Kauli za jeuri na dharau za viongozi wetu kwa wananchi ni matokeo ya Katiba yetu mbovu

Kauli za jeuri na dharau za viongozi wetu kwa wananchi ni matokeo ya Katiba yetu mbovu

Wa Sri Lanka waliandamana bila kibali kwa sababu wanaruhusiwa, jaribu wewe kuandamana bila kibali uone yatakayokutokea. Kidemokrasia Sri Lanka iko mbele kuliko sisi. Nyerere hakutaka demokrasia na ndiyo maana mpaka leo haipo.
Kuandamana hakuhitaji demokrasia ndipo hufanye kunahitaji dhamira na fikra chanya ndipo maandamano yanatokea hata kukiwa na demokrasia unayoizungumzia Kama hamna dhamira na fikra chanya ndani ya watu waliowengi maandamano kamwe hayawezi kutokea . Na hata yakitokea yatakuwa maandamano mfu yasiyo na kichwa wala miguu ya watu wasiojua wanataka nini tuna hitaji fikra chanya na dhamira kuu ndani ya vichwa vya watu na hapa ndipo yatazaliwa maandamano ya umma yaliyo hai yanayojua yanataka nini na kwa nini yanahitaji hicho kitu hapo ndiopo ukombozi wa pili utatokea
 
Kuandamana hakuhitaji demokrasia ndipo hufanye kunahitaji dhamira na fikra chanya ndipo maandamano yanatokea hata kukiwa na demokrasia unayoizungumzia Kama hamna dhamira na fikra chanya ndani ya watu waliowengi maandamano kamwe hayawezi kutokea . Na hata yakitokea yatakuwa maandamano mfu yasiyo na kichwa wala miguu ya watu wasiojua wanataka nini tuna hitaji fikra chanya na dhamira kuu ndani ya vichwa vya watu na hapa ndipo yatazaliwa maandamano ya umma yaliyo hai yanayojua yanataka nini na kwa nini yanahitaji hicho kitu hapo ndiopo ukombozi wa pili utatokea

Kama maandamano hayahitaji demokrasia jaribu kuandamana wewe kesho uone.
 
Unadhani umiliki wa silaha ndio unaleta ukombozi la asha. Kitu pekee kitakacho Leta ukombozi wa pili katika Taifa letu sio umiliki wa silaha Bali ni umiliki wa fikra chanya za ukombozi ndizo zitakazo leta ukombozi wa pili wa taifa letu . UFARANSA, RUSSIA , SRI LANKA hawa hawakuitaji kumiliki silaha ili walete ukombozi bali waliohitaji umiliki wa fikra chanya za ukombozi ndipo ukombozi ulipoweza kutokea katika mataifa yao Tanzania tunahitaji umiliki wa fikra chanya ndani ya vichwa vya WATANZANIA waliowengi ndipo hali na dhamira ya kutaka ukombozi wa pili wa taifa letu ndipo utakapo tokea

Hakuhitaji silaha wakati dola ina silaha na inapewa ruksa ya kukumaliza? Njoo Zanzibar kila uchaguzi ujionee mwenyewe kama huamini. Au jaribu mwenyewe kufanya maandamano halafu utakuja kutuambia yanayokupata.
 
Isizidi mara 10 kwa rais anayejitambua. Labda kama ni safari za dharura.
Nchi za kiafrica safari kwenda kuomba misaada zinatumia fedha nyingi kuliko misaada wapatayo. Matokeo ni kuongezeka kwa madeni.
 
