Katuni za Masoud Kipanya (Special thread)

Shida yetu waTanzania ndio, kuto appreciate kazi za wenzetu, hata Kama kuna vjn wanafanya hiyo kazi still yeye ndio aliwafumbua macho. Roho mbaya zinatusumbua
Hajui kuwa Rais akiwa na watendaji wazuri wenye kuwajibika ipasavyo, pongezi huwa zinaelekezwa kwa Rais.
 
Na wewe anzisha yako kama unaona wepesi
 
Ni brand yake, lazima apewe credit. Bila yeye hao vijana wangepata wapi hizo ajira.
 
Wazo zuri sana hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…