Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Mwamba naona sonona yako imeisha baada ya Mwenezi kurudi.Makonda anawatesa sana machadema!
Mlisemaga akitoka madarakani mtamshughulikia, ila kakaa bila cheo muda wote na leo kapewa cheo bado anawachachafya huku mmeufyata.
Waliokosa hoja hawa maccm bwanaSasa habari za madeni ya Lema zinaingiaje kwenye uzi huu?
Ndivyo ilivyo.....kawekwa kuzima moto wa S/gang lakini bado hamna kituMakonda yawezekana hata fellas0wenzake ndani ya ccm hawampendi.
Amepitia kipindi kigumu sana kwa miaka mitatu mfululizoKatoka heda
Makonda hapendwi na Watanzania wengi sio Lema tuMakonda anawatesa sana machadema!
Mlisemaga akitoka madarakani mtamshughulikia, ila kakaa bila cheo muda wote na leo kapewa cheo bado anawachachafya huku mmeufyata.
Oohh, sawa, basi pigia mstariNayajua sana pengine kuliko wewe
Takataka kama wewe bure!!Hivi Lemma amemaliza kulipa madeni yake? Karibu benki zote zinamdai wakati akiwa ughaibuni, na nyumba zake Dar na Arusha ilikuwa zipigwe mnada.
Pia alimponza kaka yake aliyekuwa akimiliki Villa Park Mwanza mpaka akafungiwa. Aliigeuza Villa Park ofisi ya Chadema ya Mkoa, wakati Villa Park alikuwa kapanga katika eneo la CCM.
Kwa taarifa yako, kuna wana CCM wanateseka juu ya Makonda zaidi ya kitu chochote...bold my words brother!Makonda anawatesa sana machadema!
Duh!!Kama yanayosemwa ndiyo kweli basi mama yetu ana la kujifunza
Ntaenda MachameKapigie chatto