Hajui kuwa Rais akiwa na watendaji wazuri wenye kuwajibika ipasavyo, pongezi huwa zinaelekezwa kwa Rais.Shida yetu waTanzania ndio, kuto appreciate kazi za wenzetu, hata Kama kuna vjn wanafanya hiyo kazi still yeye ndio aliwafumbua macho. Roho mbaya zinatusumbua
Na wewe anzisha yako kama unaona wepesiMSIMPE SIFA ZOTE YEYE...yeye ni mwanzilishi tu wa hiyo brand ya kipanya, lkn kuna ofc kabisa vijana wameajiriwa...ndo huwa wana brainstorm na kuchora, tena katuni nyingi then zinapigiwa kura kwenye group lao la whatsapp, masoud anaidhinisha. hana akili zozote kukuzidi ww mtoa mda.
Aisee jamaa anatumia akili sana
Ni brand yake, lazima apewe credit. Bila yeye hao vijana wangepata wapi hizo ajira.MSIMPE SIFA ZOTE YEYE...yeye ni mwanzilishi tu wa hiyo brand ya kipanya, lkn kuna ofc kabisa vijana wameajiriwa...ndo huwa wana brainstorm na kuchora, tena katuni nyingi then zinapigiwa kura kwenye group lao la whatsapp, masoud anaidhinisha. hana akili zozote kukuzidi ww mtoa mda.
Wazo zuri sana hiliNi Uzi bomba sana....
Ombi kwa Mods, wasiufute Uzi, wakidhani jamaa(Masoud) anatumia nafasi hii kujitangaza..!
Wengi kwa sasa hawana muda wa kumsoma kwenye Magazeti, kupitia hii special thread, angalau tutazipata na kusoma Vibonzo vyake....
Hii itapelekea kujifunza na kuburudisha BONGO...!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Mganga angemdirect kwa bashite [emoji2] [emoji2]
HahahahaaaaMkuu Mganga angemdirect kwa bashite [emoji2] [emoji2]
hizo ni trilionOk kwa taarifa ila hapo kwenye picha naona 1.5 ndo nyaraka ina page 1.5 au?
Bbgggg