chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
Wanajitolea au wanalipwa?
Mkuu nijuavyo mimi,wanajeshi wanalipwa mishahara na posho kwaajili ya kutimiza majukumu ambayo yanawapasa.Mimi nawewe,tunalipa kodi,ambazo hizo kodi zinalipwa kwa kila askari wa JW na kada nyingine.Ukisema sisi tumelala,wengine wanatulinda,hujui kuna bodaboda wanakesha pia,kutafuta pesa au kuna madaktari wanafanya C-section usiku huu na yawezekana wakakesha,huku baadhi ya wanajeshi ambao hawako shift usiku huu,wamelala au wanalewa?
Heshimu kila mtanzania.Tunaumia kulipa kodi,ili mambo yaende,kila mtu anapambana kwa nafasi yake.
Inferiority complex hapa ndo shida ilipoanziaNi ushamba wa kale mno , na mara nyingi watu wanaopenda ku prove nguvu zao au mamlaka Yao huwa Wana sumbuliwa na inferior complex
Basi nae jamaa alikuwa analinda heshima yake.Majeshi ni vyombo vinavyotumia nguvu katika utekelezaji wa dhima ya uwepo wake. Hivyo, ni vema kila raia akawa anatambua na kuliheshimu hilo.
Vilevile majeshi huwa na utaratibu wake wa kulinda taswira na hadhi za majeshi hayo. Hivyo, aina yoyote ya kuyakosea adabu hadharani, ni lazima ile kwako.
Pekee kinachohitaji majeshi haya toka kwa raia ni kuheshimika tu. Ukithubutu kumvunjia heshima Mwanajeshi yeyote yule, Wadepo wenzake hawatakuacha.
Wadepo hubaki kama familia hata kama watapangwa kwenye kambi tofauti. Watakikusanya tu wakujie kwa ajili ya heshima ya jeshi.
Ova
Huu utumbo , mchafuMajeshi ni vyombo vinavyotumia nguvu katika utekelezaji wa dhima ya uwepo wake. Hivyo, ni vema kila raia akawa anatambua na kuliheshimu hilo.
Vilevile majeshi huwa na utaratibu wake wa kulinda taswira na hadhi za majeshi hayo. Hivyo, aina yoyote ya kuyakosea adabu hadharani, ni lazima ile kwako.
Pekee kinachohitaji majeshi haya toka kwa raia ni kuheshimika tu. Ukithubutu kumvunjia heshima Mwanajeshi yeyote yule, Wadepo wenzake hawatakuacha.
Wadepo hubaki kama familia hata kama watapangwa kwenye kambi tofauti. Watakikusanya tu wakujie kwa ajili ya heshima ya jeshi.
Ova
Wale wana usalama kw mujibu wa report(kama zilikuwa za kweli) walishughulikiwa na vyombo husika "kinidhamu"Sema washua wenye mamlaka huwaga wanajisahau sana , Kuna video nmeona mtandaoni Kuna dogo alikua anaendesha ist alichomekeana na land cruiser flan nyeus jamaa akaamza kumletea ubabe wa ki CIA dogo road kila akienda huku jamaa linamzibia njia dogo akaenda TikTok live akawa ana broadcast the whole shit maana alishahis hatari jamaa kufika makumbusho aka block njia akashuka kwa gar akaonekana na suti yake ya uzalendo nadhan alipigia wadau wakatoka mule chimbo lao la idara wakamuongoza dogo kuingia tunduni aku anaendelea kurusha mubashara tukio watu wa mabaka ya kenge wakashtukia kama mwamba anawarekodi ndo nkajua kabisa mwamba kaisha mule ndani kamera hapapatani kabisa na msala wa dogo sidhan ata familia yake kama inaweza kuusovu labda kwa vile sura za wahusika ziko online zinaweza kutumika kwenye mahakama za jadi kupata haki kama hakuachiwa lakin
Na raia kuwapiga wanajeshi ni raia jasiri na imara.Jeshi la kupiga raia, ni jeshi lisilo na nidhamu
Jeshi makini haliwezi kuact kama thugs
Ndiko Vinchechede vya Bei nafuu, Wazuri na Watoa Uvungu bila wasiwasi Wanakopatikana.Sasa kanali inakuwaje anakunywa vichochoron
Alijuwa kuwa ni mwanajeshi?Raia mwenye akili timamu habishani na mwanajeshi no matter what and how?
