Kauli mbalimbali za mwisho za Marubani kabla kupoteza maisha kwa ajali

Kauli mbalimbali za mwisho za Marubani kabla kupoteza maisha kwa ajali

Kuna siku tulipata ajali..dereva alihama barabara baada ya kusinzia.. nliona kama ndoto kilichokuwa kinaendelea..nlishikilia kiti cha dereva Niko gonna kuachana na mwanga..Mungu mkubwa..hatukupata hata mchubuko.
Dah aise ni jambo la kumshukuru Mungu mfano..Marehemu Edward Moringe Sokoine alikua kiti cha nyuma kwenye benzi yake ajali ilivyotokea alijikuta ametokea kwenye kioo cha mbele gari ana alivunjika mbavu mbili na mkono. Dereva na mlinzi walitoka salama kabisa
 

Attachments

  • IMG_20241218_135509.jpg
    IMG_20241218_135509.jpg
    150.4 KB · Views: 3
Dah aise ni jambo la kumshukuru Mungu mfano..Marehemu Edward Moringe Sokoine alikua kiti cha nyuma kwenye benzi yake ajali ilivyotokea alijikuta ametokea kwenye kioo cha mbele gari ana alivunjika mbavu mbili na mkono. Dereva na mlinzi walitoka salama kabisa
Hatari sana mkuu. Sisi ya kwetu ilizuiwa na vichaka. Ilasimama.
 
Dah aise ni jambo la kumshukuru Mungu mfano..Marehemu Edward Moringe Sokoine alikua kiti cha nyuma kwenye benzi yake ajali ilivyotokea alijikuta ametokea kwenye kioo cha mbele gari ana alivunjika mbavu mbili na mkono. Dereva na mlinzi walitoka salama kabisa
Ajali wapi babu, nasikia prof shaba kishafariki
 
Dah aise ni jambo la kumshukuru Mungu mfano..Marehemu Edward Moringe Sokoine alikua kiti cha nyuma kwenye benzi yake ajali ilivyotokea alijikuta ametokea kwenye kioo cha mbele gari ana alivunjika mbavu mbili na mkono. Dereva na mlinzi walitoka salama kabisa
........na ukaamini hii story ya sokoine mpaka leo?...........
 
Back
Top Bottom