Hakuhitaji silaha wakati dola ina silaha na inapewa ruksa ya kukumaliza? Njoo Zanzibar kila uchaguzi ujionee mwenyewe kama huamini. Au jaribu mwenyewe kufanya maandamano halafu utakuja kutuambia yanayokupata.
Kama umesoma maelezo yangu vizuri utanielewa kipi hasa nacho maanisha swala la maandamano halihitaji ukurupukaji na watu kuingia barabarani pasipo kujua nini hasa wanachopigania. swala la maandamano linahitaji dhamira kwanza ya kweli kwa kila mmoja mmoja kutoka moyoni wajue nini hasa wanachopigania swala la maandamano sio swala la kuamka kesho na kuanza kuandamana peke yako au watu kumi hayo ni maandamano yasiyokuwa na tija swala la maandamano linahitaji vichwa vya watu kufunguliwa kwanza ili waliowengi wapate hamasa ya kupigania wanacho hitaji. maandamano yanaweza kuanza na kuisha ndani ya mwezi moja na mabadiliko yakatokea pia maandamano yanaweza kuchukua miezi miwili, mitatu, mwaka hata miaka ndipo yakatokea kulingana na tawala iliyopo madarakani inachukuliaje hayo maandamano kumbuka katika huo mwezi, miezi, mwaka , na hata miaka Kuna waandamanaji watakamatwa, wengine watapigwa na kuonewa, wengine watafanywa walemavu, wengine hata watauawa lakini Kama wananchi waliowengi karibia robo ya nchi wameandamana haya ambayo yanatokea kwenye maandamano hayatawazuia nyie msiendelee kupigania haki zenu maandamano mtayaendeleza mpaka pale dhamira zenu zitakapo timia haya ndiyo yaliyo tokea Sri Lanka, Ufaransa Afrika ya Kusini, Urusi n.k waandamanaji waliuawa, waliteswa, walipigwa na wengine kuwa walemavu lakini haya madhira hayakuwazuia na kuwa fanya wao waache kupigania haki zao kupitia maandamano bali waliendelea mpaka pale nguvu ya umma iliposhinda. na haya maandamano hayakutokea na kufanyika eti kwa sababu nchi zao zilikuwa na demokrasia inayoruhusu maandamano la hasha bali ulifika muda raia wakawachoka watawala wao hivyo ikawaradhimu kufanya maandamano ya nguvu.
 
Kama umesoma maelezo yangu vizuri utanielewa kipi hasa nacho maanisha swala la maandamano halihitaji ukurupukaji na watu kuingia barabarani pasipo kujua nini hasa wanachopigania. swala la maandamano linahitaji dhamira kwanza ya kweli kwa kila mmoja mmoja kutoka moyoni wajue nini hasa wanachopigania swala la maandamano sio swala la kuamka kesho na kuanza kuandamana peke yako au watu kumi hayo ni maandamano yasiyokuwa na tija swala la maandamano linahitaji vichwa vya watu kufunguliwa kwanza ili waliowengi wapate hamasa ya kupigania wanacho hitaji. maandamano yanaweza kuanza na kuisha ndani ya mwezi moja na mabadiliko yakatokea pia maandamano yanaweza kuchukua miezi miwili, mitatu, mwaka hata miaka ndipo yakatokea kulingana na tawala iliyopo madarakani inachukuliaje hayo maandamano kumbuka katika huo mwezi, miezi, mwaka , na hata miaka Kuna waandamanaji watakamatwa, wengine watapigwa na kuonewa, wengine watafanywa walemavu, wengine hata watauawa lakini Kama wananchi waliowengi karibia robo ya nchi wameandamana haya ambayo yanatokea kwenye maandamano hayatawazuia nyie msiendelee kupigania haki zenu maandamano mtayaendeleza mpaka pale dhamira zenu zitakapo timia haya ndiyo yaliyo tokea Sri Lanka, Ufaransa Afrika ya Kusini, Urusi n.k waandamanaji waliuawa, waliteswa, walipigwa na wengine kuwa walemavu lakini haya madhira hayakuwazuia na kuwa fanya wao waache kupigania haki zao kupitia maandamano bali waliendelea mpaka pale nguvu ya umma iliposhinda. na haya maandamano hayakutokea na kufanyika eti kwa sababu nchi zao zilikuwa na demokrasia inayoruhusu maandamano la hasha bali ulifika muda raia wakawachoka watawala wao hivyo ikawaradhimu kufanya maandamano ya nguvu.

Maandamano huwa yanaanza na watu wachache au hata mtu mmoja halafu ndiyo yakiachiwa yanakuwa makubwa na kusambaa. Hao Sri Lanka walianza wachache na baadae yalisambaa nchi nzima. Wangekuwa kama sisi wangemalizwa mapema sana na wala yasingesambaa. Na huwezi kupingana na nguvu ya dola kwa sababu wao wana silaha wewe huna. Ndiyo mfumo alioujenga Nyerere huo. Nguvu ya umma unayoiongelea haipo. Nguvu ilipelekwa kwenye vyombo vya dola kwa makusudi ili wanayempinga Nyerere waione nchi chungu.
 
