Kazi isiyoangaliana na mlango wa Jela haiwezi kukufanya kuwa Tajiri

hahahhh
 
MO hajarithi maana Wazazi wake wapo hai
Wewe umekariri mpaka wazazi wafe ndiyo urithi mali. Unaijua na kuifahamu vizuri familia ya Dewji na vizazi vyao?? Unazifahamu taratibu zao za kurithi mali?? Penda kujifunza kwanza.
 
Umenikumbusha kuna rafiki angu anaitwa Alex, bonge la kipaji hasa, Sergio Ramos kabisa, alipata team nzuri tu aisee alipigwa kipapai goti halijawahi kupona mpaka leo yaani.. na mpira uliishia pale pale
 
Nilipohitimu law (Sheria ) nilitamani kubadili Dunia Ila pesa nlikuwa sipati kwa wingi, ilikuwa mshahara tu ,japo enough but sio nyingi .
Miezi miwili baadaye nlipitana na mshkaji hajasoma anapiga Hela ndefu kuniliko , nlibadili Nia . Siku hizi bwana madili ndo kazi za mawakili wengi ,kwa miingiliano yangu na wafanyikazi serikalini nmegundua asilimia 100 wote wezi .
Utapata ofisa TRA kabisa anakuja uumpe ideas on how to legally steal money ,na jinsi gani kuipitisha tax havens Kama cayman asipatikane .
Mfano wa mwisho ,Kuna contractor ,alinijia juzi juzi tu ,jamaa kapewa tender za kazi huko kusini , tender millioni 400 ,hakufanya kazi yyte , bingwa alinipa direct instructions niwash Hela yote kwa banking system mpaka Bahamas ,kumuuliza mbona hafanyi kazi angalau hata Kama sio yote ,alinipa jibu ,wao ndio walimwengu ,mabaharia huruma hawana.
Ila nchi hii inavyoporwa, dadeki, balaa tupu , Ila Nala nao na faida ipo tu .
Utajiri wa haraka Yaani quick riches ,lazima mlango wa nyuma lazima ,na ukiugeukia ndo hazina zipo .
The end justifies the means .
 
Acha uongo .
Profit margin ya biashara yoyote legal haiwezi kuzidi 25% ya sales turnover..

Sasa hapo haujatoa risks, interests and the likes. Huwezi kupata mil 200 kama circulation yako ni chini na 1bn. Nazungumzia kama unafanya biashara na sio utapeli au rushwa..
 
Link ipo chini, katazame huko youtube, like na u subscribe asante sana.

Filamu Pictures, wanawaletea kazi ya filamu ya kitanzania iitwayo PETE

Kutana na Bwana Lidawi, mvuvi mwenye hali ngumu na mke mgonjwa na jinsi anavyoingia matatizoni kutokana na pete ya maajabu iliyofika katika ulimwengu wa wanadamu kwa ajili ya kazi maalum

Kutana na Bwana Songolo mtu tajiri, mkorofi na mkali sana, ambaye nae anajikuta yuko katikati ya mikasa hiyo ipatayo bwana Lidawi

 
Haamanishi kuwa aliwahi kuiba; kwa nini isiwe ni wakati alipoanza kwa kuimba wimbo MBAGALAAAAA akiwa amesImama kwenye dampo la takataka Tabata?
Haya mambo yana siri kubwa wasanii wangapi wamevuma pengine vipaji vyao ni vikubwa mno kuliko diamond ila hafuwasikii wakivuma tena hapo ndio diamond anakwambia waambie chocho nilizopita kufika hapa nikiwaonyesha ili wawe kama Mimi au zaidi hawataweza
 
Uchawi ni kanuni za mahesabu na vitu Ili usilete madhara unazilazimisha kanuni zisifanye kazi. Uchawi ni umeme Ili umeme usikudhuru unatumia vifaa visivyopitisha umeme
Tumekubaliana kwenye harakati za utafutaji ni wengi wanaegemea huo upande ili kupata msaada wasikwame wala kukwamishwa
 
Kuna watu hawaamini ili haya mambo tunakutana nayo sana na ili kukwepa mishale ndio unajikuta huko kwa wataalamu
 

Ukiambiwa ni rahisi ngamia(kamba) kupenya kwenye Tundu la sindano kuliko Tajiri basi hiyo ndio maana yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…