TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
Naskia matokeo ya shule ya sekondari kizimkazi ni AIBU sijayaona nimesikia tu😁😁tanzania ndio nchi pekee ccm inapenda wajinga waongoze nchi kama matokeo ya shule ya sekondari kizimkazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naskia matokeo ya shule ya sekondari kizimkazi ni AIBU sijayaona nimesikia tu😁😁tanzania ndio nchi pekee ccm inapenda wajinga waongoze nchi kama matokeo ya shule ya sekondari kizimkazi
Wanaogopa kupoteza kibarua chao..waandishi wa habari wamuulize Makonda kuhusu tuhuma za utekaji na mauaji dhidi yake.
..tuhuma kama hizo zingekuwa zinasema kuhusu kiongozi wa Chadema waandishi wangemuandama kwa maswali kila wanapopata nafasi.
..waandishi wa habari hapa Tanzania wanaogopa kuwauliza viongozi wa Ccm maswali magumu.
Lema na mbowe wote walifeli Shuletanzania ndio nchi pekee ccm inapenda wajinga waongoze nchi kama matokeo ya shule ya sekondari kizimkazi
Haki haki haki.Chadema acheni ujinga, maneno mengi tangu 2015 mpaka leo ni yale yale! Ni ujinga tu
Makonda akiulizwa Atakataa tu hizo tuhuma ili isiharibu reputation yake, kwahiyo mwenye uwezo wa kuzisema ni shahidi ambae ni Lema yeye ndo anatakiwa aweke wazi..waandishi wa habari wamuulize Makonda kuhusu tuhuma za utekaji na mauaji dhidi yake.
..tuhuma kama hizo zingekuwa zinasema kuhusu kiongozi wa Chadema waandishi wangemuandama kwa maswali kila wanapopata nafasi.
..waandishi wa habari hapa Tanzania wanaogopa kuwauliza viongozi wa Ccm maswali magumu.
Makonda akiulizwa Atakataa tu hizo tuhuma ili isiharibu reputation yake, kwahiyo mwenye uwezo wa kuzisema ni shahidi ambae ni Lema yeye ndo anatakiwa aweke wazi
Wenye sonona ni mabavichaMwamba naona sonona yako imeisha baada ya Mwenezi kurudi.
Unamuogopa sana MakondaIna maana ndani ya ccm wamekosa watu wenye weledi wa kufanya kazi hiyo?
Hata Shaka aliweza kuifanya hiyo kazi
Kuna mahali nimesema hivyo?Kwahiyo tuache kujadili hoja,tumuweke Lema na kaka yake kati,tuanze kuwajadili?
Umesema bila wewe mwenyewe kujua kama umesema.Tuishie hapa.Kuna mahali nimesema hivyo?
Fanya uchunguzi, nina wasiwasi kama kichwani uliwekewa akiliUmesema bila wewe mwenyewe kujua kama umesema.Tuishie hapa.
Kasi ya Makonda imewapoteza CHADEMA. Inawakumbusha pale alipowabana wauza madawa. Lema ni mpumbavu tuMbunge wa zamani wa Arusha juu ya Makonda inafikirisha sana na kuogofya.
Nafikiri mh Lema anajiamini sana kupitiliza kwenye taifa linalo on ongozwa na ccm.
Naomba tumsikilize kwa makini alafu tujadili.
View attachment 2886672
Lingekuwa ni kosa la jinaiHakuna kitu niliwashangaa CHADEMA eti kama kusema wawe na mjadala na makonda...ni jambo la ajabu...HUYO MTU NI CRIMINAL DUNIA INAJUA. why uwe na mjadala na mhalifu..CHADEMA iendelee kumwita mhalifu,muujaji, mtekaji...
Huna IQ ya kukuwezesha kumjua mtu ana akili au hana,ushahidi ni wewe kuhama MADA iliyowekwa na mleta MADA,unaanza ku-attack personalities,mara Lema ana madeni,sasa inasaidia nini au wewe ni chawa wa mwanadamu meenzako,unaendesha maisha kwa staili hiyo?Fanya uchunguzi, nina wasiwasi kama kichwani uliwekewa akili
Un gi weche madongo!!!Hivi Lemma amemaliza kulipa madeni yake? Karibu benki zote zinamdai wakati akiwa ughaibuni, na nyumba zake Dar na Arusha ilikuwa zipigwe mnada.
Pia alimponza kaka yake aliyekuwa akimiliki Villa Park Mwanza mpaka akafungiwa. Aliigeuza Villa Park ofisi ya Chadema ya Mkoa, wakati Villa Park alikuwa kapanga katika eneo la CCM.
Queen anapandaga Rickshaw.Mara abebe ndizi, mara apande Trela
Sasa hizi ndio siasa gani jamani.