Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,666
- 7,788
Tulikataza humu kumsema mtu aliye jisakilifaisi maisha yakeMwl mkuu au mek au afs elm w utamnyenyekea kama unasaka cheo na vifursa uchwara. Kuna miamba hasa yenye digrii takatifu, sio zile za kuungaunga hadi tunawatongoza hao mabosi na wananyoshwa vzr tu.
Kipnd cha awam ya shetan mwenda kuzm ndo walianza kupandsha mabega.
Issue wala sion dharau tu...ISSUE hapo DHARAU NYINGI-MALIPO DUNI-MAISHA MAGUMUSijui nikuelezeje lakin huwez acha kazi kisa eti una dharauliwa ww ulipata kazi nzuri, wachungaji wa dini wanadharailiwa Sana lakin kwa sababu ya wito hawaachi kazi, nasema hvi usinge kuwa umepata hyo kazi kweli Sasa hv ungekua Bado mwl ,
Alafu dharau ni jinsi wewe unaichukulia mtu akikudharau ukampuuza nothing will affect you,
Lakin akikudharau ukaweka kichwani utaona umedharauliwa ,
Nchi yetu Bado Haina pesa ya kulipa walim kama USA Kule ili uwe mwl lazima kwanza uwe na div 1 yaan bright ndo wanatakiwa kuwa walim,
Sisi uku kwetu Bado , mtu ana div 4 anaenda kufundisha ,
Shukuru Mungu ulipata huo ualim walio kudharau walikua wanakupa changamoto Sasa ilibidi uishide ,
Mimi sio mwl kozi yangu nimemaliza 2016 since now Sija ajiriwa , before sijasoma hii kozi nilitaka nianzishe twishen eneo nililokua nakaa hakukua na kindergarten, nilitaka niombe pale kanisan niweke kindergarten na ningetoboa,.
Sasa ambae angenidharau si ningemcheka tu,
Bahati nzuri nikaenda somea hii kozi,
My dear dharau Ni jinsi wewe unaichukulia kwa hyo wale wanaume wanao tembeza mboga barabarani au sokonj na ni wanaume nao vip ,
Fikilia Wana dharauliwa kiasi Gani ?
Waache kisa dharau,
NB; hakuna kazi isiyo kuwa na changamoto hata apo ulipo Zinakuja au hujazisema
Huo huo ualim Kuna watu wametoboa na mshahara kiduchi Ina depends on how una changa karata zako, police nao Wana lalamika hata wabunge,Issue wala sion dharau tu...ISSUE hapo DHARAU NYINGI-MALIPO DUNI-MAISHA MAGUMU
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Inategemea na maana yako ya KUTOBOA ndugu...Huo huo ualim Kuna watu wametoboa na mshahara kiduchi Ina depends on how una changa karata zako, police nao Wana lalamika hata wabunge,
Ok hongera lakin kwa kupata kazi mpya
Dah! nimejihc machozi...MUNGU ni mwema ipo pengine siku nitakuja kuandika ujumbe km huu..kila la kher uko uliko... endelea kutuombea nasiUalimu ni kazi nzuri Sana. Inavutia Sana kuifanya kwa moyo. Nakumbuka nikiwa darasani nikiwalekeza watoto napata Raha sana mwanafunzi anapoelewa na kuelezea(demonstrate) like jambo.
Nilikuwa nafurahia Sana nilikutana na mtoto hajui kusoma vizuri au hata kuandika sawasawa nikamuuliza mama au baba ake ..." Huyu mtoto anevukaje sekondari Ili hali hajui kusoma vema na kuandika.."..na tuifanye nini..
Nilifurahia Sana mzazi anapotoa sababu...na Kwa kuwa lengo ni Moja tu ajue kusoma na kuandika na kupambanua mambo.
Nilifurahia na kuifanya kazi Kwa moyo.
Suala la mtoto kupita sekondari hajui si kosa la mzazi bali yule mwalimu wake wa shule ya awali na msingi.
Tatizo ni kwamba mwalimu amechoka, anafanya kazi Muda wote na watoto huku akiishi maisha ya dhiki,dharau na kunyanyaswa na wanaoitwa mwalimu mkuu(msingi) au Mkuu wa shule (sekondari), MEK,AFISA ELIMU (MSINGI NA SEKONDARI)
MIKOANI SIJUI(KWA MAANA YA AFISA ELIMU MKOA NA KATIBU TAWALA WAKE) HAO WANENE SIJUI.
MIMI nimepoteza Muda wangu Kwa dharau na kutojali unyanyasaji kutoka Kwa hawo viongozi.
Ninaamini hata walimu wenzangu yanawakutaa na haya.
Nina Umri wa miaka 25 kazini. Kazi hii ya ualimu nimeifanya yapata miaka 17. Baada ya hapo nikaipata kazi nyingine. Na niseme wazi wazi kama Mungu yupo kuna watu Wana dhambi nyingi na hamtapata nafasi utetezi.
