Katika maisha, nimejifunza kuwa mwanamke sio mtu wa kumuamini kabisa

Alikuletea ngoma this time around, kapime
 
Pole sanaa japo umechelewa kujifunza

Mimi nilimpa mchumba shi'ng 30 na kibarua nmeandika nakupenda akapeleka kwa mamake barua tupu hela akala kachori mind you mama yake alikua Mwalimu wa nidhamu nilikula njiti nusu nizimie
 
Kama unalisiti za hiyo simu na zimeandikwa kwa majina yoka kamili mbona kazi ndogo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwana nakumbuka ule ushauri wa jamaa hapa jf usimuonee huruma mwanamke. Hawa ni nipe nikuoe ata alie mtoto wake anakufa wacha afe tuu ila usimuonee huruma kabisa
Tatizo la wanawake kwenye akili zao wanacho jua sisi wanaume hatuna Wazazi na ndugu na ata kama tunao hatuna aki ya kuwapa pesa

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Kila siku tunaongea kuhusu hao viumbe hamskii,kuna story ya kweli kuhusu jamaa yangu nilileta humu kuhusu hao viumbe nikaishia kuambiwa ni ww...simu tu unajiliza hapa kuna watu walifanya makubwa na bado wakaishia kuumizwa vibaya na hawakulia lia.

Me nashangaa mtu anae lialia kuhusu mapenz au mwanamke kamuumiza alafu unakuta ni mtu mzima!!! namuona poyoyo tu..mbona inajulikana wanawake sio waaminifu na hawatabiriki sasa ww unalia lia kwani ulikua haujui kama hawatabiriki hao viumbe?
 
Pole sanaa japo umechelewa kujifunza

Mimi nilimpa mchumba shi'ng 30 na kibarua nmeandika nakupenda akapeleka kwa mamake barua tupu hela akala kachori mind you mama yake alikua Mwalimu wa nidhamu nilikula njiti nusu nizimie
Bado unatongoza watoto?
 
Haaaaaah. Kuwa mpole muite siku moja sehemu ya mbali. Akija piga sana mikanda huku unampelekea moto wa sodoma na Gomora. Then chukua simu yako. Utashangaa anakutafuta tena. Niamini utaheshimika maisha. Wekeza kidogo sana kwa mwanamke asiye mkeo.
 
😂😂Ndo uanaume mateso😂😂😂nyie wasasahiv mnatak mambo soft soft🤣
Ata nyie wanawake mnataka mambo soft soft tuu kisa eti mtoto ataharibu mbususu🤣🤣🤣🤣
 
Ulimpa full box...? Kama box unalo nenda polisi kawaambie umepoteza simu umpe kesi ya wizi maumivu mpate wote tu.
Kweli watanzania ndo maana tunazidi kulaaniwa na 23% yamchongo, Sasa kumpe mtu kesi ya wizi wakat hajaiba Si dhambi hizo na kujiletea mabalaa zaidi
 
Fala sana wewe jamaa narudia fala sana..utakuja kujiua kisa upuuzi
 
imeisha hiyooooo.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…