki kwa sasa hauenei bali una fifia kutokana na kubuka kwa makisa ya kiroho.
Ukatoliki unaongezeka sana barani Asia hata nchi za Kiislamu mfano Pakistan nakadhalika
 
Share basi tafadhali ulichonacho
Kwa ufupi ni kwamba Jesuits ndyo waasisi wa mapinduzi makubwa hapa ulimwenguni, wana nguvu sana na wapo juu ya kila kitu.

Hii ndyo structure ya ulimwengu wa giza ambao ndyo kila kitu katika hii dunia.
IMG_20230402_102927.jpg

Naweza nikakupa kitabu kwa njia ya PSF ukajifunza mengi zaidi.
 
Swali
Mimi nataka nijue lengo lao la kuzamisha hiyo meli ya Titanic ni nini na kwa faida gani?
Swali nzuri na makini sana....

Sababu ya kuzamisha meli ni kwamba Titanic ilikuwa na idadi kubwa ya watu ambao walikuwa wana oppose idea ya centralized bank system pale USA.

Jesuits walifanya hivyo ili kuwamaliza na kutoa onyo kwa wale wote wanao wapinga, wameonesha kwamba wanaweza kufanya chochote ilimradi tu wasafishe njia na kutimiza malengo yao.
 
Swali

Swali nzuri na makini sana....

Sababu ya kuzamisha meli ni kwamba Titanic ilikuwa na idadi kubwa ya watu ambao walikuwa wana oppose idea ya centralized bank system pale USA.

Jesuits walifanya hivyo ili kuwamaliza na kutoa onyo kwa wale wote wanao wapinga, wameonesha kwamba wanaweza kufanya chochote ilimradi tu wasafishe njia na kutimiza malengo yao.
Kwani kati ya mambo wanayo deal nayo Society of Jesus (Jesuits) ni hayo

Mimi nashaka na walioandika vitabu hivyo. Jesuits ni religion order wana deal zaidi

kusubiri imani na matendo aliyokuwa anafanya Yesu na pia wamejikita kwenye elimu zaidi.
 
Kwani kati ya mambo wanayo deal nayo Society of Jesus (Jesuits) ni hayo

Mimi nashaka na walioandika vitabu hivyo. Jesuits ni religion order wana deal zaidi

kusubiri imani na matendo aliyokuwa anafanya Yesu na pia wamejikita kwenye elimu zaidi.
Hizo ni front activities, zipo operations nyingine wanafanya kwa siri.

Hata huyo white pope kiongozi wa katoliki, ni 33° Freemason na mlozi wa viwango vya juu.

Haya mambo yanahitaji uwe Open minded kuyaelewa......
 
Ndio ni wazuri sana mbona hata Raisi wa kwanza wa Taifa hili alikuwa Mkatoliki. Na sasa ni
Mwenyeheri soon atakuwa canonised kuwa Mtakatifu Julius K. Nyerere.
Mkuu inakubidi uusome mapema uelekeo wa mjenga hoja mwenzako kabla hujaenda kuuchosha ubongo wako huko mbele mimi post yake ya kwanza pale juu nimeshaujua uelekeo wake.

Msome katikati ya mistari utaona anaandika as if Mkatoliki ni shetani aishie duniani,huyo ni masalia huyo atakusumbua sana.
 
Hawa warumi ndio wamesababisha hadi Sasa asilimia kubwa ya watanzania wanaamini Bora kutawaliwa na muislam kuliko mkristo(huu ni ukweli unaouma) kwa sababu ya ubinafsi wao
Hapa mtaani yuko mwenyekiti ni mrumi dah🙌🙌🙌🙌mtaa wa jirani yupo sio mrumi 👏👏👏👏ila ndio hivyo warumi fanyieni kazi ubinafsi ni mkubwa sana
Uandishi wa maiti,unajibunia tu ujinga kuandika alimradi umeandika.

Em tuambie ndiyo kwanza uchaguzi wa wenyeviti umefanyika jana hata matokeo bado kutangazwa tuambie hao unaosema hawafanyi kazi kwa sababu ya urumi wao na wanaofanya kazi kwa sababu ya uislam wao hiyo kazi wameianza lini?
 
Back
Top Bottom