Katika jambo la ovyo na la aibu amefanya mwenyekiti wa CCM ni kumteua Makonda kuwa Katibu Mwenezi wa CCM

Katika jambo la ovyo na la aibu amefanya mwenyekiti wa CCM ni kumteua Makonda kuwa Katibu Mwenezi wa CCM

Huyu rais na mwenyekiti wa CCM ni kwamba kuna watu wanamwendesha km gari bovu au ni akili yake. Km ni kuendeshwa kwanini akubali akili zake hazimtoshi?

Aibu atakayoipata kumteua huyu bwana hatakaa asahau. Kwanza tukubaliane Makonda ni miongoni mwa wale binadamu wenye akili ndogo sana hapa duniani. Watu wa dizaini hiyo utawatambua kwa kupenda makuu, sifaa, kuonekana, kujulikana, waropokaji, wazushi, watu wasioona aibu kufanya kioja cha aibu.

Kwangu mimi nafasi ya katibu wa itikadi na uenezi wa chama ni nafasi ndogo tu na ya kawaida. Angalia jitu lisilo na akili kila ofisi anayoenda ni maandamano, mapokezi makubwa yanayogharimu pesa bila sababu. Nafasi hii wamepewa watu wengi kwa nyakati tofauti sijawahi kushuhudia upumbavu wa kiwango cha juu cha huyu bwana. Tunakoelekea hata katibu mkuu wa CCM atakuja kuonekana ni mdogo kuliko Makonda.

Alipokuwa mkuu wa mkoa wa DSM alijikweza mpaka kufikia kuwadharau mawaziri kuwa hawana totauti na yeye wakati kimsingi alikuwa chini ya waziri wa TAMISEMI. Alijiona ndio makamu wa rais zaidi ya hata waziri mkuu.

Sahivi tutashuhudia mtu pekee atakayemheshimu na kumwogopa atakuwa rais pekee. Hili ni janga, Samia umepotea njia, hili jitu halifai kuwa hata balozi wa CCM wa nyumba kumi. Ama kweli miujiza ipo.

Badala aingie ofisini kimya kimya na kwa unyenyekevu ona mambo yanayofanyika na yana live coverage kuchezea kodi za wananchi maskini kipumbavu namna hii. Huyu lofa atakifanya CCM ichukiwe na wananchi, huyu atabomoa chama badala ya kukijenga. Hivi kweli ni Samia nayemfahamu ndio kateu hili fala?
 

Attachments

  • IMG_3323.MP4
    291.3 KB
Nachokiona ni kwamba huyu mwamba anakwenda kuivuruga CCM vibaya zaidi ya ilivyo sasa, tatizo huyu mwamba huwa hana mipaka ya kazi yake na project zake karibia zote huwa zinafeli.
Mkuu,unamuita Makonda mwamba,ana umwamba gani!Ujinga unaugeuza kuwa umwamba.Watanzania vipi?
 
Povu hili bila shaka usiyempenda kaja.Makonda Kamatia hapo hapo panga wameanza kujitokeza.
 
Povu hili bila shaka usiyempenda kaja.Makonda Kamatia hapo hapo panga wameanza kujitokeza.
 
Povu hili bila shaka usiyempenda kaja.Makonda Kamatia hapo hapo panga wameanza kujitokeza.
 
Huyu rais na mwenyekiti wa CCM ni kwamba kuna watu wanamwendesha km gari bovu au ni akili yake. Km ni kuendeshwa kwanini akubali akili zake hazimtoshi?

Aibu atakayoipata kumteua huyu bwana hatakaa asahau. Kwanza tukubaliane Makonda ni miongoni mwa wale binadamu wenye akili ndogo sana hapa duniani. Watu wa dizaini hiyo utawatambua kwa kupenda makuu, sifaa, kuonekana, kujulikana, waropokaji, wazushi, watu wasioona aibu kufanya kioja cha aibu.

