SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Maprofesa kama hawa ndiyo wanafanya Dr. Kasheku Msukuma aonekane shujaa.Professor mwingine anaye wazalipisha maprofessor!Kweli katiba mpya inahitajika sana!
Tutegemee kuokota maiti zao kwenye sandarusi huko Coco beachKwahiyo atawaua? Atawapoteza?
Kama ni hivyo basi aache washambuliane.J
Jaji Mkuu yuko SAWA, hao WANAWASHAMBULIA hivyo na yeye anayo haki ya KUWASHAMBULIA kwa mkwara mzito na hata ikibidi KWA VITENDO. Kama wana hoja waende huko kwenye mfumo wao wa Mahakama waitafute haki yao. Siyo kufanya mambo kama watu ambao hawakusoma.
Safi sana, hata humu mawakili vishoka kila siku baada ya kesi ya mbowe ni karaha. Jaji mkuu fanya kweli
KabisaAtakuja na vifaa vilivyobakia maana shughuli pevu na lazima ikamilike kwa 100%
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Na kweli, kwa kauli hii, atafanya kweli, mtu hatari Sana huyuTutegemee kuokota maiti zao kwenye sandarusi huko Coco beach
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hao wote ni zao la jiwe hivyo bado wanaamini kuwa jiwe ndiye kila kitu hapa duniani.Hivi KWA matamshi Kama aya anadhani ataendelea kukalia kiti maisha yote, ? Hivi awa watawala wanawachukuliaje wenye nchi,
Kwa Tanzania kesho utasikia kapewa nishani ya utumishi ulio tukuka.Ingekuwa ni uk sasa hivi huyu mzee angekuwa kesha pewa kiinua mgongo chake akale na wajukuu wake.
Hakika utakuwa ni uendawazimu kama ule wa kutuaminisha kuwa nchi haina corona wakati watu walikuwa wanapukutika tuAjiulize sababu ya watu kutaja location za wanakokaa ni zipi .
Kila tatizo lina mzizi wake na hatuwezi kuyatatua matatizo yetu kwa kujidanganya kuwa hayapo.
Naye àtashughulikiwa, Muulize Magufuli yuko wapiKulingana na maadili ya uwakili hutakiwi kwenda kumshambulia Jaji kwenye mitandao au sehemu yoyote ile. Kama ametoa uamuzi ambao hujaupenda au amekufanyia kitu chochote ambacho hakipo sawa kuna sehemu za kupeleka malalamiko yako na siyo kwenye mitandao...
Anayekubali kuchutama ni muungwana wa kuzaliwa.Tuliwaambia hii Kesi inauvua Muhimiri wa Mahakama.
Haya sasa mmebaki kuwa Wakalii tuu na Jazba juu. Chutameni sasa ndio hekima iliyobakia.
Kesi ya Mbowe imewakalia vibaya sasa wameanza maandalizi ya kujihami na hukumu.MwanaHalisi Digital imemnukuu Jaji Mkuu wa Tanzania akikemea vikali tabia ya baadhi ya watu wakiwemo wanasheria ya kumkosoa Jaji au mwanasheria wa upande mwingine kiasi cha kumtaja kwa jina na picha yake, na wakati mwingine kutaja hadi mahali anakokaa...
Sasa ni zamu ya Mawakili kupotezwa. Enzi za Magufuli ilikuwa kosa mshtakiwa kuweka Wakili, ilionekana Mawakili hawana uzalendo wanatetea wahalifu. Sasa Jaji ameunga mkono kauli ya Polepole kwamba kuna wahuni walibaki hawakushughulikiwa na Magufuli.Tutegemee kuokota maiti zao kwenye sandarusi huko Coco beach
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
This shows your level when it comes to LOGIC ARGUING and presentation of logic and mature arguments here in JF. Unatupa urahisi wa kuchambua PUMBA, CHUYA NA MCHELE. Pole sana TIRED!Rubbish
Haishangazi mkuu maana tumeshuhudia mengi sana ya aina hii.Kwa Tanzania kesho utasikia kapewa nishani ya utumishi ulio tukuka.
Huwezi kutishia watu kwamba siku zao zina hesabika. Je akifa usiku huu??Kwenye maadili ya uwakili kuna kitu kinaitwa wajibu kwa wakili mwenzako na wajibu kwa mahakama, Jaji Mkuu alilrnga haya sana sana mawakili wamemuelewa vyema.
Wakili ni afisa wa mahakama na anawajibu kama afisa wa mahakama na pia ana wajibu kwa taaluma na wakili mwenzake.
Pale ni baba alikuwa anaongea na wanawe usimshangae akiwakemea.
They are not related nor connected!Haishangazi mkuu maana tumeshuhudia mengi sana ya aina hii.
Jitu hovyo kabisaHuwezi kutishia watu kwamba siku zao zina hesabika. Je akifa usiku huu??
Hakuna baba mpumbavu kama huyu.