Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Goodbye babyHakuna aliye mkumbuka watoto wala Mke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Goodbye babyHakuna aliye mkumbuka watoto wala Mke
Damn it! Means "stop it", kudadadadeki means "hatari"Yeah, vinarandana...
Kuna maneno ya kiingereza hayana tafsiri ya moja kwa moja kwa kiswahili so tafsiri yake kwa kiswahili inategemea na jinsi linavyotumika. Damn it hutumika wakati mtu anapokutana na tukio ambalo hakulitarajia ambalo nisi zuri. Mfano ukidondosha glasi ya maji unaweza kusema damn it. So situation kama hiyo kwa kiswahili unaweza kutumia kudadeki, kubabake au kmmke. So kwa misingi hiyo damn it kwa kiswahili ni sawa na kusema kudadeki, kubabake nk. Huvyo ndivyo mimi ninavyoelewa.Damn it! Means "stop it", kudadadadeki means "hatari"
Hiyo kauli inatokaga kwa mitoto MIPUMBAVU inayosema bora unitukanie baba yangu kuliko mama yangu....lazima jitu pumbavu kama hili litalia mama mama mama... hatakama lina mandevu.Ila nadhani kwa bongo kauli za mwisho kwenye ajali huwa ni mamaaaaaaaa!!
Ha ha ha ha aissHiyo kauli inatokaga kwa mitoto MIPUMBAVU inayosema bora unitukanie baba yangu kuliko mama yangu....lazima jitu pumbavu kama hili litalia mama mama mama... hatakama lina mandevu.