jailos mrisho
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 647
- 1,360
Hebu tazama ulivyoandika hapo! Nendeni shule acheni kusoma hayo malugha ya kiarabu shauri yenu! Hupo ndo neno gani hapo shekhe mariamuuPamoja na kupata elimu lakini bado ujinga hupo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu tazama ulivyoandika hapo! Nendeni shule acheni kusoma hayo malugha ya kiarabu shauri yenu! Hupo ndo neno gani hapo shekhe mariamuuPamoja na kupata elimu lakini bado ujinga hupo
Hongera sana, hata mimi nimeokoka na ninaona kuna vitu nipo tofauti na wenzangu. Ila mpendwa nimefurahi kusikia umeokoa ila mpendwa kuna vitu inabidi uvifanyie kazi kwani sio vya mtu aliyeokoka kama lugha mbaya zenye ukakasi. Hua huna lugha nzuri hasa upande wa siasa.Kulikuwa na minong'ono kuwa ndugu yetu mkubwa ni mchawi na ana roho ya wivu. Mafanikio anataka yawepo ndani kwake tu. Wengine walikuwa mpaka wanakuwa wa kwanza kiwilaya katika mitihani ya dhihaki (mock) darasa la saba.
Ikifika mitihani ya taifa wenzake aliyowaburuza darasani wanapangiwa Mzumbe, Kilakala, Tabora Boys n.k lakini yeye hata shule ya sekondari ya wilaya hafiki. Akibahatika basi atapata kuchaguliwa shule ya ufundi seremala.
Sometimes mtu anafanya usaili wa kwenda jeshi kila kitu kinakaa sawa, mara mambo yanacease mtu anaendelea kuwa fukara.
Brother wetu mmoja alikubalika sana mpaka aliweza kupewa kuwa kaka mkuu kuanzia la nne mpaka siku anamaliza la saba, kwenye michezo ndiyo alikuwa balaa, kila mchezo anaoshiriki lazima afike mkoani na huko mkoani hakuna wa kushindana naye. Leo hii ni maskini kabisa.
Mimi nikiwa darasa la saba nikampokea Yesu na kuokoka. Kwa mara ya kwanza katika ukoo wetu nachaguliwa kwenda sekondari tena shule ya kitaifa si ya kata au wilaya. Nilihakikishiwa kabisa kuwa sitavuka la saba na kutolewa mifano ya wenzangu, lakini Yesu akavunja mipaka mpaka sasa ni mwajiriwa wa serikali.
Nimesoma mpaka chuo kikuu, ndiyo mtu wa kwanza kuwa na degree katika ukoo wetu na ndiyo mtu wa kwanza kuionja sekondari katika Ukoo wetu, na ndiye mtu wa kwanza katika ukoo wetu kuwa Mkristo.
Yesu ndiye kiboko ya uchawi, laana, mikosi na kila hila. Ukimpokea kwa lengo jema ukiamini kuwa yeye ni njia ya kweli na uzima hatakuacha.
Kuna mambo mengi kanitendea ila napenda kwa leo tuishie hapa.
Mtu mwenyewe anytime anaweza akapigwa redundancy alafu anajimwambafai, akipitishiwa panga ataanza kuwalilia waliomkata panga anamsahau Yesu, kweli Africa ndipo ujinga ulipozaliwa na wajinga ni wengi kupita maelezo yaan mtu anamiliki vyeti tu ila kichwani emptyTatizo la watanzania wengi ni kushangilia ushindi kabla mechi haijaisha. Ajira tu umeshajiona Bill Gates. Inasikitisha sana.
Utaielezea wapi? Na kwanini usielezee hapa? Hauoni km huo ni sehemu ya ujinga ulionao? Kazi na kupata kazi na ajira ni juhudi, mbinu na maarifa ya mtu binafsi plus connection ukikosa vyote utaishia kua kapuku tu acha kumbebesha Yesu mizigo isiyomuhusuNa elimu ya kutosha kuhusu hili. Ipo hivi na ieleweke ya kwamba. Waafrika wako masikini sababu maisha yao yapo connected na mizimu, na mizimu haitaki maendeleo thus ukijenga nyumba kijijini unalogwa ukiaga unalogwa, ukisoma haufaulu,ukilima ufanikiwi,nk. Ni hadi uwe maarifa ya kucut off ile connection ndipo utoboe.Talielezea Ili.
