Gwappo Mwakatobe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,730
- 2,230
Angalizo makini na ushauri mzuri unaopaswa kutekelezwa haraka, hususan kwa Nchemba kujiuzulu au kutenguliwaMh Rais Mama Samia suluhu Hassan bado hujastuka tu kuwa mtu huyu ni hatari katika utawala wako? Waziri wako anadharau amri ya Rais ambayo jana tu asubuhi umemuagiza yeye mwenyewe atwambie kwamba umesikia manung'uniko yetu na kwamba umeziagiza wizara zikae zishughulikie malalamiko yetu wananchi, Kisha siku hiyo hiyo jioni katika kipindi cha tv anazungumza haya?...
Mkuu una jicho la tatuYaliyomkuta JK na Lowassa Mwaka 2015 yana mnyemelea SSH na mwigulu Nchemba 2025.
Mzee tofautisha haki ya kujieleza na majukumu ya utendaji. Mwigulu kama mtendaji anatetea maamuzi aliyofanya kuhusu tozo za miamala.Heeeeh haki ya kujieleza ipo wapi jamani mlioipigania enzi zile🤔! Mwigulu ametumia haki yake ya kikatiba kueleza mtazamo wake! SSH akimtumbua basi ni dictator full stop😡!
Mkuu pale hajaongea kama kutoa maoni yakeHeeeeh haki ya kujieleza ipo wapi jamani mlioipigania enzi zile[emoji848]! Mwigulu ametumia haki yake ya kikatiba kueleza mtazamo wake! SSH akimtumbua basi ni dictator full stop[emoji35]!
Siyo bahati..ana mganga mkaliKweli huyu jamaa ana bahati ya kuzaliwa.....
sioni akiendana na nafasi anazoshika
Asante sana Jasusi nafikiri kitengo bado wako usingizini....enzi za Julius huyu angekuwa kwao anachunga mbuzi na kuripoti kwa balozi wa nyumba kumi kumi...Mh Rais Mama Samia suluhu Hassan bado hujastuka tu kuwa mtu huyu ni hatari katika utawala wako? Waziri wako anadharau amri ya Rais ambayo jana tu asubuhi umemuagiza yeye mwenyewe atwambie kwamba umesikia manung'uniko yetu na kwamba umeziagiza wizara zikae zishughulikie malalamiko yetu wananchi, Kisha siku hiyo hiyo jioni katika kipindi cha tv anazungumza haya?....
Duuh ha ha ha 😲Angalizo makini na ushauri mzuri unaopaswa kutekelezwa haraka, hususan kwa Nchemba kujiuzulu au kutenguliwa
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Hajamalizia kutugombanisha watz anahamia burundi na wale sifa mama hawanaga jambo dogo, ngoja tuangalie kwanzaMh Rais Mama Samia suluhu Hassan bado hujastuka tu kuwa mtu huyu ni hatari katika utawala wako? Waziri wako anadharau amri ya Rais ambayo jana tu asubuhi umemuagiza yeye mwenyewe atwambie kwamba umesikia manung'uniko yetu na kwamba umeziagiza wizara zikae zishughulikie malalamiko yetu wananchi, Kisha siku hiyo hiyo jioni katika kipindi cha tv anazungumza haya?...
😲😲Mkuu Tindo ni wapi Komredi Dr.Mwigulu amemdharau mh.Rais SSH?!!Mwigulu anamdharau huyo mama maana anasema amepata urais wa bahati nasibu. Nina uhakika Mwigulu akiwa rais wa nchi hii lazima nchi damu imwagike. Mwigulu na Magufuli wanafanana kwa kila kitu kasoro tarehe ya kuzaliwa.
Na awahamishie BurundiTuhamie Burundi kisa yeye anapenda kuendelea kuishi maisha ya juu yenye posho kibao?
Kodi zilizopo wanashindwa kukusanya vizuri eti tuhamie Burundi.
Wanashindwa kudhibiti vizuri matumizi ya serikali eti tuhamie Burundi.
Mfyuuu nchi yake hii au ya babake? Ningekuwa raisi ningemtumbua nihakikishe yeye na kizazi chake hakishiki tena madaraka.
Msiwe na wasiwasi ndg Wananchi Watanzania,na wala msikimbilie Burundi,Wakati utafika Mwigulu nae atatoka hapo iwe kwa kupenda au kwa kutokupenda,muda ni Mwalimu mzuri sana!!Mwenye masikio na asikie, mwenye macho na aone. Mwenye nguvu na amtoe Mwigulu anatuumiza na kauli zake.
Kuna tofauti ya Kauli za Kiongozi na Raia wakawaida labda kama hujuiHeeeeh haki ya kujieleza ipo wapi jamani mlioipigania enzi zile[emoji848]! Mwigulu ametumia haki yake ya kikatiba kueleza mtazamo wake! SSH akimtumbua basi ni dictator full stop[emoji35]!