Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahahah maisha sio hayaDiamond alimnunulia zari hadi jumba la kifahari huko south Africa, mwisho pacha wa p-square akala tunda[emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahah maisha sio hayaDiamond alimnunulia zari hadi jumba la kifahari huko south Africa, mwisho pacha wa p-square akala tunda[emoji38]
Alikuletea ngoma this time around, kapimeNami ilishwahi nikuta hiyo demu alikuwa mzuri sana (cheupe ndio ugonjwa wangu) nilimuelewa sana nikasema huyu naoa kabisa.
Nami nikamnuliaga simu ya kama 180k hivi sasa alafu nilivyokuwa zoba kwasababu ya kupenda nilimnunulia cm kabla ya kupiga miti, mi sikujua kama demu kichwan kama ana low IQ kiasi kile hivyo hivyo akaanza gafla kulingalinga mpaka tukaachana, kilichoniuma zaidi ni nimemnunulia cm alafu sijapga miti, nikapotea tu simu hata sikumpokonya nikapotezea tu.
Kama miez 8/10 hivi ikapita nashangaa cm inaita namba ngeni,,kupokea ananambia mimi ni fulani,,,nikamwambia poa,,tukachati chati akaniuliza,,vipi ulishaoa nikamwambia bado,,,akawaanajisogeza sogeza nibebe tena mzigo na akasema simu yake aliibiwa kwenye daladala (niliyomnunulia) maana alikuwa na kiswaswadu na katika maongez baadae akiuliza kiutani 'vipi nikikuambia uninunulie tena cm utakubali' nikamwambia haaa usijar mimi kwa wew tena,,ngoja KIDOGO mambo YAKAE SAWA
Nikasema huyu ntamuonyesha shoo mpaka afurahi,,nami bila hiyana 'tukarudiana' safari hii sikumchelewesha nikamuombaga gemu fasta,,hakuzingua ,, nikamwambia aje getho night ,,demu akaja 'nikapiga show ya maana' (ingawa demu mzuri lakini shoo yake F ) asubuhi akasepa
Mara akashangaa hata meseji ya
kumuhuliza vipi umefika salama sijamtumia,,
akaniuliza vipi mbona haujaniuliza kama nimefika,
,kidume nikamute kimya,,,,
Baada ya kama masaa matatu akatuma sms 'naona umefanikisha ulichotaka '
Nikamtext tu 'hahahahha'
Alafu akala block namba zake zote
Na nikafufutilia mbali namba yake,,,nikasema huyu demu aliniona mi boya sana,,,nikafurahi tu nae kaumia nikasema saa hz tume 'balance equation' kiroho safi
nakupenda akapeleka kwa mamake barua tupu hela akala kachori mind you mama yake alikua Mwalimu wa nidhamu nilikula njiti nusu nizimieKama unalisiti za hiyo simu na zimeandikwa kwa majina yoka kamili mbona kazi ndogo tuNdugu zangu mimi mwenzenu kwa mara hii nahisi nimepigwa na radi kabisa sio tena kitu kizito. Kuna demu nilimtongoza kwa bahati nzuri demu huyo alinikubalia.
Sasa ikawa ngumu kwetu kuongea kwa maana alikuwa hana simu mimi na mapenzi yangu ya kijinga nikajifanya kiherehere cha kumnunulia simu kubwa ya laki 3 nikampa demu. Cha ajabu simu niliyo nunua sasa hivi ndo inanitesa.
Huyo demu sasa hivi hapokehi simu zangu wala kujibu sms zangu na kila nikienda kwao namkuta anaongea na wanaume wengine pale kwao. Tena kwenye simu niliyonunua. Yaani kwa kifupi demu hana mpango na mimi tena.
Je, ni halali mimi kuchukua simu yangu kwake au ni mpotezee?
Tatizo la wanawake kwenye akili zao wanacho jua sisi wanaume hatuna Wazazi na ndugu na ata kama tunao hatuna aki ya kuwapa pesaBwana nakumbuka ule ushauri wa jamaa hapa jf usimuonee huruma mwanamke. Hawa ni nipe nikuoe ata alie mtoto wake anakufa wacha afe tuu ila usimuonee huruma kabisa
Bado unatongoza watoto?Pole sanaa japo umechelewa kujifunza
Mimi nilimpa mchumba shi'ng 30 na kibarua nmeandikanakupendaakapeleka kwa mamake barua tupu hela akala kachori mind you mama yake alikua Mwalimu wa nidhamu nilikula njiti nusu nizimie
Danga promaxVeteran ushaliwa mzee [emoji23][emoji23][emoji23] kama ni wale wenye nyota mabegani andika maumivu tu[emoji3][emoji3][emoji3]
Danga la Nyota 3Danga promax
Kama hujakamilisha niachie assignment 😂Muendelezo: Yule demu sikumuambia kama nimejua kifuatacho nilikuwa napanga cha kumfanya ili na yeye apitie maumivu kama yangu
Ata nyie wanawake mnataka mambo soft soft tuu kisa eti mtoto ataharibu mbususu🤣🤣🤣🤣😂😂Ndo uanaume mateso😂😂😂nyie wasasahiv mnatak mambo soft soft🤣
Na ukioa ndio kabisaaaTatizo la wanawake kwenye akili zao wanacho jua sisi wanaume hatuna Wazazi na ndugu na ata kama tunao hatuna aki ya kuwapa pesa
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Na pesa zetu na nyege zetuHawana huruma ya nini?
Kheeeeeee bhasi za mchinaaa hizooooo....wakati iPhones siku hizi ndizo zinaongoza kwa kulipuka
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Kweli watanzania ndo maana tunazidi kulaaniwa na 23% yamchongo, Sasa kumpe mtu kesi ya wizi wakat hajaiba Si dhambi hizo na kujiletea mabalaa zaidiUlimpa full box...? Kama box unalo nenda polisi kawaambie umepoteza simu umpe kesi ya wizi maumivu mpate wote tu.
imeisha hiyooooo.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndugu zangu mimi mwenzenu kwa mara hii nahisi nimepigwa na radi kabisa sio tena kitu kizito. Kuna demu nilimtongoza kwa bahati nzuri demu huyo alinikubalia.
Sasa ikawa ngumu kwetu kuongea kwa maana alikuwa hana simu mimi na mapenzi yangu ya kijinga nikajifanya kiherehere cha kumnunulia simu kubwa ya laki 3 nikampa demu. Cha ajabu simu niliyo nunua sasa hivi ndo inanitesa.
Huyo demu sasa hivi hapokehi simu zangu wala kujibu sms zangu na kila nikienda kwao namkuta anaongea na wanaume wengine pale kwao. Tena kwenye simu niliyonunua. Yaani kwa kifupi demu hana mpango na mimi tena.
Je, ni halali mimi kuchukua simu yangu kwake au ni mpotezee?
Nani kasema Hao washamba tu 😂Ata nyie wanawake mnataka mambo soft soft tuu kisa eti mtoto ataharibu mbususu🤣🤣🤣🤣