Kazi ya 'Ualimu' imeniharibia maisha yangu. Sisemi msiisomee la hasha! Nimetumia sehemu ya maisha yangu ya kazi nikishuhudia dharau na kutojali na kutuona walimu hatuna thaman kuliko wao MEK na baadhi ya viongozi.
MEK ni Mratibu Elimu Kata.
Mwalimu Mkuu ni Mkuu wa kituo msingi.
Mkuu wa shule ni Mkuu wa kituo sekondari.
Sikumbuki Cha maana nilichopata zaid ya kumbukumbu mbaya kutoka kwenye mamlaka. Mwalimu anaambulia kujenga, kununuyusafiri na kusubiri kuinua mgongo. Sijaona kitu kingine. Kwa Sasa naona tofauti katika kazi hii nikiyonayo na kazi pendwa ya ualimu.
Ndo maaana mnahamishia stress kwa wanafunzi.
Wanaopokea Hy 600+ ni wachache wengi mishahara tayari ina virus unakuta mkononi mwl anaondoka na 250+ basWalimu wengi wmetoka familia duni. Mshahara 600+ lakini ukoo mzima wanataka mgao [emoji23][emoji23][emoji23] sasa huyu mtu atatoboa lini jameni?
Watu wote waaoponda ualimu ni aidha siyo walimu a ni walimu wenye MATATIZO ya kisaikolojia.Inategemea na maana yako ya KUTOBOA ndugu...
Watu wengi tunasurvive tu: EXISTING Vs LIVING
Kuna kuwepo tu (Existing) na Kuishi (Living):Wengi tupo tu, hatuishi...Tumpongeze mwenzetu kwa kupiga hatua...kwa kufanikiwa kufanya kitu roho inapenda, ana Amani sasa..kaanza kuishi
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Una miaka 25 na umefundisha kwa miaka 17,je ulianza kazi na miaka mingapi?Ualimu ni kazi nzuri Sana. Inavutia Sana kuifanya kwa moyo. Nakumbuka nikiwa darasani nikiwalekeza watoto napata Raha sana mwanafunzi anapoelewa na kuelezea(demonstrate) like jambo.
Nilikuwa nafurahia Sana nilikutana na mtoto hajui kusoma vizuri au hata kuandika sawasawa nikamuuliza mama au baba ake ..." Huyu mtoto anevukaje sekondari Ili hali hajui kusoma vema na kuandika.."..na tuifanye nini..
Nilifurahia Sana mzazi anapotoa sababu...na Kwa kuwa lengo ni Moja tu ajue kusoma na kuandika na kupambanua mambo.
Nilifurahia na kuifanya kazi Kwa moyo.
Suala la mtoto kupita sekondari hajui si kosa la mzazi bali yule mwalimu wake wa shule ya awali na msingi.
Tatizo ni kwamba mwalimu amechoka, anafanya kazi Muda wote na watoto huku akiishi maisha ya dhiki,dharau na kunyanyaswa na wanaoitwa mwalimu mkuu(msingi) au Mkuu wa shule (sekondari), MEK,AFISA ELIMU (MSINGI NA SEKONDARI)
MIKOANI SIJUI(KWA MAANA YA AFISA ELIMU MKOA NA KATIBU TAWALA WAKE) HAO WANENE SIJUI.
MIMI nimepoteza Muda wangu Kwa dharau na kutojali unyanyasaji kutoka Kwa hawo viongozi.
Ninaamini hata walimu wenzangu yanawakutaa na haya.
Nina Umri wa miaka 25 kazini. Kazi hii ya ualimu nimeifanya yapata miaka 17. Baada ya hapo nikaipata kazi nyingine. Na niseme wazi wazi kama Mungu yupo kuna watu Wana dhambi nyingi na hamtapata nafasi utetezi.
Kazi ya 'Ualimu' imeniharibia maisha yangu. Sisemi msiisomee la hasha! Nimetumia sehemu ya maisha yangu ya kazi nikishuhudia dharau na kutojali na kutuona walimu hatuna thaman kuliko wao MEK na baadhi ya viongozi.
MEK ni Mratibu Elimu Kata.
Mwalimu Mkuu ni Mkuu wa kituo msingi.
Mkuu wa shule ni Mkuu wa kituo sekondari.
Sikumbuki Cha maana nilichopata zaid ya kumbukumbu mbaya kutoka kwenye mamlaka. Mwalimu anaambulia kujenga, kununuyusafiri na kusubiri kuinua mgongo. Sijaona kitu kingine. Kwa Sasa naona tofauti katika kazi hii nikiyonayo na kazi pendwa ya ualimu.
Huyo ni Mwalimu.We jamaa yaonesha ni mwalimu au ulikuwa mwalimu
Pole Sana Ualimu ni wito
Ukitaka utajiri ni kufanya Biashara.
Pia usitafute Heshima hapa Duniani , Heshima yaani unataka Binadamu wa kuheshimu ili iweje nyie wasomi uchwara