Luteni Mkuu
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 337
- 312
hahahhhSiku ukiingia kwenye sekta ya michezo hasa mpira wa hapa bongo utajua ni Kwa kiwango gani Watanzania ni washirikina..
Nilikuwa pale Morogoro, vitiku tuu vya mchangani, kwenye kombe la Mbuzi au kushidania milioni moja, huwezi amini timu zinaenda Kwa Waganga wa kienyeji.
Wadau wa mpira watakuja kukueleza,
Anazo za kwenye ndoto[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Watu wana husda utakuja kujua siku ukiwa na cash[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wewe umekariri mpaka wazazi wafe ndiyo urithi mali. Unaijua na kuifahamu vizuri familia ya Dewji na vizazi vyao?? Unazifahamu taratibu zao za kurithi mali?? Penda kujifunza kwanza.MO hajarithi maana Wazazi wake wapo hai
Dogo unajifunza kujenga hoja?Kutajirdika ni kuwaje kwa mfano
Tuanzie hopo.
Acha uongo .Ndivyo ilivyo mkuu, ili upate million 200 lazima ufanye biashara ya billions. Kwahiyo hapo usishangae chochote
Umenikumbusha kuna rafiki angu anaitwa Alex, bonge la kipaji hasa, Sergio Ramos kabisa, alipata team nzuri tu aisee alipigwa kipapai goti halijawahi kupona mpaka leo yaani.. na mpira uliishia pale paleSiku ukiingia kwenye sekta ya michezo hasa mpira wa hapa bongo utajua ni Kwa kiwango gani Watanzania ni washirikina..
Nilikuwa pale Morogoro, vitiku tuu vya mchangani, kwenye kombe la Mbuzi au kushidania milioni moja, huwezi amini timu zinaenda Kwa Waganga wa kienyeji.
Wadau wa mpira watakuja kukueleza,
Profit margin ya biashara yoyote legal haiwezi kuzidi 25% ya sales turnover..Acha uongo .
Haya mambo yana siri kubwa wasanii wangapi wamevuma pengine vipaji vyao ni vikubwa mno kuliko diamond ila hafuwasikii wakivuma tena hapo ndio diamond anakwambia waambie chocho nilizopita kufika hapa nikiwaonyesha ili wawe kama Mimi au zaidi hawatawezaHaamanishi kuwa aliwahi kuiba; kwa nini isiwe ni wakati alipoanza kwa kuimba wimbo MBAGALAAAAA akiwa amesImama kwenye dampo la takataka Tabata?
Tumekubaliana kwenye harakati za utafutaji ni wengi wanaegemea huo upande ili kupata msaada wasikwame wala kukwamishwaUchawi ni kanuni za mahesabu na vitu Ili usilete madhara unazilazimisha kanuni zisifanye kazi. Uchawi ni umeme Ili umeme usikudhuru unatumia vifaa visivyopitisha umeme
Kuna watu hawaamini ili haya mambo tunakutana nayo sana na ili kukwepa mishale ndio unajikuta huko kwa wataalamuZijue siri hao wapumbavu hawawezi kula jasho lako.
Ooh pwani ardhi tele Ina rutuba watu wavivu awataki kulima nenda kalime wewe toka bara kama utavuna.
Ukianza kulima wanakuangalia tu utalima heka 50 utavuna gunia 3.
Mungu aliumba miti,mimea na madini yenye uwezo wa kufyonza negative power ikiwemo uchawi,so ukilima unaweka nguvu ya kublock negative power ikitupwa inanyonywa na mimea,madini, vitu,nguvu ya maombi ya dua au damu ya Yesu,then unavuna jasho lako,na sio kufaidisha hawa wapumbavu.
Umejuaje sina kaka [emoji3]Watu wana husda utakuja kujua siku ukiwa na cash
Nilipohitimu law (Sheria ) nilitamani kubadili Dunia Ila pesa nlikuwa sipati kwa wingi, ilikuwa mshahara tu ,japo enough but sio nyingi .
Miezi miwili baadaye nlipitana na mshkaji hajasoma anapiga Hela ndefu kuniliko , nlibadili Nia . Siku hizi bwana madili ndo kazi za mawakili wengi ,kwa miingiliano yangu na wafanyikazi serikalini nmegundua asilimia 100 wote wezi .
Utapata ofisa TRA kabisa anakuja uumpe ideas on how to legally steal money ,na jinsi gani kuipitisha tax havens Kama cayman asipatikane .
Mfano wa mwisho ,Kuna contractor ,alinijia juzi juzi tu ,jamaa kapewa tender za kazi huko kusini , tender millioni 400 ,hakufanya kazi yyte , bingwa alinipa direct instructions niwash Hela yote kwa banking system mpaka Bahamas ,kumuuliza mbona hafanyi kazi angalau hata Kama sio yote ,alinipa jibu ,wao ndio walimwengu ,mabaharia huruma hawana.
Ila nchi hii inavyoporwa, dadeki, balaa tupu , Ila Nala nao na faida ipo tu .
Utajiri wa haraka Yaani quick riches ,lazima mlango wa nyuma lazima ,na ukiugeukia ndo hazina zipo .
The end justifies the means .