Majitu majinga sana ,na hii mada ndio inapima akili ya Watanzania walio wengi ,sijui ni mtindio wa akili ?Mbona watu wengine ni washamba sana? Wanafanya kazi bure? Si ni kazi waliyoichagua na wanalipwa? Hujui kuna mgawanyo wa kazi? Unajua watu wanaokulisha wewe? Unajua watu wanaokutibu? Unajua watu wanaosafisha takataka? Una maana kwa vile mtu analinda ndiyo apige raia bila kufuata sheria?
Zipo kwenye PENAL CODE hizo (zinazotumika hapa)Soma CPA kasome defensive factors ambazo zinaweza kukulinda usiwe liable.Utaelewa.
Definitely, na amepata anachostahili. Hata kama wenzake wakifanya fujo kuanzia kawe mpaka bagamoyo bado hawawezi kurudisha uhai wa mwenzao, Point blank!
Na kwa wake zao wasipeleke ubabe maana watalishwa sumu waishe familia zikose wababa. 😆😆😆Wewe utakuwa ni mmoja wao. Unatetea ujinga. Mimi nashauri busara itumike
Sasa hapo nani katiwa adabu?
Acheni ufala wenu. Ninyi ni watu kama sisi na hamna uwezo huo mnaojidai nao tukiwa mmoja mmoja.
Mimi labda mje wengi. Nikiwa peke yangu nawe uko mwenyewe ntakupasua ukigusa mwili wangu. Huwezi kunionea kijinga jinga. Pelekeni ubabe wenu huko kwa wake zenu.
Hili nalo nenoMmebadilika mno, mnaonea raia wakati mwingine bila sababu za maana. Mtu kakosea njia porini huko kaingia eneo la jeshi, msaidieni aondoke. Ninyi mnaanza kumuadhibu....raia watakosa kujenga chuki?
Huyu wa kwenye stori ametumia utaratibu upi?Mzee ukicheka na nyani siku zote utavuna mabua ukiwachekea waliofanya tukio matukio hayatoisha nishakutana na muuza chips mmoja anatamba kwamba yeye haogopi mwanajeshi mwanajeshi akimletea anampoteza na usisahau wale wana taratibu zao hawajafanya bila kufuata utaratibu, raia mnawadharau sana na kuwachukulia poa ndio maana wanatia adabu
Mama weee yan uyo dogo atateswaaa weee na atauawa bila kupelekwa popote na vyombo vingine vya usalama havutafanya lolote mind my wordsInasemekana ( kwa aliyenipa Taarifa Kamili kuwa ) Dereva Bajaji jana Usiku katika Baa Moja maarufu iliyo kwa ndani ( Mafichoni kidogo ) mkabala na Petro Station ya PUMA Kawe alipishana Kauli na Mwanajeshi ( tena Mkubwa wa Cheo cha Kanali ) kuhusu Kuzibiana njia ya kupita.
Ambapo Afande Kanali alikuwa Kapaki Gari lake lililokuwa limezuia njia kwa mbele na Dogo ( Dereva Bajaji ) kuhoji kwanini Afande aliziba njia hali iliyomkwaza Afande ( wa Cheo cha Kanali Muro kama sijalikosea Jina lake ) ambapo Afande Kanali akatoka ndani ya Gari lake na Kumzaba Makofi Dereva Bajaji huyo.
Kisha nae ( Dereva Bajaji ) kwa Hasira akaamua kwenda kuchukua Bisibisi Bajajini Kwake na kuja Kumchoma nayo Afande Kanali upande wa Moyo hali iliyomfanya akimbizwe Lugalo Hospital kwa Matibabu na Umauti kumkuta huko huko Wodini.
Labda sisi wengine tunaoishi huku Nkome hatujui kinachoendelea huko Kawe, Kwani ni Kweli ninyi maaskari mkipita mnatukanwa tu na raia?Kwa hio wanajeshi wote unaowana ni sawa na kuanza kuwavimbia na kuwatukana unavyojisikia na kutaka kupimana nao nguvu si ndio?
Dolphin bila shaka. Nakumbuka huo mkasa.Kuna wanajeshi wawili walizoea kuendekeza ubabe kwenye baba moja Sinza. Kuna siku waliingia cha kike kwa black belt mmoja ambae kwa muonekano walidhani wanammudu.
Jamaa aliwanyoosha wote wawili halafu akaondoka zake mdogo mdogo hata hakimbii.
Wajeda kwa aibu wakainuana pale wakaita bajaji wakaondoka kwa aibu.
Hapo unaweza kuta jamaa wa Bajaj alianza kuongea shit!Inasemekana ( kwa aliyenipa Taarifa Kamili kuwa ) Dereva Bajaji jana Usiku katika Baa Moja maarufu iliyo kwa ndani ( Mafichoni kidogo ) mkabala na Petro Station ya PUMA Kawe alipishana Kauli na Mwanajeshi ( tena Mkubwa wa Cheo cha Kanali ) kuhusu Kuzibiana njia ya kupita.
Ambapo Afande Kanali alikuwa Kapaki Gari lake lililokuwa limezuia njia kwa mbele na Dogo ( Dereva Bajaji ) kuhoji kwanini Afande aliziba njia hali iliyomkwaza Afande ( wa Cheo cha Kanali Muro kama sijalikosea Jina lake ) ambapo Afande Kanali akatoka ndani ya Gari lake na Kumzaba Makofi Dereva Bajaji huyo.
Kisha nae ( Dereva Bajaji ) kwa Hasira akaamua kwenda kuchukua Bisibisi Bajajini Kwake na kuja Kumchoma nayo Afande Kanali upande wa Moyo hali iliyomfanya akimbizwe Lugalo Hospital kwa Matibabu na Umauti kumkuta huko huko Wodini.
wao tu ndio wanavurugwa mda wote?Watu wamevurugwa jiwe
Kawe uswahili kinoma kuanzia ukwamani mpaka maringo ukiingia kule ndani ndani kuna tisha, nyumba hazina mpangilio vichochoro sasa, vibaka wa kukata madirisha wako tele, watoto wasela wamama wasela wababa nao wasela pamoja na dada poa kibao wachafu wachafu, mitaro ya maji machafu sasa daah tabu tupu kule magonjwa ya mlipuko nje nje!Kawe ni eneo lenye wahuni wengi kupindukia kusafisha na kuleta ustaarabu ni suala la LAZIMA.
Ndio mambo ya kutunishiana misuli kuonekana mwamba, ona sasa itakavyomgharimu. Yani hata asingekufa ingekuwa ni balaa bado.Hakuna namna dereva alitakiw a kuwa mpole sasa huko aliko sijui itakuwaje.
Acheni kuwajaza kichwa wajione wana jua sana .ni mapimbi tu hawa wenye elimu ndogo wengi wao na ubabe wa kijingaKuna mwanajeshi mkubwa nimekutana nae asubuhi hii yupo very frustrated how come raia mnakua na uadui na wanajeshi wa Nchi yenu why muwadharau watu wanaowalinda why mnawaonyesha dharau kiasi cha kuanza kuwaua wakianza kujibu mapigo mtaanza kulialia maana hawashindwi Ila taratibu na kanuni zao zinawabana, sio fair hata kidogo kwanini usimsikilize hata km kablock njia na mmepishana kauli ndio uchukue maamuzi ya kumuua?