Kauli ya mbunge Sugu kwamba CCM inachukua watu "Wajinga wajinga" kutoka CHADEMA siyo ya kiungwana

Acha uongo! Wenye kujielewa wawe msitari mmoja na malaya kivp yani.
 
Kumbe mpinzani amekuwa fungu la nyanya basi hata nchi wanaweza kuuza.
 
Ulitaka asemaje?? taifa la wajinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani kumuita mtu mjinga kama ana sifa hiyo ni tusi? Au mtu anayeandika uzushi akiitwa mashine ya umbea ni tusi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mzee wa kuuma na kupulizia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani kama malaya malaya (macenaries)
Sent using Jamii Forums mobile app
 
SIO WAJINGA WAJINGA TU BALI NI MA PUMBAVU MA TAAHIRA, WACHUMIA TUMBO NA WEHU!!!!!
 
Alitamka mwaka huu hawatogawa t-shirts na kofia bure ni kwa sababu hela ziko bize kuwanunua hao wasio maono

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mbunge akitumia lugha ya kihuni dhidi ya kiongozi wa chama mhuni hapo uhuni umekuwa formalized. it's even. no problem kabisa!
 

Pata maana ya 'ujinga' kutoka kwa Baba wa Taifa la Tanzania.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…