Wote awaendi kanisani kwa lengo moja.Kwenda kanisani,kumjua Mungu na kuwa na maarifa ya kiMungu ni vitu tofauti kabisa.Na si KILA mtu ana interest za kuwa tajiri.Sasa Yesu ameingiaje au Yesu ndio amempa kazi au Yesu ndio amemuajiri? Sometimes acheni upambe na kampeni za kijinga km hizi watu sio wajinga kiasi hicho hata km ni mfia dini huwezi ukaandika ujinga km huu ulioandikwa hapo, wewe eleza ni juhudi na kutokukata tamaa plus connection ndio vimekupa mafanikio ya kufikia malengo yako stop saying Yesu kanipa hiki Yesu kanipa kile huo ni upotoshaji mnafanya kampeni za kuingiza watu wengi kwa wachungaji wapigaji huku wao wanabaki kua masikini,
Km Yesu angekua hivyo kila anaeenda kanisani si angekua anaenda na RR sasa mbon wengine ni makapuku na kila siku wanatoa Sadaka au Yesu yupi mnaemzungumzia? Msitufanye sisi mazuzu
Ni shule inahitajiHuwezi kutulia kidogo pia ni mada ambayo inaweza ikapanda yenyewe stay tune. Huwezi ukafanikiwa bila kutengeneza ulimwengu wako wa roho kwanza ndipo utapata hizo connection, kupambana sio kupata bali kupata ni wakati, watu Wana juhudi Sana wanafanya Sana Kazi still awatoboi.Utaielezea wapi? Na kwanini usielezee hapa? Hauoni km huo ni sehemu ya ujinga ulionao? Kazi na kupata kazi na ajira ni juhudi, mbinu na maarifa ya mtu binafsi plus connection ukikosa vyote utaishia kua kapuku tu acha kumbebesha Yesu mizigo isiyomuhusu
Haya maneno muambie Sandali Ali anaehisi vitu vinarahisishwa na Yesuwatu Wana juhudi Sana wanafanya Sana Kazi still awatoboi.
Sasa umemuelewa alichokiandika Sandali Ali hapo au unapingana nae kwamba kaandika ujinga? Yeye anasema Yesu kampa kazi kampa ajira, yaan anaamisha wale wote wanaosota makanisani kumuomba Mungu ili wafanikiwe kimaisha na hawafanikiwi kwa lolote huku wakijimaliza kutoa Sadaka za kuchangia kujenga makanisa hawana Yesu au hawapo na Yesu? Ila wakibadiri dini kutoka uislma na kuhamia ukristu na kua na Yesu basi watapata kazi na watapata ajira km sio uzuzu ni nini huo?Wote awaendi kanisani kwa lengo moja.Kwenda kanisani,kumjua Mungu na kuwa na maarifa ya kiMungu ni vitu tofauti kabisa.Na si KILA mtu ana interest za kuwa tajiri.
