Kauli mbalimbali za mwisho za Marubani kabla kupoteza maisha kwa ajali

Kauli mbalimbali za mwisho za Marubani kabla kupoteza maisha kwa ajali

Kuna siku tulipata ajali..dereva alihama barabara baada ya kusinzia.. nliona kama ndoto kilichokuwa kinaendelea..nlishikilia kiti cha dereva Niko gonna kuachana na mwanga..Mungu mkubwa..hatukupata hata mchubuko.
Ulikuwa ushatoa kauli gani?
 
Kifo ni moja ya kitu kigumu sana kukikubali basi tu
 
Experts wa air crush investigations wanasema moja ya moments ngumu ni kusikiliza hizo kauli za mwisho za marubani, kwenye cockpit voice recorders.
Maana huwa wanasikiliza happy moments mwanzo wa safari na kauli za kukata tamaa wakati majanga yanapotokea
 
Tusitishane aloo..nataka nisafiri kama nchi nne January an February
 
Back
Top Bottom