Kazi ya Kusikiliza Kiingereza Kisha Uandike Maneno (Transcribing)

Kazi ya Kusikiliza Kiingereza Kisha Uandike Maneno (Transcribing)

Boss kazi kama hii nilishaga jaribu fanya nahisi ni Mambo ya artificial intelligence kama sikosei
Ajira huhisi ni kitu real sio hisia!!
Jitose utapeliwe ila usije kubweka humu.kama mlivyobweka Kalyinda
Jitose na hisia zako sio kesi
 
Kuna mtu aliletaga humu 3yrs ago kazi ya kutafsiri maneno ya English kwenda kiswahili. Watu tukajaa baada ya muda akaingia mtini.

Alikua anafanyaje???
Anakutumia Article ya majaribio kama unaweza ukishamtuumiabaada ya kumaliza ndio bai bai. Humpati.
So alikua anawapa maybe watu 20 article tofauti za majaribio then anazikusanya kiulanii.
#Kaeni Rada
 
Kuna mtu aliletaga humu 3yrs ago kazi ya kutafsiri maneno ya English kwenda kiswahili. Watu tukajaa baada ya muda akaingia mtini.

Alikua anafanyaje???
Anakutumia Article ya majaribio kama unaweza ukishamtuumiabaada ya kumaliza ndio bai bai. Humpati.
So alikua anawapa maybe watu 20 article tofauti za majaribio then anazikusanya kiulanii.
#Kaeni Rada
Hapo alitapeli kupitia kipengele cha no contract signed ,no office address or location hata ukimtafuta humpati anayeyuka hewani tu!!
 
Hivi google translation si ipo?
Unaingiza tu sauti. Au unataka kusaidia vijana kupata ajira?

Halafu huyo mzungumzaji sio native speaker wa kimalkia. Anatumia accent ya kikwao na sio RP!
Hata hivyo ni jambo jema pia kutoa ajira kwa wana rhetoric
 
Nahitaji watu wanaoweza kusikiliza kiingereza kisha kuyaweka hayo maneno kwa maandishi. Kazi ipo kila wiki mara tatu, si zaidi ya dakika 20 kila mara. Ikizidi dakika 20 tutakuongezea mpunga.

Mshahara wa kila mwezi ni 100,000 tshs (base salary).

Kwa kila kazi inayozidi dakika 20 tunalipa 800 tshs kwa dakika.

Kama una sikio zuri la ngeli na una mtandao mzuri (kuweza kupokea video au audio tunapokutumia), basi nijulishe.

NB: Hii ni kazi ya part time, sio kazi unayoweza lisha familia. Lakini ukiwa vizuri unaweza kutengeneza mpaka laki 4 kwa mwezi.

Nicheki dm kama unahitaji hiki kibarua.

Kwa mfano wa audio na text iliyokamilika ambayo tulishafanyanayo kazi, angalia attachment.
Unalipaje. Tsh/USD na kwa njia ipi bank au sm
 
Common Signs a Transcription Job is a Scam
  • Asking for Money. While some companies that ask for remuneration for training are legitimate, others are not. ...
  • Dodgy Reviews. ...
  • Sense of Urgency. ...
  • You Don't Receive a Contract. ...
  • No Contact Information.,like Company name,address ,office location etc..
  • Offering Money. ...
  • The Desperation is Real. ...
  • They are Reluctant to Answer Your Questions
Hii ya mleta mada ni Scam
Kama hamjachoka ya Kalynda nendeni kichwa kichwa mpigwe
70% uko sahihi mkuu
 
Kabisa

Kabla watu hata hawajakaa chini kilio cha Kalyinda hata 40 haijaisha ya msiba wa Kalyinda. Kalyinda part two inaingia msibani
Samahani sana mkuu, unajua zamani nilikuwa najua wewe ni hamnazo kumbe uko vizuri sana upstairs. Big up mkuu
 
Unalipaje. Tsh/USD na kwa njia ipi bank au sm
Hii dunia isikie kwenye radio tu.ukizubaa kidogo tu Kalyinda huyu hapa kukutapeli halafu anayeyuka
hewani kama mwewe akikwapua kifaranga cha kuku 😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom