Kwanza wewe Si mwana CDM acha uongo.
CCMM wazuiwe kuchukua fomu na upinzani wakubali kutosimamisha mgombea Ili kumnusuru aliyepo sababu hakubaliki,
HOJA hizo zina maslah Gani Kwa Nchi?
Katiba mpya haibembelezwi Wala haiombwi kupitia maridhiano,
Wajitoe tupo tunawasubiri.
Pia ujue Lisu anatumiwa na chama chake kushinikiza sirikali kuharakisha kufanyiwa KAZI mapendekezo ya chama ambayo hayajafanyiwa KAZI.
CDM hakuna mgogoro, Lissu anajaribu kuwakumbusha Sugu na wenzie kuwa KATIBA mpya ndo kipaumbele, ubunge ndo ufuate.
CCMM wazuiwe kuchukua fomu na upinzani wakubali kutosimamisha mgombea Ili kumnusuru aliyepo sababu hakubaliki,
HOJA hizo zina maslah Gani Kwa Nchi?
Katiba mpya haibembelezwi Wala haiombwi kupitia maridhiano,
Wajitoe tupo tunawasubiri.
Pia ujue Lisu anatumiwa na chama chake kushinikiza sirikali kuharakisha kufanyiwa KAZI mapendekezo ya chama ambayo hayajafanyiwa KAZI.
CDM hakuna mgogoro, Lissu anajaribu kuwakumbusha Sugu na wenzie kuwa KATIBA mpya ndo kipaumbele, ubunge ndo ufuate.