Maandamano huwa yanaanza na watu wachache au hata mtu mmoja halafu ndiyo yakiachiwa yanakuwa makubwa na kusambaa. Hao Sri Lanka walianza wachache na baadae yalisambaa nchi nzima. Wangekuwa kama sisi wangemalizwa mapema sana na wala yasingesambaa. Na huwezi kupingana na nguvu ya dola kwa sababu wao wana silaha wewe huna. Ndiyo mfumo alioujenga Nyerere huo. Nguvu ya umma unayoiongelea haipo. Nguvu ilipelekwa kwenye vyombo vya dola kwa makusudi ili wanayempinga Nyerere waione nchi chungu.
Mkuu Kama kweli wewe nimuelewa ningependa kwa Sasa usimuhusishe Nyerere kwa uzembe wetu huu wa kushindwa kuiondoa CCM madarakani Kama ambavyo nimekuambia toka awali Nyerere amekwisha kufa Je wewe/sisi tuliohai ni jitihada zipi umefanya/ tumefanya ili kuiondosha CCM madarakani kwa kuleta ukombozi wa pili maana namna Mwalimu Nyerere alivyojitoa kudahi uhuru toka kwa Muingereza sidhani hizo harakati kwa ule wakati wewe ungekuwepo ungeweza je ungekuwa tayari kuacha kazi yako inayokuingizia mshahara [ ualimu ] ili ukapiganie Uhuru? Ungekuwa tayari kutembea kwa miguu na kwa usafiri wa baiskeli kwa umbali mrefu ili tu ukawafungue watu fikra zao wajiunge na TANU wadai Uhuru? Je wewe kwa wakati huo ungekubali kufungwa gerezani kwa sababu tu ya kudai Uhuru wa WATANGANYIKA? Je wewe ungekubali kupitia dhoruba mbalimbali za kikoloni ili tu dhamira yako ya kudai uhuru itimilike? Je wewe kwa umri wa mwalimu wakati ule miaka 31 aliweza kudai Uhuru je leo hii Kuna vijana wangapi katika rika hili wenye fikra za ukombozi wa Taifa hili kutoka mikononi mwa CCM? Je wewe mpaka Sasa mchango wako kuhusu ukombozi wa pili wa Taifa letu kutoka kwa CCM ni upi? . Mwalimu Nyerere amekwisha ikamilisha kazi yake baada ya kusaidia taifa hili kupata Uhuru kutoka kwa wakoloni wakizungu 1961. hivyo hatuna cha kumdai .Ila wewe , Mimi, na sisi ndio tunadaiwa na watoto na wajukuu zetu wanaokuja je mchango wetu kwa taifa letu kukomboka kutoka kwa wakoloni weusi [ CCM ] ni upi?

KWA MTU MWELEVU NA MWENYE FIKRA CHANYA ZA UKOMBOZI WA PILI WA TAIFA LETU HAPASWI KUENDELEA KUMZUNGUMZIA ZUNGUMZIA MWALIMU WAKATI AMEKWISHA FARIKI MIAKA MINGI ILIYOPITA. NA BADO MAMBO NI YALE YALE TU HAYAJABADIRIKA.
 
Mkuu Kama kweli wewe nimuelewa ningependa kwa Sasa usimuhusishe Nyerere kwa uzembe wetu huu wa kushindwa kuiondoa CCM madarakani kwa Kama ambavyo nimekuambia toka awali Nyerere amekwisha kufa Je wewe/sisi ulihai ni jitihada zipi umefanya/ tumefanya ili kuiondosha CCM madarakani kwa kuleta ukombozi wa pili maana namna Mwalimu Nyerere alivyojitoa kudahi uhuru toka kwa Muingereza sidhani hizo harakati kwa ule wewe ungekuwepo ungeweza je ungekuwa tayari kuacha kazi yako inayokuingizia mshahara [ ualimu ] ili ukapiganie Uhuru? Ungekuwa tayari kutembea kwa miguu na kwa usafiri wa baiskeli kwa umbali mrefu ukawafungue watu fikra zao wajiunge na TANU wadai Uhuru? Je wewe kwa wakati huo ungekubali kufungwa gerezani kwa sababu tu ya kudai Uhuru wa WATANGANYIKA? Je wewe ungekubali kupitia dhoruba mbalimbali za kikoloni ili tu dhamira yako ya kudai uhuru itimilike? Je wewe kwa umri wa mwalimu wakati ule miaka 31 aliweza kudai Uhuru je leo hii Kuna vijana wangapi katika rika hili wenye fikra za ukombozi wa Taifa hili kutoka mikononi mwa CCM? Je wewe mpaka Sasa mchango wako kuhusu ukombozi wa pili wa Taifa letu kutoka kwa CCM ni upi? . Mwalimu Nyerere amekwisha ikamilisha kazi yake baada ya kusaidia taifa hili kupata Uhuru kutoka kwa wakoloni wakizungu 1961. hivyo hatuna cha kumdai .Ila wewe , Mimi, na sisi ndio tunadaiwa na watoto na wajukuu zetu wanaokuja je mchango wetu kwa taifa letu kukomboka kutoka kwa wakoloni weusi [ CCM ] ni upi?

