Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

NIMEWEKA mpaka nukuu unachotakiwa kama unaona ni uongo leta ya kweli
Jibu kwa nini mwanamke anonyeshe mwanaume mtu mzima, ni dharau gani hizi kwa wakina mama

..... A'isha umm al-muminin sent him away while he was being nursed to her sister Umm Kulthum bint Abi Bakr as-Siddiq and said, "Suckle him ten times so that he can come in to see me."
Salim said, "Umm Kulthum nursed me three times and then fell ill, so that she only nursed me three times. I could not go in to see A'isha because Umm Kulthum did not finish for me the ten times." Book 30, Hadith 7
Sahih Muslim 1452b
...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings)
Hayo mambo ya Kipagani wanaendelea kuyaondoa katika vitabu vyao.
Yale ambayo wameshindwa kuyaondoa ama wana yakanusha au hawayajibu.
Ila lile la kuabudu Jiwe Jeusi la Maka limeshindikana kuondolewa na zile Satanic Verses za miungu yao Lata, Uza na Manaat 53:19 na 53:20.
Na Sura ya Majini.
Na wale Majini wawili wanao wafundisha uchawi. Haruuta na Maruuta. 2:102.
Hayo walichelewa kuyaondoa.
Ukiyagusa hayo na mengine lazima wahamishe mada.
 
Jibu kwa nini mwanamke anonyeshe mwanaume mtu mzima, ni dharau gani hizi kwa wakina mama
..... A'isha umm al-muminin sent him away while he was being nursed to her sister Umm Kulthum bint Abi Bakr as-Siddiq and said, "Suckle him ten times so that he can come in to see me."
Salim said, "Umm Kulthum nursed me three times and then fell ill, so that she only nursed me three times. I could not go in to see A'isha because Umm Kulthum did not finish for me the ten times." Book 30, Hadith 7
Sahih Muslim 1452b
...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings)
Ukafiri mzigo. Kwenye maelezo wapi imesema watu wazima wawe wananyonya.
Hata mimi maziwa ya mwanamke nitanyonya kama ni tiba kwa kunikamulia kwenye chombo. We akili yako inawaza miti kama kwenye biblia.


Ezekiel 23:20
New International Version

20 There she lusted after her lovers, whose genitals were like those of donkeys and whose emission was like that of horses.
 
Ukafiri mzigo. Kwenye maelezo wapi imesema watu wazima wawe wananyonya.
Hata mimi maziwa ya mwanamke nitanyonya kama ni tiba kwa kunikamulia kwenye chombo. We akili yako inawaza miti kama kwenye biblia.


Ezekiel 23:20​

New International Version​

20 There she lusted after her lovers, whose genitals were like those of donkeys and whose emission was like that of horses.
Jibu kwa nini mwanamke anyonyeshe mtu mzima , na wewe kabisa unakubali uwekewe mazima ya mama unywe what a cult
ila allah alisema watu wazima wanyonyeshwe mara kumi akaja akapunguza mpaka 5
Sahih Muslim 1452b
...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings)
It was narrated that 'Aishah said:
Sunan Ibn Majah 1944 “The Verse of stoning and of breastfeeding an adult ten times was revealed1, and the paper was with me under my pillow. When the Messenger of Allah died, we were preoccupied with his death, and a tame sheep came in and ate it.
 
Jibu kwa nini mwanamke anyonyeshe mtu mzima , na wewe kabisa unakubali uwekewe mazima ya mama unywe what a cult
ila allah alisema watu wazima wanyonyeshwe mara kumi akaja akapunguza mpaka 5
Sahih Muslim 1452b
...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings)
It was narrated that 'Aishah said:
Sunan Ibn Majah 1944 “The Verse of stoning and of breastfeeding an adult ten times was revealed1, and the paper was with me under my pillow. When the Messenger of Allah died, we were preoccupied with his death, and a tame sheep came in and ate it.
Naona umeamua kurukaruka sasa. Hiyo hadith kiwango chake cha usahihi unafahamu we kafiri unayemuabudu mzungu?
 
Naona umeamua kurukaruka sasa. Hiyo hadith kiwango chake cha usahihi unafahamu we kafiri unayemuabudu mzungu?
unajifanya huoni neno sahih, jibu swali kwa nini mnawafanyie wanawake mambo ya kuwa dhalilishi kiasi hiki, yani mtu mzima anyonyeshwe
Sahih Muslim 1452b
...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings)
It was narrated that 'Aishah said:
Sunan Ibn Majah 1944 “The Verse of stoning and of breastfeeding an adult ten times was revealed1, and the paper was with me under my pillow. When the Messenger of Allah died, we were preoccupied with his death, and a tame sheep came in and ate it.
 
unajifanya huoni neno sahih, jibu swali kwa nini mnawafanyie wanawake mambo ya kuwa dhalilishi kiasi hiki, yani mtu mzima anyonyeshwe
Sahih Muslim 1452b
...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings)
It was narrated that 'Aishah said:
Sunan Ibn Majah 1944 “The Verse of stoning and of breastfeeding an adult ten times was revealed1, and the paper was with me under my pillow. When the Messenger of Allah died, we were preoccupied with his death, and a tame sheep came in and ate it.
Hiyo sunan ibn Majah imefuata nini? Mbona unakuwa muongo we kafiri? Rekebisha uongo kwanza tuendelee
 
Hiyo sunan ibn Majah imefuata nini? Mbona unakuwa muongo we kafiri? Rekebisha uongo kwanza tuendelee
Ok umekataa Ibn Majah unasema sio maandiko ya waislamu ,

Ila nataka kujua kwa nini mwanamke amnyonyeshe mwanaume mtu mzima mara tano
Sahih Muslim 1452b
...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings)
 
Hiyo sunan ibn Majah imefuata nini? Mbona unakuwa muongo we kafiri? Rekebisha uongo kwanza tuendelee
Tunaendelea
Kwa nini allah anasema mwanamke ni shetani
Hadith ya sahihi muslim 1403a
The woman advances and retires in the shape of a devil, so when one of you sees a woman, he should come to his wife, for that will repel what he feels in his heart.
 
