Uchaguzi 2020 Kauli mbiu ya Uhuru na Kazi yampaisha Tundu Lissu

Uliloandika hapa ndiyo msimamo wa Tundu Lissu Rais mtarajiwa
 
Sasa CCM ni Chama Cha siasa au majizi ya rasilimali za Taifa?
Sio chama Cha siasa tu Ni chama tawala, vijimaneno vya Wana Sacco's havitusumbui tupo na jembe magufuli HAPA KAZI TU [emoji23][emoji1787]
 
Sio chama Cha siasa tu Ni chama tawala, vijimaneno vya Wana Sacco's havitusumbui tupo na jembe magufuli HAPA KAZI TU [emoji23][emoji1787]
Naona uko night shift, piga kazi buku 7 iende kihalali taga.
 
Naona uko night shift, piga kazi buku 7 iende kihalali taga.
Wanaccm wanajitambua wamejiajiri/kuajiriwa,sio nyie Wana Sacco's kazi kucheza pool table na kushinda mitandaoni bila kutumia mitandao hiyo kuingiza faida halafu mnalalamika Hali ngumu shukran kwa awamu ya 5 kwa kutupeleka kipato cha kati
 
Wanaccm wanajitambua wamejiajiri/kuajiriwa,sio nyie Wana Sacco's kazi kucheza pool table na kushinda mitandaoni bila kutumia mitandao hiyo kuingiza faida halafu mnalalamika Hali ngumu shukran kwa awamu ya 5 kwa kutupeleka kipato cha kati
UCHUMI WA KATI WEE ULIUSIKIA WAPI??
 
Amesema amekodi msemo huo kutoka kwa Baba wa Taifa Mwl. J K Nyerere...?
 
Tatizo Watanzania wengi hawajaguswa sana na ishu ya Uhuru.

Ongeleeni kuhusu Uchumi.

Uhuru ndiyo hoja ya msingi kabisa hiyo kamata kamata hiyo imemgusa kila mtanzania hasa wa mijini uhuru hauna substitute pata vyote maishani mwako kukosa uhuru utatamani ukose kila kitu uwe na uhuru kama alivyosema Nyerere ni afadhali kuwa masikini lakini uko huru
 
Nani kama Tundu Lissu, cheki alivyovuta nyoyo za waTanzania kudai uhuru katika kazi zao za ukulima, uvuvi, ufugaji , biashara na haki ya mlipa-kodi kupata Uhuru ndani ya Maendeleo yake ktk kila kona ya nchi




treni ya arusha na tundu lissu nan amejaza zaidi ya mwingine, imagine treni ina watu wengi kuliko mgombea sasa jamaa alieleta treni mwenyewe akianza kuzunguka itakuaje, nafurahi kuona upinzani wa vyama vingine unakua hili cdm kichefuchefu lipishe wengine wawafundishe kazi
 
Umenena vema sana.Ingelikuwa Uhuru hauna maana tusingemtoa mkoloni
 
Amesema amekodi msemo huo kutoka kwa Baba wa Taifa Mwl. J K Nyerere...?
Kwani Kuna neno gani geni na jipya Dunia hii ambalo halijawahi kutamkwa na mtu? Lina Hatimiliki kwani kwamba ni marufuku mtu mwingine kulitamka kinywani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…