Kauli za jeuri na dharau za viongozi wetu kwa wananchi ni matokeo ya Katiba yetu mbovu

Kauli za jeuri na dharau za viongozi wetu kwa wananchi ni matokeo ya Katiba yetu mbovu

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Katiba bora huwafanya viongozi kutimiza wajibb wao ipasavuo na kuwaheshimu wananchi ambao ndiyo wenye nchi.

Hivi unadhani katiba yetu ingekuwa bora, Samia angetoa hoja dhaifu kuwajibu wananchi wanaokosoa wingi wa safari zake za nje?

Anafanya hivyo kwasabb katiba mbovu imempa nyenzo na mamlaka ya kila namna ya kumuwezesha kubakia madarakani hata kama wananchi hawataki.

Bado tuna safari ndefu sana.
 
Chadema na kupinga-pinga ni pete na kidole
 
Katiba bora huwafanya viongozi kutimiza wajibb wao ipasavuo na kuwaheshimu wananchi ambao ndiyo wenye nchi.

Hivi unadhani katiba yetu ingekuwa bora, Samia angetoa hoja dhaifu kuwajibu wananchi wanaokosoa wingi wa safari zake za nje?

Anafanya hivyo kwasabb katiba mbovu imempa nyenzo na mamlaka ya kila namna ya kumuwezesha kubakia madarakani hata kama wananchi hawataki.

Bado tuna safari ndefu sana.
Tutafika tu.
 
Katiba bora huwafanya viongozi kutimiza wajibb wao ipasavuo na kuwaheshimu wananchi ambao ndiyo wenye nchi.

Hivi unadhani katiba yetu ingekuwa bora, Samia angetoa hoja dhaifu kuwajibu wananchi wanaokosoa wingi wa safari zake za nje?

Anafanya hivyo kwasabb katiba mbovu imempa nyenzo na mamlaka ya kila namna ya kumuwezesha kubakia madarakani hata kama wananchi hawataki.

Bado tuna safari ndefu sana.
Ni matokeo ya wananchi kuwa waoga na wala sio matokeo ya katiba tulionayo
 
Uwoga wa wananchi imesababishwa na mifumo kandamizi ambayo nayo ni zao la katiba.

Wapo watanzania wengi waliothubutu kupingaba na rais ama serikali lkn hawakushinda badala yake wao ndiyo walipata tabu.
Siku zote huwa sio rahisi kumshinda mkoloni inahitaji udhubutu wa hali ya juu .
 
Hivi mnazungumzia kwenda kufanya nini? Kutembea, kutibiwa, kuhudhuria mikutano, kufanya ziara za kikakati, au vipi?
Zote kwa ujumla. Rais wa nchi masikini kusafiri kupita kiasi sio sahihi.
 
Katiba bora huwafanya viongozi kutimiza wajibb wao ipasavuo na kuwaheshimu wananchi ambao ndiyo wenye nchi.

Hivi unadhani katiba yetu ingekuwa bora, Samia angetoa hoja dhaifu kuwajibu wananchi wanaokosoa wingi wa safari zake za nje?

Anafanya hivyo kwasabb katiba mbovu imempa nyenzo na mamlaka ya kila namna ya kumuwezesha kubakia madarakani hata kama wananchi hawataki.

Bado tuna safari ndefu sana.
Kikubwa safari ziwe na faida kwa Taifa .
 
Heshima haiji bila kupigana kama walivyofanya ulaya watawala na watawaliwa walipigana ndipo wakapata mifumo ya haki na kuwekea mipaka yaani mtawala ukichezea kodi za wananchi utashugulikiwa upotee kabisa na mwananchi usipolipa kodi utashugulikiwa hadi uchakae.
 
Back
Top Bottom