Ni kazi ya kishamba sana.Dalali ni kupe dalali ni shetani dalali nawachukia Sanaa.
Sipendagi ma middle man👞
Yaan anagawana na mkulima 50% 50% inauma Sanaa
Nenda kwenye kuuza au kupangisha nyumba anataka Kodi ya mwezi Bure bureee 🧐
Wapuuzi Sana na muda wote wanatafuna tafuna Kama mbuzi...( Washirikina Sana)
Tuna zungumzia hawa wa kwetu mkuu!!Usichojua hata silent oceans ni Dalali
Wazungu hii kwao ni Kazi kubwa na inafahamika
📌📌Madalani ni zao la kukoswa kazi,madalali wengi ni wezi!!!Usichojua hata silent oceans ni Dalali
Wazungu hii kwao ni Kazi kubwa na inafahamika
Kuna madalali NJAA...Ieleweke na watu wote silent oceans NI DALALI MWENYE MTAJI 😊☺️Usichojua hata silent oceans ni Dalali
Wazungu hii kwao ni Kazi kubwa na inafahamika
Hao wazungu unao wataka udalali wao sio huu wa bongo... Kule mtu anapata Percent na wanalipa kodi. Huu wa huku ni Utapeli. Kitu kinauzwa Elfu 5 wewe unauza elfu 20. Hulipi kodi pia huoni huo ni utapeliUsichojua hata silent oceans ni Dalali
Wazungu hii kwao ni Kazi kubwa na inafahamika
Unalipa kodi ili uwanufaishe wanasiasa sio ?.Hao wazungu unao wataka udalali wao sio huu wa bongo... Kule mtu anapata Percent na wanalipa kodi. Huu wa huku ni Utapeli. Kitu kinauzwa Elfu 5 wewe unauza elfu 20. Hulipi kodi pia huoni huo ni utapeli
Hujasoma comment za wadau wanasema kuuza bidhaa usiyo kua nayo ni ujanja ujanja/ wizi/ utapeliMkuu kwahiyo mm sina mtaji ?
Mtaji wangu ni akilii.
Mkuu dunia imeshahama hizo zama GSM udalali ndo umempa utajiri.Hujasoma comment za wadau wanasema kuuza bidhaa usiyo kua nayo ni ujanja ujanja/ wizi/ utapeli
Kwaio mkuu 😊 unataka kusemaje ?
All in all,
Madalali NJAA wengi ni wabongo mixer utapeli na udanganyifu
Tofauti yake na wewe ni WAKATI WEWE UNAUZA MANENO.Mkuu dunia imeshahama hizo zama GSM udalali ndo umempa utajiri.
So usiache kuwa mtu kati.
Wanaumiza sana wakulima, ukipeleka mzigo sokoni bila dalali huwezi kuuza na wao ndio wanapanga beiDalali ni kupe dalali ni shetani dalali nawachukia Sanaa.
Sipendagi ma middle man👞
Yaan anagawana na mkulima 50% 50% inauma Sanaa
Nenda kwenye kuuza au kupangisha nyumba anataka Kodi ya mwezi Bure bureee 🧐
Wapuuzi Sana na muda wote wanatafuna tafuna Kama mbuzi...( Washirikina Sana)
S8nce you are for real, kuna mbanga ilikukuta nao hao for real 😂Dalali ni kupe dalali ni shetani dalali nawachukia Sanaa.
Sipendagi ma middle man👞
Yaan anagawana na mkulima 50% 50% inauma Sanaa
Nenda kwenye kuuza au kupangisha nyumba anataka Kodi ya mwezi Bure bureee 🧐
Wapuuzi Sana na muda wote wanatafuna tafuna Kama mbuzi...( Washirikina Sana)
Kukoswa kazi ndo kukoje? Ni sawa na kukosa kazi?📌📌Madalani ni zao la kukoswa kazi,madalali wengi ni wezi!!!
Kwa wenzetu ina transparency kubwa sana kuliko unavyofikiri na hakuna uchawi. Huku bongo vijiti, mirunda midogo itatafunwa kwa ajili yako na teja anayeletwa 🤣🤣🤣.Usichojua hata silent oceans ni Dalali
Wazungu hii kwao ni Kazi kubwa na inafahamika