Katika Hali isiyo ya kawaida FFU waanza shamra shamra huku mjini posta wanazunguka zunguka kabla ya tarehe 23 yenyewe

Katika Hali isiyo ya kawaida FFU waanza shamra shamra huku mjini posta wanazunguka zunguka kabla ya tarehe 23 yenyewe

Aman iwe nanyi wana wa MUNGU

Katika Hali isiyo ya kawaida kabisa huku mjini posta FFU wanatembea kama kumbi kumbi na magari yao

Kilichonishangaza zaidi ni silaha walizobeba, silaha hizi nazionaga kabeba myahudi kwa ajili ya kuwaulia magaid wa hamasi nimeshangaa sana

FFU wakiwa wanalinda bank wanabeba SMG na AKA 47 kwenye kuzuia maandamano wanabeba silaha ambazo hazijawahi kuonekana technology ya myahudi

Lakini sis haturudi nyuma tarehe 23 kama kawaida tuko barabaran

Samia must go

LONDON BOY
Hakuna mtanzania wakuandamana hata siku 1, miaka buku.
 
mikwara tu
mtu mzima hatishiwi nyau
Ngoja Hatotoka ntu.👇🏿
polisi-2-jpg.190566
 
Aman iwe nanyi wana wa MUNGU

Katika Hali isiyo ya kawaida kabisa huku mjini posta FFU wanatembea kama kumbi kumbi na magari yao

Kilichonishangaza zaidi ni silaha walizobeba, silaha hizi nazionaga kabeba myahudi kwa ajili ya kuwaulia magaid wa hamasi nimeshangaa sana

FFU wakiwa wanalinda bank wanabeba SMG na AKA 47 kwenye kuzuia maandamano wanabeba silaha ambazo hazijawahi kuonekana technology ya myahudi

Lakini sis haturudi nyuma tarehe 23 kama kawaida tuko barabaran

Samia must go

LONDON BOY
Wananchi tuna jambo letu 23 sept
Hao ffu Wacha waendelee na maxoezi
 
Punguza utoto dogo. Huu upuuzi wa viclip na rais naye ameingizwa mkenge, bila aibi anasema mbele ya hadhara eti ana vijiclip kuwa ndio bonge la intelijensia!
Mtoto anaweza kuwa wewe mkuu Tindo. Rais ana taarifa za kina kuliko mimi na wewe.
 
Aman iwe nanyi wana wa MUNGU

Katika Hali isiyo ya kawaida kabisa huku mjini posta FFU wanatembea kama kumbi kumbi na magari yao

Kilichonishangaza zaidi ni silaha walizobeba, silaha hizi nazionaga kabeba myahudi kwa ajili ya kuwaulia magaid wa hamasi nimeshangaa sana

FFU wakiwa wanalinda bank wanabeba SMG na AKA 47 kwenye kuzuia maandamano wanabeba silaha ambazo hazijawahi kuonekana technology ya myahudi

Lakini sis haturudi nyuma tarehe 23 kama kawaida tuko barabaran

Samia must go

LONDON BOY
Hiyo inaitwa gunboat diplomacy
 
Aman iwe nanyi wana wa MUNGU

Katika Hali isiyo ya kawaida kabisa huku mjini posta FFU wanatembea kama kumbi kumbi na magari yao

Kilichonishangaza zaidi ni silaha walizobeba, silaha hizi nazionaga kabeba myahudi kwa ajili ya kuwaulia magaid wa hamasi nimeshangaa sana

FFU wakiwa wanalinda bank wanabeba SMG na AKA 47 kwenye kuzuia maandamano wanabeba silaha ambazo hazijawahi kuonekana technology ya myahudi

Lakini sis haturudi nyuma tarehe 23 kama kawaida tuko barabaran

Samia must go

LONDON BOY
Sure, tukiwa na maandamano ya nchi nzima, mbona polisi ni wachache sana, haya tu wameleta askari tokea kila mkoa, hii tu inaonesha hakuna polisi wa kutosha nchini, viva taratibu wataelewa!
 
Aman iwe nanyi wana wa MUNGU

Katika Hali isiyo ya kawaida kabisa huku mjini posta FFU wanatembea kama kumbi kumbi na magari yao

Kilichonishangaza zaidi ni silaha walizobeba, silaha hizi nazionaga kabeba myahudi kwa ajili ya kuwaulia magaid wa hamasi nimeshangaa sana

FFU wakiwa wanalinda bank wanabeba SMG na AKA 47 kwenye kuzuia maandamano wanabeba silaha ambazo hazijawahi kuonekana technology ya myahudi

Lakini sis haturudi nyuma tarehe 23 kama kawaida tuko barabaran

Samia must go

LONDON BOY
amani yetu.png
 
Mtoto anaweza kuwa wewe mkuu Tindo. Rais ana taarifa za kina kuliko mimi na wewe.
Sina tatizo rais kuwa na taarifa za kina. Kuwa na taarifa sahihi ni muhimu zaidi. Rais ambaye anasimama hadharani na kusema ana clip za Dr.Slaa wa cdm kuhusu utekaji, wakati hiyo clip ina miaka zaidi ya miwili huku mitandaoni, huoni hata ni aibu kusema rais ana taarifa za kina?! Ninapokumbia ueche utoto hiyo ndio maanake.
 
Back
Top Bottom