The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Maudhui makuu ya mazungumzo ya viongozi hawa Tundu Lissu vs Mh. Rais Samia Suluhu Hassan [Brussels, Ubelgiji] na Mh. Freeman Mbowe vs Mh. Rais Samia S. Hassan [Dar es Salaam, Tanzania] ni maridhiano ya kisiasa kwa mustakabali wa kujenga Tanzania ya HAKI kama tunda la UPENDO na AMANI.
Hawa wanaonesha kutofurahishwa na hatua hii ya viongozi hawa wa CHADEMA kuonana na Rais na kufanya mazungumzo naye ambayo kiukweli ni hatua njema kuelekea kwenye maridhiano na upatanisho mkuu.
Hawa wanaamini kuwa ni kilichowakutanisha hawa ni zaidi ya mazungumzo tu. Wanadhani viongozi hawa kwa kitendo chao cha kukutana na Rais ni UNYONGE na KUUZA UTU wao na possibly wameenda kutulizwa kwa fedha - mulungula eti ili wanyamaze....
Hawa bila shaka ni watu wa ajabu sana na pengine bila shaka yoyote kuwa hawajui watakacho ktk harakati zao za kisiasa na kama wanajua, basi hawajui hicho wakitakacho watakipata kwa njia gani.
Hawa viongozi, Mh. Freeman Mbowe [M/Kiti CHADEMA - taifa] na Mh. Tundu Lissu [M/M/Mwenyekiti Tanzania Bara si tu wamezungumza na kila kitu kubaki gizani, bali wametoa.
mrejesho (feedback) ya maudhui ya mazungumzo hayo hadharani kila mtu akiona na kusikia...
Hivi ukiwasikiliza hawa viongozi wa chama hiki kikuu cha upinzani hapa chini kwenye video hii, kuna mwana - CHADEMA mwenye akili timamu atasema haelewi lolote kweli...?
Sikiliza...
Hawa wanaonesha kutofurahishwa na hatua hii ya viongozi hawa wa CHADEMA kuonana na Rais na kufanya mazungumzo naye ambayo kiukweli ni hatua njema kuelekea kwenye maridhiano na upatanisho mkuu.
Hawa wanaamini kuwa ni kilichowakutanisha hawa ni zaidi ya mazungumzo tu. Wanadhani viongozi hawa kwa kitendo chao cha kukutana na Rais ni UNYONGE na KUUZA UTU wao na possibly wameenda kutulizwa kwa fedha - mulungula eti ili wanyamaze....
Hawa bila shaka ni watu wa ajabu sana na pengine bila shaka yoyote kuwa hawajui watakacho ktk harakati zao za kisiasa na kama wanajua, basi hawajui hicho wakitakacho watakipata kwa njia gani.
Hawa viongozi, Mh. Freeman Mbowe [M/Kiti CHADEMA - taifa] na Mh. Tundu Lissu [M/M/Mwenyekiti Tanzania Bara si tu wamezungumza na kila kitu kubaki gizani, bali wametoa.
mrejesho (feedback) ya maudhui ya mazungumzo hayo hadharani kila mtu akiona na kusikia...
Hivi ukiwasikiliza hawa viongozi wa chama hiki kikuu cha upinzani hapa chini kwenye video hii, kuna mwana - CHADEMA mwenye akili timamu atasema haelewi lolote kweli...?
Sikiliza...