Amejisema mwenyewe,wewe kama huamini anachoamini kama kimyaa,watu kama nyinyi mmejichukulia kama mizani ya dunia yaani Jambo lenu sahihi la wengine sio,kama huamini,puuza sio kujifanya Una jibu la kila kitu cha dunia hii.Amesema Yesu wake wewe unaumia niniSasa Yesu ameingiaje au Yesu ndio amempa kazi au Yesu ndio amemuajiri? Sometimes acheni upambe na kampeni za kijinga km hizi watu sio wajinga kiasi hicho hata km ni mfia dini huwezi ukaandika ujinga km huu ulioandikwa hapo, wewe eleza ni juhudi na kutokukata tamaa plus connection ndio vimekupa mafanikio ya kufikia malengo yako stop saying Yesu kanipa hiki Yesu kanipa kile huo ni upotoshaji mnafanya kampeni za kuingiza watu wengi kwa wachungaji wapigaji huku wao wanabaki kua masikini,
Km Yesu angekua hivyo kila anaeenda kanisani si angekua anaenda na RR sasa mbon wengine ni makapuku na kila siku wanatoa Sadaka au Yesu yupi mnaemzungumzia? Msitufanye sisi mazuzu
Mkuu sijapingana nae ila alichokosea ni kutuaminisha kwamba ukiwa na Yesu then you're successful in each & everything that's rubbish, mimi mkristu tena sio wa mchongo alichokiandika ni ujinga km ingekua ni kwa faida yake binafsi si angebaki nayo kwenye kitabu chake cha kumbukumbu, yeye kaja kuwachota wafuasi humu watoke uislam waende ukristu kwamba ukiwa mkristu utafanikiwa kimaisha hio dhana ni potofu, na hii sio mara yake ya kwanzaAmejisema mwenyewe,wewe kama huamini anachoamini kama kimyaa,watu kama nyinyi mmejichukulia kama mizani ya dunia yaani Jambo lenu sahihi la wengine sio,kama huamini,puuza sio kujifanya Una jibu la kila kitu cha dunia hii.Amesema Yesu wake wewe unaumia nini
Nimekuambia usijifanye wewe ndio mzani wa dunia kuwa majibu yako ndio sahihi,suala la kuamini la mtu binafsi hata wengine watakaovutika ni uelewa wao na Imani yao na vipimo vyao ndio vitakavyowapeleka huko .. kwamba wewe ni wale much know..aaah!Acha vitisho visivyo na hojaMkuu Saint Anno II njoo umsaidie Sandali Ali huku
Mkuu sijapingana nae ila alichokosea ni kutuaminisha kwamba ukiwa na Yesu then you're successful in each & everything that's rubbish, mimi mkristu tena sio wa mchongo alichokiandika ni ujinga km ingekua ni kwa faida yake binafsi si angebaki nayo kwenye kitabu chake cha kumbukumbu, yeye kaja kuwachota wafuasi humu watoke uislam waende ukristu kwamba ukiwa mkristu utafanikiwa kimaisha hio dhana ni potofu, na hii sio mara yake ya kwanza
Huyu amepotoka kifikra na kiakili inabidi tumuweke kwenye mstari sahihi kwamba mafanikio hayana udini, umenielewa?
Na wewe kabla ya kunivamia na kunikosoa jipime uwezo wako wa kufikiri km fikra zako ni fupi usipimane na mimi
Hakuna niliposema mimi ni mzani wa dunia nilichosema aache tabia ya kuaminisha watu kua ukiwa muislamu na hauna Yesu basi haufanikiwi huo ni uongo ninao ndugu zangu ni waislamu na wana ukwasi mzuri tu, acha kuishi na hio mentality kwamba ukiwa muislam haufanikiwi kimaisha sio ukweliNimekuambia usijifanye wewe ndio mzani wa dunia kuwa majibu yako ndio sahihi,suala la kuamini la mtu binafsi hata wengine watakaovutika ni uelewa wao na Imani yao na vipimo vyao ndio vitakavyowapeleka huko .. kwamba wewe ni wale much know..aaah!Acha vitisho visivyo na hoja
Sawa umeeleweka mkuu kwa hio unamaanisha suluhu ya hayo yote ni kutoka uislamu na kuongia ukristu ili Yesu akupe mafanikio si ndio au umemaanisha nini?Shida zote wanazopitia watu mfano umasikini, magonjwa, talaka, usingle, kuzaaa hovyo, ulevi, laana na mikosi mbalimbali chanzo ni connection na mizimu na wengi hawana elimu hii thus wanachapwa na umasikini, magonjwa, talaka,ulevi, uzinzi,uroho, ubinafsi,teswa na wachawi,nk. CUT OFF ILI UWE HURU inatakiwa uyatawale mazingira yako na sio mazingira yakutawale.
CUTT OFF.