Kazi ya Kusikiliza Kiingereza Kisha Uandike Maneno (Transcribing)

Kazi ya Kusikiliza Kiingereza Kisha Uandike Maneno (Transcribing)

Common Signs a Transcription Job is a Scam
  • Asking for Money. While some companies that ask for remuneration for training are legitimate, others are not. ...
  • Dodgy Reviews. ...
  • Sense of Urgency. ...
  • You Don't Receive a Contract. ...
  • No Contact Information.,like Company name,address ,office location etc..
  • Offering Money. ...
  • The Desperation is Real. ...
  • They are Reluctant to Answer Your Questions
Hii ya mleta mada ni Scam
Kama hamjachoka ya Kalynda nendeni kichwa kichwa mpigwe
Acha hii Mipumbavu ipigwe ili ikome.
 
Kuna mtu aliletaga humu 3yrs ago kazi ya kutafsiri maneno ya English kwenda kiswahili. Watu tukajaa baada ya muda akaingia mtini.

Alikua anafanyaje???
Anakutumia Article ya majaribio kama unaweza ukishamtuumiabaada ya kumaliza ndio bai bai. Humpati.
So alikua anawapa maybe watu 20 article tofauti za majaribio then anazikusanya kiulanii.
#Kaeni Rada
Dah hiyo mbinu ya kivita kweli.
 
Dhamana kwa ajili ya nini, kwamba nitakimbia na video zao au?

Ama kweli watu tuko wajinga wa kupindukia, kama mtu unatapeliwa kwa njia za kitoto hivi, inashangaza.
Watakwambia hayo ndiyo masharti yao, kama uko tayari sawa na kama hauko tayari basi, watu wanapigwa pesa kizembe sana
 
Nahitaji watu wanaoweza kusikiliza kiingereza kisha kuyaweka hayo maneno kwa maandishi. Kazi ipo kila wiki mara tatu, si zaidi ya dakika 20 kila mara. Ikizidi dakika 20 tutakuongezea mpunga.

Mshahara wa kila mwezi ni 100,000 tshs (base salary).

Kwa kila kazi inayozidi dakika 20 tunalipa 800 tshs kwa dakika.

Kama una sikio zuri la ngeli na una mtandao mzuri (kuweza kupokea video au audio tunapokutumia), basi nijulishe.

NB: Hii ni kazi ya part time, sio kazi unayoweza lisha familia. Lakini ukiwa vizuri unaweza kutengeneza mpaka laki 4 kwa mwezi.

Nicheki dm kama unahitaji hiki kibarua.

Kwa mfano wa audio na text iliyokamilika ambayo tulishafanyanayo kazi, angalia attachment.
 
Nahitaji watu wanaoweza kusikiliza kiingereza kisha kuyaweka hayo maneno kwa maandishi. Kazi ipo kila wiki mara tatu, si zaidi ya dakika 20 kila mara. Ikizidi dakika 20 tutakuongezea mpunga.

Mshahara wa kila mwezi ni 100,000 tshs (base salary).

Kwa kila kazi inayozidi dakika 20 tunalipa 800 tshs kwa dakika.

Kama una sikio zuri la ngeli na una mtandao mzuri (kuweza kupokea video au audio tunapokutumia), basi nijulishe.

NB: Hii ni kazi ya part time, sio kazi unayoweza lisha familia. Lakini ukiwa vizuri unaweza kutengeneza mpaka laki 4 kwa mwezi.

Nicheki dm kama unahitaji hiki kibarua.

Kwa mfano wa audio na text iliyokamilika ambayo tulishafanyanayo kazi, angalia attachment.
Nipo tayari mkuu ncheki kwa no 0753217246
 
Common Signs a Transcription Job is a Scam
  • Asking for Money. While some companies that ask for remuneration for training are legitimate, others are not. ...
  • Dodgy Reviews. ...
  • Sense of Urgency. ...
  • You Don't Receive a Contract. ...
  • No Contact Information.,like Company name,address ,office location etc..
  • Offering Money. ...
  • The Desperation is Real. ...
  • They are Reluctant to Answer Your Questions
Hii ya mleta mada ni Scam
Kama hamjachoka ya Kalynda nendeni kichwa kichwa mpigwe
YEHODAYA asante kwa kutujuza ubadhilifu uaofanyika mitandaoni.

mimi kama boss wa majobless wote naomba unipe mchongo wa Transcriptions job ambazo sio scam.
 
Kwa watu wote walionicheki DM, sijaweza kuwajibu wote. Lakini ili kuweka hali ya hewa vizuri kwenye hue uzi, cha kwanza kabisa ni kuwa sitahitaji unitumie hela yoyote, hata shillingi moja. Ukipata DM inakuambia utume hela kwanza kimbia.

Cha pili, sikutegemea kupata maulizo toka kwa watu wengi mno hivyo nilishindwa kujibu mmoja mmoja.

Lakini hii kazi ipo, na tutachagua watu ndani ya hii weekend na kujibu kila mmoja kabla ya jumatatu.

Kwa wanaotuma namba za simu, nitawasialiana na wewe pia, lakini muda mwingine usiweke namba ya simu hadharani. Kwa DM ni sawa.

Nimepata msgs nyingi mno, hivyo naangalia na nimejibu chache kwa uwezo wangu , japo nitajibu wote kabla weekend haijaisha.

Muwe na weekend njema wanajamii.
 
Ni vigumu, kuna audio zinawatu wenye accent nzito.
ile ni artificial intelligence mkuu, unadhani hawajafikiria yote hayo?
Halafu utamu wake inaweka mpaka time stamps, na speaker akibadilika inaonesha tags speaker 1:"........." Speaker 2: ".........."
Yan hata kama isipofanya 100% basi kazi yako transcriber itakuwa kuedit tu kidogo chini ya 5%.
Kwahyo hii kazi ya transcribing ipo ICU saiv (for english atleast)
 
ile ni artificial intelligence mkuu, unadhani hawajafikiria yote hayo?
Halafu utamu wake inaweka mpaka time stamps, na speaker akibadilika inaonesha tags speaker 1:"........." Speaker 2: ".........."
Yan hata kama isipofanya 100% basi kazi yako transcriber itakuwa kuedit tu kidogo chini ya 5%.
Kwahyo hii kazi ya transcribing ipo ICU saiv (for english atleast)
Nimetumia pia, hata Descript na AI software nyingine. Mwisho wa siku kuedit inachukua muda mrefu kuliko kuandika mwenyewe. Sikiliza kiingereza cha msingapore ile amechanganya na accent ya kihindi. Hata AI software zenyewe zinachoka.

Kiufupi hata kama unatumia AI, mwisho wa siku ni lazima uedit. Ndio kazi hapo.
 
Nimetumia pia, hata Descript na AI software nyingine. Mwisho wa siku kuedit inachukua muda mrefu kuliko kuandika mwenyewe. Sikiliza kiingereza cha msingapore ile amechanganya na accent ya kihindi. Hata AI software zenyewe zinachoka.

Kiufupi hata kama unatumia AI, mwisho wa siku ni lazima uedit. Ndio kazi hapo.
Umetumia pixel 7??
 
Back
Top Bottom