Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Ndege ndio usafiri salama zaidi.Ila ndege ni risk hatari,bora gari unaweza pond asieee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndege ndio usafiri salama zaidi.Ila ndege ni risk hatari,bora gari unaweza pond asieee
Kwenye gari hamna vifaa vya kurekodia sauti ila kauli za mwisho hua zipo
This is it, baby!Here we go
Hauwezi kuongea chochote ZAIDI ya kusubiri muda.Hivi kwenye magari vipi?
Hiyo mbona ya zamani sana, labda hutumiwa na watoto siku hizi..Ila nadhani kwa bongo kauli za mwisho kwenye ajali huwa ni mamaaaaaaaa!!
Unatakiwa kutoa shahadaIla nadhani kwa bongo kauli za mwisho kwenye ajali huwa ni mamaaaaaaaa!!
Kuna siku tulipata ajali..dereva alihama barabara baada ya kusinzia.. nliona kama ndoto kilichokuwa kinaendelea..nlishikilia kiti cha dereva Nikingoja kuachana na mwanga..Mungu mkubwa..hatukupata hata mchubuko.Hivi kwenye magari vipi?
Dah aise ni jambo la kumshukuru Mungu mfano..Marehemu Edward Moringe Sokoine alikua kiti cha nyuma kwenye benzi yake ajali ilivyotokea alijikuta ametokea kwenye kioo cha mbele gari ana alivunjika mbavu mbili na mkono. Dereva na mlinzi walitoka salama kabisaKuna siku tulipata ajali..dereva alihama barabara baada ya kusinzia.. nliona kama ndoto kilichokuwa kinaendelea..nlishikilia kiti cha dereva Niko gonna kuachana na mwanga..Mungu mkubwa..hatukupata hata mchubuko.
Nimewaza ingekuwa rubani wa Tanzania, atumie kiswahili.
Last seconds are scary, death is scary!!
Hatari sana mkuu. Sisi ya kwetu ilizuiwa na vichaka. Ilasimama.Dah aise ni jambo la kumshukuru Mungu mfano..Marehemu Edward Moringe Sokoine alikua kiti cha nyuma kwenye benzi yake ajali ilivyotokea alijikuta ametokea kwenye kioo cha mbele gari ana alivunjika mbavu mbili na mkono. Dereva na mlinzi walitoka salama kabisa
Mi huangalia air crash investigation,yaani sitamamani kupanda ndege,siku nikipanda sitokua na imani kabisa na ikitua wa kwanza kutokaUkiona zile clips unaweza usipande ndege tena
Ajali wapi babu, nasikia prof shaba kishafarikiDah aise ni jambo la kumshukuru Mungu mfano..Marehemu Edward Moringe Sokoine alikua kiti cha nyuma kwenye benzi yake ajali ilivyotokea alijikuta ametokea kwenye kioo cha mbele gari ana alivunjika mbavu mbili na mkono. Dereva na mlinzi walitoka salama kabisa
Prof Shaba kahusikaje mkuuAjali wapi babu, nasikia prof shaba kishafariki
Ndiye aliyemfanyia postmortem marehemu,alikua akisema 'nimejitoa mara mbili kwenye mwili wa marehemu'Prof Shaba kahusikaje mkuu
Bro.. nakipataje?!Kipindi cha last seconds before crash kinatisha sana ukikiangalia
Wakenya walituponda sana kwenye Ile Ajali kwa kukosekana Mtanzania hata mmoja kwenye Ile Ajali, wao waliokufa 10plus, waganda 7Daaa sanaa aseee ile Ethiopian iliua wengi sana wa EA asee boßs wangu mmoja pia alifariki ile ajali...
........na ukaamini hii story ya sokoine mpaka leo?...........Dah aise ni jambo la kumshukuru Mungu mfano..Marehemu Edward Moringe Sokoine alikua kiti cha nyuma kwenye benzi yake ajali ilivyotokea alijikuta ametokea kwenye kioo cha mbele gari ana alivunjika mbavu mbili na mkono. Dereva na mlinzi walitoka salama kabisa