KWA MTU MWELEVU NA MWENYE FIKRA CHANYA ZA UKOMBOZI WA PILI WA TAIFA LETU HAPASWI KUMZUNGUMZIA ZUNGUMZIA MWALIMU WAKATI AMEKWISHA FARIKI MIAKA MINGI ILIYOPITA. NA BADO MAMBO NI YALE YALE

Na huyo Mwingereza angekuwa na mawazo kama ya Nyerere alivyowafanyia wapinzani wake, Nyerere angeozea Ukonga. Unajua wapinzani wangapi wa siasa alishawafunga? Unajua wangapi walikimbia nchi? Mwingereza na ukoloni wake wote hakufanya ubabe alofanya Nyerere.
 
Na huyo Mwingereza angekuwa na mawazo kama ya Nyerere alivyowafanyia wapinzani wake, Nyerere angeozea Ukonga. Unajua wapinzani wangapi wa siasa alishawafunga? Unajua wangapi walikimbia nchi? Mwingereza na ukoloni wake wote hakufanya ubabe alofanya Nyerere.
Hivi unadhani mwingereza alilala na kuamka na kumwachia Nyerere huru tu. Mkuu Kama kweli huu mjadala tunataka kuufanya uwe unatija na wenye ningependa tuachane na Nyerere na tujikite na changamoto zetu sisi kizazi kilicho hai ni nini kinatufanya tushindwe kufanya mabadiliko ya Kuwaondosha CCM madarakani kwa namna yoyote ile?
 
Hivi unadhani mwingereza alilala na kuamka na kumwachia Nyerere huru tu. Mkuu Kama kweli huu mjadala tunataka kuufanya uwe unatija na wenye ningependa tuachane na Nyerere na tujikite na changamoto zetu sisi kizazi kilicho hai ni nini kinatufanya tushindwe kufanya mabadiliko ya Kuwaondosha CCM madarakani kwa namna yoyote ile?

Mwingereza aliruhusu harakati za kupigania uhuru zifanyike ndiyo maana ziliwezekana na zikafanikiwa. Usilinganishe na mfumo alioujenga Nyerere alivyoingia madarakani ambao hauruhusu changamoto unazozisema zifanyike.
 
Mwingereza aliruhusu harakati za kupigania uhuru zifanyike ndiyo maana ziliwezekana na zikafanikiwa. Usilinganishe na mfumo alioujenga Nyerere alivyoingia madarakani ambao hauruhusu changamoto unazozisema zifanyike.
Ni aina gani ya historia uliyosoma wewe unayosema mwingereza aliruhusu harakati za kupigania Uhuru ? Sehemu zote duniani zilizotawaliwa na wakoloni mbalimbali hakuna mkoloni hata mmoja aliyeruhusu harakati za kudai Uhuru au unadhani watu walikomboa nchi kwa kuwa na fikra mfu za kulaumu mababu zao kwa kuwa zamisha kwenye ukoloni Mwalimu Nyerere mwenyewe alifungwa na hao hao waingereza unaosema wewe waliruhusu kupigania Uhuru waingereza walikataa uwepo vyama vya kisiasa bali viwepo vyama vya ushirika mfano TAA kwa ajili ya kilimo ndipo wakina Nyerere wakatumia huyo mwanya ambao baadae ukazaa chama Cha Kisiasa Cha TANU. Nakuambia hakuna mkoloni aliyependa kuachia koloni hata moja ila walilazimishwa angalia Kenya Muingereza huyo huyo aligoma kuachia vikatokea Vita, Zimbabwe pia Vita, msubiji pia Vita , wachina kumtoa Japan Vita , Marekani Vita walipigania uhuru. hawakuwa na mawazo yaliyokufa yanayo amini kuwa wao kuwa ndani ya ukoloni ni makosa ya babu zao hivyo hawawezi kujing'atua kutoka kwenye mikono ya wakoloni wao waliamini wao kuendelea kuwa mikononi mwa wakoloni ndilo litakuwa ni kosa lao wenyewe kushindwa kuchukua maumuzi ya kuwaondosha.hakuna mahali duniani kutegemee mtawala eti akupe Uhuru wewe wa kumtoa yeye hicho kitu hakipo duniani kote watu walilazimisha kuwatoa watawala na wala hawakukaa na kuanza kulaumu watu waliokufa . Tunapaswa tuzike fikra zetu mfu zile za mwanzo ndipo tuvae fikra mpya za ukombozi hapo ndipo ukombozi utatokea lakini tukiendelea kuwa na fikra mfu za zamani ambazo kutwa kucha ni kulaumu marehemu waliokufa ambao hawawezi kuja kufanya mabadiliko yoyote tutaishia kupiga kelele zisizo kuwa na tija yoyote ile.
 