Ok umekataa Ibn Majah unasema sio maandiko ya waislamu ,

Ila nataka kujua kwa nini mwanamke amnyonyeshe mwanaume mtu mzima mara tano
Sahih Muslim 1452b
...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings)
Hiyo mtu mzima kunyonyeshwa ipo wapi kwenye hiyo hadith uliyoweka reference? Haunionyeshi hadi unakufa
 
Ok umekataa Ibn Majah unasema sio maandiko ya waislamu ,

Ila nataka kujua kwa nini mwanamke amnyonyeshe mwanaume mtu mzima mara tano
Sahih Muslim 1452b
...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings)
Usilazimishe hadith ambazo wewe unahitaji. Kama mlutheri au msabato nimlazimishe vitabu vya kikatoliki. Hakuna janja janja hapa
 
Ivi kwa nini tunawela Aya alafu mnakuja tena kuuliza ,mnakuwa hamuamini kitabu chenu kama kimeruhusu huo uchafu?
Cha biblia sio?

Hosea 1
New International Version

2 When the Lord began to speak through Hosea, the Lord said to him, “Go, marry a promiscuous(I) woman and have children with her,​

 
Usilazimishe hadith ambazo wewe unahitaji. Kama mlutheri au msabato nimlazimishe vitabu vya kikatoliki. Hakuna janja janja hapa
UNGESEMA mapema kwamba wewe sio muislamu wa suni ili nikuwekee maandiko ya dhehebu lako
hawa ni wa suni ndio wanasema unyonyeshwe na mwanamke
Sahih Muslim 1452b
...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings)
 
UNGESEMA mapema kwamba wewe sio muislamu wa suni ili nikuwekee maandiko ya dhehebu lako
hawa ni wa suni ndio wanasema unyonyeshwe na mwanamke
Sahih Muslim 1452b
...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings)
Spensa
Aya gani unayozungumzia in the Holy Qur aan?.
 
Hakuna kafiri yoyote anaweza kuchallenge Quran. Jitahidi kwenye kukoteza vicommentary na hadith dhaifu unaweza pia kujitahidi. Hiki ni kitabu kisichokuwa na Shaka ndani yake
Tunaweka maandiko Yako kama yalivyo,
Allah anasema ukienjoy lipa
Hadith tunaweka mpaka Hadith number grade ipo kabisa mmeweka waislamu mnaita sahih ,

Toka huko Kwenye uchafu wa mutah
 
Sio kweli mkuu
MWANAMKE katika UISLAM amepewa DALAJA la KWANZA kwa kila kitu au wazungu wao wanasema LADIES FIRST
mwanamke katika UISLAM amenyimwa UONGOZI tu

mfn:-
Mwanamke katika UISLAM ndie anataja mahari na ni yake hiyo MAHARI

Mwanamke wakati wa NDOA ndio anaazwa kuulizwa kama amekubari kuolewa na akikataa hakuna NDOA
mfn ataulizwa kwann umekataa usiolewe akasema mimi sijapewa mahari yangu basi hapo ndoa haifungwi mpk baba alokula maharai ya bint yake ampe ndo NDOA ifungwe

Mwanamke wa kiislam katika NDOA kazi yake ni mbili kujiremba kwa ajili ya mumewe na kumtanulia miguu aingie kati
na hata akikuzalia mtoto kumlea na kumnyonyesha ilipaswa umlipe hayo mambo ya kupika na kufua kama huwezi inapaswa wewe umtafutie mjakazi

mwanamke katika NDOA ya uislam kupika sio kazi yake wala kukufulia
ndio mana inasemwa kilaanapompikia mumeo na kumfulia unapata thawabu mara 100 zaid

Nimekueleza hayo machache tu
lkn yapo kedekede yanayomfanya MKE katika uislam aishi kama mfalme
na MWANAMKE katika uislam thamani yake iwe juu kam lulu

na ndio maana wakaambiwa wataingia mlango wa PEPO waitakayo
katika UISLAM pepo zina madaraja kwa ubora wake kama unavyoona hotel nyota 3 nyota 4 nyota 5 basi pepo nazi zipo hivyohvyo
sawa wanawake wa kiislam waliolewa wameahidiwa wataingia katika pepo wazitakazo wenyewe watakavyopenda
ikiwa watafanya mambao haya matatu
1. akamtii MUMEWE
2.Akaswali sala 5
3.akafunga ramadhani
basi wataingia katika pepo yoyote ile waitakayo

Ukiona MWANAMKE wa KIISLAM ananyanyasika basi ameyataka mwenyewe
kwa upumbavu wake na kuivunja NDOA yake mwenyewe

Hata kama ni mshirikina?
 
Back
Top Bottom