Ni uandishi wa kipumbavu unao utumia hapa.FFU wakiwa wanalinda bank wanabeba SMG na AKA 47 kwenye kuzuia maandamano wanabeba silaha ambazo hazijawahi kuonekana technology ya myahudi
Ngoja tusubiri yatakayojiri.Inawezekana hata za polisi kupiga marufuku maandamanoi ni feki pia?
Niweke gb60 kabisa 23/9Ngoja tusubiri yatakayojiri.
Wananchi bado hawajaamua sasaHizo ni mbwembwe tu.wananchi wakiamua hakuna wa kuzuia.tumejionea Kenya walipoamua wananchi polisi walifanya u babe wao mwishoe wakashindwa nguvu na kupelekea kutimiza madai ya wananchi Kwa serikali.Hata huko misiri wakati wa mapinduzi ulikuwa hivohivo hatimaye nguvu ya umma ikawashinda polisi.hakuna kuogopa polisi Wala nini.Aluta continua
Unasubiri wakati yameshaanza Mwaza na Arudha? au ni uzushi tu?Ngoja tusubiri yatakayojiri.
Ni vema ifike ile siku rasmi iliyotajwa yaani 23 September.Unasubiri wakati yameshaanza Mwaza na Arudha? au ni uzushi tu?
fanyeni kweli sasa kama mtaweza watu tufurahi,siyo kujimwambafai jf tu.Hizo ni mbwembwe tu.wananchi wakiamua hakuna wa kuzuia.tumejionea Kenya walipoamua wananchi polisi walifanya u babe wao mwishoe wakashindwa nguvu na kupelekea kutimiza madai ya wananchi Kwa serikali.Hata huko misiri wakati wa mapinduzi ulikuwa hivohivo hatimaye nguvu ya umma ikawashinda polisi.hakuna kuogopa polisi Wala nini.Aluta continua
Mkuu tusiandikie mate hali ya kuwa wino ungalipo,tarehe 23 si mbali tuombe uzima na uhai.Jana uliingizwa chaka kwa taarifa feki za maandamano kuahirishwa.
Nilivyoona neno shamrashamra, nikadhani lazima na picha itahusikaAman iwe nanyi wana wa MUNGU
Katika Hali isiyo ya kawaida kabisa huku mjini posta FFU wanatembea kama kumbi kumbi na magari yao
Kilichonishangaza zaidi ni silaha walizobeba, silaha hizi nazionaga kabeba myahudi kwa ajili ya kuwaulia magaid wa hamasi nimeshangaa sana
FFU wakiwa wanalinda bank wanabeba SMG na AKA 47 kwenye kuzuia maandamano wanabeba silaha ambazo hazijawahi kuonekana technology ya myahudi
Lakini sis haturudi nyuma tarehe 23 kama kawaida tuko barabaran
Samia must go
LONDON BOY
Bunduki moja inaua wangapi?Hao Polisi ni asilimia ngapi ya wakazi wa jiji la Dar?
Hakuna kinachoshindikana ni vile tu nchi zetu huku watu hawana mioyo hiyo raia wakiamua jambo ogopa sana. Mi ninachoweza sema sioni wa kunifanya nitoke nyumbani nikafanye maandano ili hali hata akiwa yeye madarakani hatafanya chochote kile. !