binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Hakuna singo maza mtulivu
Ukweli mtupu lakinimaneno makali sana haya
Mwambie akatubu kwanza dhambi ya ufisadi na kufanya malipizi basi atampata mke mwemaSahihi, nina rafiki yangu mbunge wa Magufuli, amejenga Njendengwa investment area bonge la mjumba above 1B. Anasema hamna kazi ngumu kama kumpata mke kwa umri wake, alipata binti mmoja familia ya kiarabu matajiri, La haula wanamwambia abadili dini amegoma na uhusiano umevunjika .
Hawa wengine wa kibongo anasema wanamdangia tu 😅 Mi hucheka!
Enheee mkuu! Yamekuwa hayo? 😅Mwambie akatubu kwanza dhambi ya ufisadi na kufanya malipizi basi atampata mke mwema
Faida kubwa kupata mwenza under 30 mnakua pamoja, uhalisia unakua kwa kiasi kikubwa na hata kila mmoja wenu kubadilika mkutane katikati ni rahisi, kama alibahatika utulivu basi anakua hajapitia mishale mingi ambayo ina hasara nyingi ndani yake.
Inshort faida za under 30 ni nyingi kuliko hasara
Kuna ubaya mtu akifuata pesa?
Mwambie akatubu kwanza dhambi ya ufisadi na kufanya malipizi basi atampata mke mwema
ni kweliHabari wadau.
Kwa research yangu isiyo rasmi. Kazi ya kusaka mwenza wa maisha ni ngumu sana ukianza kuifanya ukiwa na age above 30s..
Imani yako kwa watu inakuwa ndogo sana kutokana na uhalisia wa ubongo wako ulivyopevuka.
Hii inawatokea vijana wengi wa kiume na wa kike waliojipata. Yaani wenye stable income ama vipato vizuri.
Nikitazama ndugu, jamaa na marafiki ambao wamejipata. Wanateseka sana na hili.
Ushauri wa wazi kwa vijana wadogo wa kiume.
Ni rahisi sana kupata Mke mwema kama ukimpata mapema.. kabla hajazidi 25. Uwe umeshamuwahi.
Wanawake wengi ni wake bora ila experience za maisha zinawabadilisha na kuwa wabaya.
Muhimu umuwahi kabla hajakutana na experience za kumbadilisha na kuendana na mabadiliko hayo. Mkifunga ndoa mapema. Mnagrow mapema.. na imani juu yenu inakuwa kubwa.
Mbeleni ngumu sana kumuamini mtu. Hasa ukiwa umejipata.
Kila mtu unaona anafata faida kwako
Hakuna kitu kigumu kama kujua unachokitafuta! Huyu naye pamoja na hela zake japo hatujui alizipataje mbongo mkristo unaenda kudate na mwarabu mwisilamu inaonyesha hajitambuiSahihi, nina rafiki yangu mbunge wa Magufuli, amejenga Njendengwa investment area bonge la mjumba above 1B. Anasema hamna kazi ngumu kama kumpata mke kwa umri wake, alipata binti mmoja familia ya kiarabu matajiri, La haula wanamwambia abadili dini amegoma na uhusiano umevunjika .
Hawa wengine wa kibongo anasema wanamdangia tu 😅 Mi hucheka!
Unaweza kuhama nchi uende sehemu zenyewe wanawake wenye kipato kizuri kuliko Tanzania.Habari wadau.
Kwa research yangu isiyo rasmi. Kazi ya kusaka mwenza wa maisha ni ngumu sana ukianza kuifanya ukiwa na age above 30s..
Imani yako kwa watu inakuwa ndogo sana kutokana na uhalisia wa ubongo wako ulivyopevuka.
Hii inawatokea vijana wengi wa kiume na wa kike waliojipata. Yaani wenye stable income ama vipato vizuri.
Nikitazama ndugu, jamaa na marafiki ambao wamejipata. Wanateseka sana na hili.
Ushauri wa wazi kwa vijana wadogo wa kiume.
Ni rahisi sana kupata Mke mwema kama ukimpata mapema.. kabla hajazidi 25. Uwe umeshamuwahi.
Wanawake wengi ni wake bora ila experience za maisha zinawabadilisha na kuwa wabaya.
Muhimu umuwahi kabla hajakutana na experience za kumbadilisha na kuendana na mabadiliko hayo. Mkifunga ndoa mapema. Mnagrow mapema.. na imani juu yenu inakuwa kubwa.
Mbeleni ngumu sana kumuamini mtu. Hasa ukiwa umejipata.
Kila mtu unaona anafata faida kwako
Nyie mkishasitirika tu mnaanza kurudisha majeshi kwa mnaowaita wamewapa heshima ya kuitwa mama kwa mara ya kwanzaMasingle maza tupo tayari kutulia lakini pia hamtutaki
Huo ndio muda sahihi sasa wakuoa binafsi nimeona vijana waliowahi ni kiwanda cha kutengeneza single mazaHabari wadau.
Kwa research yangu isiyo rasmi. Kazi ya kusaka mwenza wa maisha ni ngumu sana ukianza kuifanya ukiwa na age above 30s..
Imani yako kwa watu inakuwa ndogo sana kutokana na uhalisia wa ubongo wako ulivyopevuka.
Hii inawatokea vijana wengi wa kiume na wa kike waliojipata. Yaani wenye stable income ama vipato vizuri.
Nikitazama ndugu, jamaa na marafiki ambao wamejipata. Wanateseka sana na hili.
Ushauri wa wazi kwa vijana wadogo wa kiume.
Ni rahisi sana kupata Mke mwema kama ukimpata mapema.. kabla hajazidi 25. Uwe umeshamuwahi.
Wanawake wengi ni wake bora ila experience za maisha zinawabadilisha na kuwa wabaya.
Muhimu umuwahi kabla hajakutana na experience za kumbadilisha na kuendana na mabadiliko hayo. Mkifunga ndoa mapema. Mnagrow mapema.. na imani juu yenu inakuwa kubwa.
Mbeleni ngumu sana kumuamini mtu. Hasa ukiwa umejipata.
Kila mtu unaona anafata faida kwako
Uzingatiwe.hoja ipoHabari wadau.
Kwa research yangu isiyo rasmi. Kazi ya kusaka mwenza wa maisha ni ngumu sana ukianza kuifanya ukiwa na age above 30s..
Imani yako kwa watu inakuwa ndogo sana kutokana na uhalisia wa ubongo wako ulivyopevuka.
Hii inawatokea vijana wengi wa kiume na wa kike waliojipata. Yaani wenye stable income ama vipato vizuri.
Nikitazama ndugu, jamaa na marafiki ambao wamejipata. Wanateseka sana na hili.
Ushauri wa wazi kwa vijana wadogo wa kiume.
Ni rahisi sana kupata Mke mwema kama ukimpata mapema.. kabla hajazidi 25. Uwe umeshamuwahi.
Wanawake wengi ni wake bora ila experience za maisha zinawabadilisha na kuwa wabaya.
Muhimu umuwahi kabla hajakutana na experience za kumbadilisha na kuendana na mabadiliko hayo. Mkifunga ndoa mapema. Mnagrow mapema.. na imani juu yenu inakuwa kubwa.
Mbeleni ngumu sana kumuamini mtu. Hasa ukiwa umejipata.
Kila mtu unaona anafata faida kwako