Uchaguzi 2020 Kawe, Dar: Kura feki zanaswa, Wananchi wazichoma moto!

Imagine, Kama kituo kimoja iko hivo Vip maeneo mengi nchi nzima. Mfumo WA uchaguzi umepitwa na wakati. Yaan mazingira ya kupiga kura bado Yanatoa mwanya Sana Wizi kufanyika
Gwajima atazawadiwa ubunge siyo kwa kushinda kwa kura bali kwa kura za wizi
 
Bora wamechoma moto ushahidi unaweza ukayeyuka maana matokeo ya urais hayapingwi mahakamani
 
Visingizio na maigizo ruksa

Aibu imekushika vibaya sana,toks muda tulikuwa tunawambia Magufuli hana sifa ya kushinda kwa kura. Na hiyo tabia yake ndio kaipeleka rasmi CCM. Hii tabia ya kunajisi box la kura ndio imepelekea watu kupuuza zoezi zima la upigaji wa kura. Nenda kwenye vituo vya kura uone watu walivyo wachache. Nani atashiriki upuuzi wa hivyo?
 
Tumemaliza kazi tayari, kuandamana ni juu yenu na kuwavunja ugoko ni kazi yetu
 
Teh teh teh, inaonekana waigizaji hata hasakujua rangi za karatasi za kupigia kura. Sisi ambao tumeshapiga kura, hapo rangi ambayo angalau imefana nazo ni ya diwani. Jf huu upuuzi uangalieni vinginevyo mnaruhusu upotoshaji wa makusudi
 
Hakuna aliyemchagua magufuli bali kilichofanyika ni wizi wa kura tu ni Aibu kuwa na Rais asiye chaguo la wananchi
 
Zanzibar ndiyo imetia doa
 
Halima aendee juu arudi chini.
anenepe akonde.
alale aamke.
lakini Kawe ataisikia kwenye radio.ubunge tena hapati.
 
Wasingezichoma moto waweke ushahidi tu
 
Habari za kipuuzi kama hizi zinafikaje JF

Bonge la aibu, sasa hivi redio na tv zote zikitaka kutangaza ukweli wanakatisha matangazo, mmedhibiti habari za ukweli huko, saa hii roho inakuuma ukweli huku uko wazi. Ile mlikuwa mnatamba mtashinda kwa 85% ndio ilikuwa kwa upuuzi huo!
 
Halima aendee juu arudi chini.
anenepe akonde.
alale aamke.
lakini Kawe ataisikia kwenye radio.ubunge tena hapati.

Sio kwa kura halali. Haya tuliwaambia toka mwanzo uwezo wa ccm kushinda kwa kura halali haupo. Imeisha hiyo.
 
Kuanzia kesho asubuhi tegea tv uangalie, msije mkaanza kujiua
Nani afe kwa wizi wa wazi wa kishamba
Orodha ya wapia kura kubwa kuliko uhalisia
Mnasubiri tukimaliza wapigakura halisia muanze kujaza uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…