Kwangu mimi nafasi ya katibu wa itikadi na uenezi wa chama ni nafasi ndogo tu na ya kawaida. Angalia jitu lisilo na akili kila ofisi anayoenda ni maandamano, mapokezi makubwa yanayogharimu pesa bila sababu. Nafasi hii wamepewa watu wengi kwa nyakati tofauti sijawahi kushuhudia upumbavu wa kiwango cha juu cha huyu bwana. Tunakoelekea hata katibu mkuu wa CCM atakuja kuonekana ni mdogo kuliko Makonda.

Alipokuwa mkuu wa mkoa wa DSM alijikweza mpaka kufikia kuwadharau mawaziri kuwa hawana totauti na yeye wakati kimsingi alikuwa chini ya waziri wa TAMISEMI. Alijiona ndio makamu wa rais zaidi ya hata waziri mkuu.

Sahivi tutashuhudia mtu pekee atakayemheshimu na kumwogopa atakuwa rais pekee. Hili ni janga, Samia umepotea njia, hili jitu halifai kuwa hata balozi wa CCM wa nyumba kumi. Ama kweli miujiza ipo.

Badala aingie ofisini kimya kimya na kwa unyenyekevu ona mambo yanayofanyika na yana live coverage kuchezea kodi za wananchi maskini kipumbavu namna hii. Huyu lofa atakifanya CCM ichukiwe na wananchi, huyu atabomoa chama badala ya kukijenga.

Hivi kweli ni Samia nayemfahamu ndio kateu hili fala?
Hii sentensi ya mwisho imenifanya nicheke kwa uchungu!
 
Siamini kama kuna issue ya maana sana kumhusu Makonda na kile anachokifanya at the moment, mimi binafsi namhurumia kwasababu naamini kabisa hao anaowapa maelekezo nini wafanye, wanamuona kama mdoli tu, wanaweza kuwa wanacheka pembeni

Nasema wanamuona kama mdoli kwasababu nikitazama spidi aliyoanza nayo Makonda, kisha nikatazama aina ya kiongozi tuliyenaye kwa sasa, hasa uwajibikaji, ni vitu viwili tofauti, haviendani kabisa.

Na hiyo tabia ya kiongozi aliyepo, kwa bahati mbaya ndio imechukuliwa na wengi wa wasaidizi wake, hasa mawaziri, ambao nao kwa kiasi kikubwa wanaonekana kufanya kazi kwa mazoea, kama alivyo mama yao, sasa utaanza vipi kuwaamuru watu wa sampuli hii wanaofanana wafanye kile utakacho wewe?

Haiwezekani, Makonda inavyoelekea atapiga kelele kwa sasa kwasababu bado battery zake zinachaji ya kutosha, lakini kwa kadri siku zitavyosogea, naye atajikuta naturally anakuwa neutralised, atafanana nao kwa matendo na hizi mbwembwe zake ndio zitaishia hapo, kwasababu kama ataweza kumsemea kwa mama mtu kama Nape au Mwigulu kisha wakaadhibiwa, never.

- Makonda amezungukwa na maadui wengi, bahati mbaya hajijui.

Hii style yake ilifaa wakati wa Magufuli, na wala sio sasa, anatakiwa akae chini atazame mbinu mpya za kufanya siasa zake, asipokuwa makini kwenye hili, anaweza kujikuta yeye ndie anaondoka kwenye nafasi aliyonayo akawaacha hao anaowapa maagizo, apige hesabu zake vizuri.
 
Sio siri kuna watu wanaonesha hata kujali kidogo wananchi kuna bibi alienda akamkumbatia Makonda maana alikua ameonewa sana huyo bb na makonda akaahidi kutatua kero yake pale pale ni jambo lililo nipa furaha sana na kumkumbuma JPM ...
 
Makonda ndio aina ya Kiongozi tuliyemtaka kama Chama kwa wakati huu. Ni jasiri na mfuatiliaji wa mambo. He makes things happen.
 
Back
Top Bottom