Yale yale ya Hamas,kama unakaa Kawe ukwamani mpk tegeta kwasasa ni kuhama tu.Hapa najaribu kufikiria wanachomfanya huyo kijana saiv hadi Akili imenikataza kufikiri.
Ninachokijua tu ni kwamba huenda kuanzia leo hata Kuukweka ( Kunya ) akashindwa kwa Siku 7 au 14 zijazo na asiwe na Uwezo mzuri wa Kuona huku Mwili ukiwa Umeumuka ( Umevimba ) sana.Hapa najaribu kufikiria wanachomfanya huyo kijana saiv hadi Akili imenikataza kufikiri.
kwani ile 'black lives matter' ilianza kivipi unadhani?Nchi gani za Magharibi au kwingine ambako kumestaarabika,askari anampiga makofi mwananchi?
Acha yamkute Bangi, Ushamba na kutaka Sifa za Kijinga kwa Wana ( Washikaji ) Kijiweni zimemuongoza vibaya.Hasira hasara, huyo dereva bajaji sijui kama watamuacha salama.
Nina uhakika hakujua kwani kwa mujibu wa Mtonyaji wangu ni kwamba huyu Afande Kanali ( anayesemekana kuwa Amefariki ) huwa akienda kunywa Pombe hapo hupenda Kutojulikana kuwa ni Mwanajeshi japo baadhi ya Watu wanamjua.Alijuwa kuwa ni mwanajeshi?
Kumchoma Mtu na Bisibisi tena ukiielekezea ulipo Moyo ili umalize Shughuli mapema ( Uue Mtu ) hii ni Manslaughter Mkuu?Hata akipelekwa polisi,lazima afungwe maisha au akiwa na wakili mzuri, anaweza akahukumiwa kifungo kirefu kwa kosa la kuua bila kukusudia.
Lakini hawana uwezo wa kurudisha uhai wa kanali.Hapa najaribu kufikiria wanachomfanya huyo kijana saiv hadi Akili imenikataza kufikiri.
Asante sana kwa Kutusemea Mkuu. Kama kweli vile kujifanya mwana Karateka wakati Mimi ndiyo Rais wa Watu wote Waoga nchini Tanzania.Kwenye hiyo orodha ondoa Karateka, hao huwa ni watu wenye nidhamu ya hali ya juu sana ndani na nje ya Dojo.
Nakubaliana nawe 100% ila Dereva Bajaji hakujua kuwa Jamaa alikuwa ni Mjeda tena Kanali kama inavyodaiwa.Raia mwenye akili timamu habishani na mwanajeshi no matter what and how?
Akasome wapi wamewakuta Raia wapole ingekua kama Disouza watu nao wana siraha wangeenda kupiga watu na mikanda yao Watanzania sio violent hata kwenye haki yake hapo unamkuta abiria mgonjwa hajui hili wala lile nae anapigwa tuu...waendelee kuwapiga ila ipo siku watajuta kufanya huo utoto wao...Nenda kasome jukumu la 3,4,na la 5 la JWTZ
Ni kweli kabisa,kuna majibizano ya kijinga tu yanaweza kuleta maafa.Sasa amekuchoma na bisibisi umekufa,wakati labda ungemuelimisha tu,kua dogo ngoja nipite,au unatumia saikolojia tu,mnayamaliza.
Apostle MwamposaKimetokea nn mkuu