Katika ulimwengu wa kishirikina, nguo yako ni wewe

Ulinzi muhimu sana ngozi nyeusi bure kabisa akiona tu unaendelea anakuroga
 
Yani kunadude linafanya matukio likiwa na Housing yako ? Au ipoje hiyo.
Unamsaidia mtu lakini kumbe anataka mkwame, na wakati hajui ataanzia kama ukikwama wew unayemsaidia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hili ndo chawi lenyewe sasa!

Nitakufuatilia kwa karibu, na nikikubaini!!!!!
Hata wewe nakuamini una akili kumbe bado una amini upumbavu wa kishirikina,mimi sio mshirikina ,ukitaka kunidhuru niviie uniwekee sumu au nipige risasi au mapanga huo ndio uchawi wa kweli utopolo mwingine wote ni uongo mtupu,nenda kamroge bakhersa ili niamini
 
hicho chumba Giza Nene jamaa alioneje shati na alikua haruhusiwi MTU kuingia hapo kwa shangazi yake singida!!

Hakikisha kilasiku nguo uliyovaa umefua katika uchawi hakuna kitu muhimu kama jasholako ,usiruhusu pia chupi au boxa ilale bila kufuliwa
 
Kwamba huringi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Wewe ndiye mchawi mwenyewe tunaowaongelea hapa. Hakuna mchawi hata mmoja anaependa kujulikana kwamba ni mchawi.
na wewe pia una imani za kishirikina.dah halafu utakuta ni kijana kabisa ila shule haijakusaidia
 
Huyo mtaalamu anapatikana wapi Mkuu? Nina mhitaji sanaaaaa!!
 
Ni mateso haswa.kuna mtaa niliishi mwaka jana walininyoa nywele usiku mpaka leo zimegoma kuota sehemu fulani nikawa nashangawa na watu ikabidi nipige para

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu pole Sana...
Nenda KAWE kwenye Madhabahu ya inuka uangaze, ya Mtume Boniface Mwamposa, nina uhakika nywele zitaota!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…