fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Ni kweli kabisa, hata kwenye mazishi wapo vizuri mnoNawasalimu kwa jina la jamuhuri
Binafsi nimekuwa mfuatiliaji mkubwa sana hasa wa maswala haya yahusuyo ndoa lakini kwa upande wangu nimeona ndoa kwa mujibu wa dini ya kiis
Napendaga part ya mke uji wengi huwa wanavuta majiko kipindi hicho na baada ya mwezi majiko yanasambaratikaHata kama hujaandika ndoa uji .Kilichokuwa kinajadiliwa ni ndoa. So hakuna hicho ulichoandika mke uji.Kuna wazinzi wana justify uzinzi wao na ku label majina yasiyokuwepo kwenye sheria na taratibu za kisheria za kiislamu.Mada ni ndoa za kiislamu kama umesahau.
Hatulazimishi mtu kuaminiMnasingizia maandiko ni swala la kujadili mkuu.. huo utamaduni wa watu ( waarabu) haiwezekani kwa mwanaume iwe sawa kwa mwanamke isiwe sawa sio haki mkuu
Koran ndio imeandikwa chukua mwanamke uki enjoy mlipe, unataka kusema Koran ni ya mashia , alafu Kuna Hadith pia Allah kamuagiza Muhammad wafanye kununua wanawake mutahKwenye Uislamu hakuna Muta'a ila kwa Mashia ipo.
Yuko na haki ya kudai Talaka. Katika Uislam hata Mke anayo haki ya kutoa TalakaNa je mume akipata matatizo mke aende wapi?? Dini ya kiislamu imewaweka wanawake chini sana
We contracted temporary marriage giving a handful of (tales or flour as a dower during the lifetime of Muhammad..... Sahih Muslim 1405dKwenye Uislamu hakuna Muta'a ila kwa Mashia ipo.
Na je mume akipata matatizo mke aende wapi?? Dini ya kiislamu imewaweka wanawake chini sana
Hata za kikristo talaka zinatoka ukiamua
Unaandika kitu usichokijua kwenye ukristo talaka ruksa kama mmoja wenu amezini na ikathibitika hivyo
Hatulazimishi mtu kuamini
I am so sensitive kwaio namjibu mtu kulingana na majibu anayoyatakaInaweza ikawa kweli kwa mwanaume inafaa na kwa mwanamke haifai .. ila mkuu umeshindwa kutetea hoja mkuu na wala si kashfu dini nilitaka nione uwezo wako wa kumshawishi mtu ambaye sio muislam kuingia kwenye uislam lakini naona hauna uwezo wa kutetea hoja.. mkuu.. pole kama ntakua nimekuzubaisha mkuu..
Bora unisaidie ww mimi ni mkatoriki sijawahi kusikia talaka katika dhehebu langu wakatoliki hatunaga talaka hata kama umeoa mke anamakosa na mapungufu ndio nitolee iyo ndio maana ndoa za kikatoriki zina masharti mengi sanaUkristo gani Catholic au Sabbath?
Hakuna watu wako smart katika mahesabu ya pesa kama wanawake ila Ukimpata anayejitambuaKuhusu suala la kimaendeleo hapo nakuunga mkono hapo inatakiwa km una wake wa4 kila mmoja unamuanzishia biashara yake inafika hatua wewe inakua msimamizi wa biashara.
Naomba hiyo andiko, liko kwenye qur an mstari wa ngapiKoran ndio imeandikwa chukua mwanamke uki enjoy mlipe , unataka kusema Koran ni ya mashia , alafu Kuna Hadith pia Allah kamuagiza Muhammad wafanye kununua wanawake mutah
Kwa dhambi ya uasherati unaruhusiwa kumwacha mwanamke pale inapodhibitika.Bora unisaidie ww mimi ni mkatoriki sijawahi kusikia talaka katika dhehebu langu wakatoliki hatunaga talaka hata kama umeoa mke anamakosa na mapungufu ndio nitolee iyo ndio maana ndoa za kikatoriki zina masharti mengi sana
I am so sensitive kwaio namjibu mtu kulingana na majibu anayoyataka
I am so sensitive kwaio namjibu mtu kulingana na majibu anayoyataka