FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Nawe unaitaka?chek PM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawe unaitaka?chek PM
kabisa na nimeamua kutumia ID hii yangu kongwe, siyo wa hapo juu wameomba kwa ID za bakapuNawe unaitaka?
Ajira huhisi ni kitu real sio hisia!!Boss kazi kama hii nilishaga jaribu fanya nahisi ni Mambo ya artificial intelligence kama sikosei
Anitapeli roho labdaAjira huhisi ni kitu real sio hisia!!
Jitose utapeliwe ila usije.kubweka humu.kama mlivyobweka Kalyinda
Jitose na hisia zako sio kesi
😀😀😀😀😀Anitapeli roho labda
Hapo alitapeli kupitia kipengele cha no contract signed ,no office address or location hata ukimtafuta humpati anayeyuka hewani tu!!Kuna mtu aliletaga humu 3yrs ago kazi ya kutafsiri maneno ya English kwenda kiswahili. Watu tukajaa baada ya muda akaingia mtini.
Alikua anafanyaje???
Anakutumia Article ya majaribio kama unaweza ukishamtuumiabaada ya kumaliza ndio bai bai. Humpati.
So alikua anawapa maybe watu 20 article tofauti za majaribio then anazikusanya kiulanii.
#Kaeni Rada
Okay will do 😊Naona kuload haya mkuu jifunze kiswahili kwanza
Nilitaka kujua anaweza kutapeli vipi, au unafanya hizo kazi halafu hakulipi ama?Ofisi zake ziko wapi,mtaa gani
Ofisi yake ndio hiyo namba ya simu yake aliyoweka au?
Unalipaje. Tsh/USD na kwa njia ipi bank au smNahitaji watu wanaoweza kusikiliza kiingereza kisha kuyaweka hayo maneno kwa maandishi. Kazi ipo kila wiki mara tatu, si zaidi ya dakika 20 kila mara. Ikizidi dakika 20 tutakuongezea mpunga.
Mshahara wa kila mwezi ni 100,000 tshs (base salary).
Kwa kila kazi inayozidi dakika 20 tunalipa 800 tshs kwa dakika.
Kama una sikio zuri la ngeli na una mtandao mzuri (kuweza kupokea video au audio tunapokutumia), basi nijulishe.
NB: Hii ni kazi ya part time, sio kazi unayoweza lisha familia. Lakini ukiwa vizuri unaweza kutengeneza mpaka laki 4 kwa mwezi.
Nicheki dm kama unahitaji hiki kibarua.
Kwa mfano wa audio na text iliyokamilika ambayo tulishafanyanayo kazi, angalia attachment.
Gud evening gorgeous. How was your day?
🤣🤣🤣🤣 acha wapelekewe moto mkuu hakuna namna sasaKabisa
Kabla watu hata hawajakaa chini kilio cha Kalyinda hata 40 haijaisha ya msiba wa Kalyinda. Kalyinda part two inaingia msibani
70% uko sahihi mkuuCommon Signs a Transcription Job is a Scam
Hii ya mleta mada ni Scam
- Asking for Money. While some companies that ask for remuneration for training are legitimate, others are not. ...
- Dodgy Reviews. ...
- Sense of Urgency. ...
- You Don't Receive a Contract. ...
- No Contact Information.,like Company name,address ,office location etc..
- Offering Money. ...
- The Desperation is Real. ...
- They are Reluctant to Answer Your Questions
Kama hamjachoka ya Kalynda nendeni kichwa kichwa mpigwe
Gud evening gorgeous. How was your day?
Samahani sana mkuu, unajua zamani nilikuwa najua wewe ni hamnazo kumbe uko vizuri sana upstairs. Big up mkuuKabisa
Kabla watu hata hawajakaa chini kilio cha Kalyinda hata 40 haijaisha ya msiba wa Kalyinda. Kalyinda part two inaingia msibani
Along the way utaambiwa utume pesa kama dhamana.Hapa anakutapeli vipi, anakuambia utume hela ndiyo upewe kazi au?
Hii dunia isikie kwenye radio tu.ukizubaa kidogo tu Kalyinda huyu hapa kukutapeli halafu anayeyukaUnalipaje. Tsh/USD na kwa njia ipi bank au sm
Fantastic. So please do u grace me with ur presence tonight kule pm plzGreat so far , how about you ?