Mwingereza aliruhusu harakati za kupigania uhuru zifanyike ndiyo maana ziliwezekana na zikafanikiwa. Usilinganishe na mfumo alioujenga Nyerere alivyoingia madarakani ambao hauruhusu changamoto unazozisema zifanyike.
Ni aina gani ya historia uliyosoma wewe. unayosema kuwa muingereza aliruhusu harakati za kupigania Uhuru ? Sehemu zote duniani zilizotawaliwa na wakoloni mbalimbali hakuna mkoloni hata mmoja aliyeruhudu harakati za kudai Uhuru au unadhani watu walikomboa nchi kwa kuwa na fikra mfu za kulaumu mababu zao kwa kuwa zamisha kwenye ukoloni Mwalimu Nyerere mwenyewe alifungwa na hao hao waingereza unaosema wewe waliruhusu kupigania Uhuru waingereza walikataa uwepo vyama vya kisiasa bali viwepo vyama vya ushirika mfano TAA kwa ajili ya kilimo ndipo wakina Nyerere wakatumia huyo mwanya ambao baadae ukazaa chama Cha Kisiasa Cha TANU. Nakuambia hakuna mkoloni aliyependa kuachia koloni hata moja ila walilazimishwa angalia kesho Muingereza huyo huyo aligoma kuachia vikatokea Vita, Zimbabwe pia Vita, msubiji pia Vita , wachina kumtoa Japan Vita , Marekani Vita wapigania uhuru hawakuwa na mawazo yaliyokufa yanayo amini kuwa wao kuwa ndani ya ukoloni ni makosa ya babu zao hivyo hawawezi kujing'atua kutoka kwenye mikono ya wakoloni wao waliamini wao kuendelea kuwa mikononi mwa wakoloni ndilo litakuwa ni kosa lao wenyewe kushindwa kuchukua maumuzi ya kuwaondosha.hakuna mahali tegemee mtawala eti akupe Uhuru wewe wa kumtoa yeye hicho kitu hakipo duniani kote watu walilazimisha kuwatoa watawala na wala hawakukaa na kuanza kulaumu watu waliokufa . Tunapaswa tuzike fikra zetu mfu zile za mwanzo ndipo tuvaa fikra mpya za ukombozi hapo ndipo ukombozi utatokea lakini tukiendelea kuwa na fikra mfu za zamani ambazo kutwa kucha ni kulaumu marehemu waliokufa ambao hawezi kufanya mabadiliko tutaishia kupiga kelele zisizo na t
 
Ni aina gani ya historia uliyosoma wewe. unayosema kuwa muingereza aliruhusu harakati za kupigania Uhuru ? Sehemu zote duniani zilizotawaliwa na wakoloni mbalimbali hakuna mkoloni hata mmoja aliyeruhudu harakati za kudai Uhuru au unadhani watu walikomboa nchi kwa kuwa na fikra mfu za kulaumu mababu zao kwa kuwa zamisha kwenye ukoloni Mwalimu Nyerere mwenyewe alifungwa na hao hao waingereza unaosema wewe waliruhusu kupigania Uhuru waingereza walikataa uwepo vyama vya kisiasa bali viwepo vyama vya ushirika mfano TAA kwa ajili ya kilimo ndipo wakina Nyerere wakatumia huyo mwanya ambao baadae ukazaa chama Cha Kisiasa Cha TANU. Nakuambia hakuna mkoloni aliyependa kuachia koloni hata moja ila walilazimishwa angalia kesho Muingereza huyo huyo aligoma kuachia vikatokea Vita, Zimbabwe pia Vita, msubiji pia Vita , wachina kumtoa Japan Vita , Marekani Vita wapigania uhuru hawakuwa na mawazo yaliyokufa yanayo amini kuwa wao kuwa ndani ya ukoloni ni makosa ya babu zao hivyo hawawezi kujing'atua kutoka kwenye mikono ya wakoloni wao waliamini wao kuendelea kuwa mikononi mwa wakoloni ndilo litakuwa ni kosa lao wenyewe kushindwa kuchukua maumuzi ya kuwaondosha.hakuna mahali tegemee mtawala eti akupe Uhuru wewe wa kumtoa yeye hicho kitu hakipo duniani kote watu walilazimisha kuwatoa watawala na wala hawakukaa na kuanza kulaumu watu waliokufa . Tunapaswa tuzike fikra zetu mfu zile za mwanzo ndipo tuvaa fikra mpya za ukombozi hapo ndipo ukombozi utatokea lakini tukiendelea kuwa na fikra mfu za zamani ambazo kutwa kucha ni kulaumu marehemu waliokufa ambao hawezi kufanya mabadiliko tutaishia kupiga kelele zisizo na t

Sasa huko Zimbambwe, Japan, Marekani walipigana vita na wakoloni wao, sisi tulipigana vita gani na Mwingereza ili aondoke? Na huyo Nyerere alifungwa lini? Alisafiri nje ya nchi na kurudi bila bugdha yoyote, alipiga kampeni na kuzunguka nchi nzima kama mwanasiasa sasa jiulize alivyoingia madarakani aliruhusu wapinzani wake wafanye hivyo? Au aliwatupa Ukonga na wengine waliuliwa?
 
Ni aina gani ya historia uliyosoma wewe. unayosema kuwa muingereza aliruhusu harakati za kupigania Uhuru ? Sehemu zote duniani zilizotawaliwa na wakoloni mbalimbali hakuna mkoloni hata mmoja aliyeruhudu harakati za kudai Uhuru au unadhani watu walikomboa nchi kwa kuwa na fikra mfu za kulaumu mababu zao kwa kuwa zamisha kwenye ukoloni Mwalimu Nyerere mwenyewe alifungwa na hao hao waingereza unaosema wewe waliruhusu kupigania Uhuru waingereza walikataa uwepo vyama vya kisiasa bali viwepo vyama vya ushirika mfano TAA kwa ajili ya kilimo ndipo wakina Nyerere wakatumia huyo mwanya ambao baadae ukazaa chama Cha Kisiasa Cha TANU. Nakuambia hakuna mkoloni aliyependa kuachia koloni hata moja ila walilazimishwa angalia kesho Muingereza huyo huyo aligoma kuachia vikatokea Vita, Zimbabwe pia Vita, msubiji pia Vita , wachina kumtoa Japan Vita , Marekani Vita wapigania uhuru hawakuwa na mawazo yaliyokufa yanayo amini kuwa wao kuwa ndani ya ukoloni ni makosa ya babu zao hivyo hawawezi kujing'atua kutoka kwenye mikono ya wakoloni wao waliamini wao kuendelea kuwa mikononi mwa wakoloni ndilo litakuwa ni kosa lao wenyewe kushindwa kuchukua maumuzi ya kuwaondosha.hakuna mahali tegemee mtawala eti akupe Uhuru wewe wa kumtoa yeye hicho kitu hakipo duniani kote watu walilazimisha kuwatoa watawala na wala hawakukaa na kuanza kulaumu watu waliokufa . Tunapaswa tuzike fikra zetu mfu zile za mwanzo ndipo tuvaa fikra mpya za ukombozi hapo ndipo ukombozi utatokea lakini tukiendelea kuwa na fikra mfu za zamani ambazo kutwa kucha ni kulaumu marehemu waliokufa ambao hawezi kufanya mabadiliko tutaishia kupiga kelele zisizo na t

Si tunaeleza ukweli kwamba mfumo alioujenga Nyerere ndiyo mbovu na unatukwamisha? Angejenga demokrasia basi ingekuwa rahisi kwa watu kuleta mabadiliko kwa kupiga kura au kuandamana mpaka viongozi wanajiuzulu. Lakini Nyerere alikataa demokrasia na ndiyo matokeo yake tunayaona.
 
Back
Top Bottom