Kazi ya udalali inalipa sana kiukweli siwezi kuiacha hii kazi

Kazi ya udalali inalipa sana kiukweli siwezi kuiacha hii kazi

Wala sio utapeli, kosa ni serikali kutoweka regulations. Unapoagiza gari unamhitaji dalali kuanzia Japan hadi linafika Dar, ukitaka nyumba, kiwanja ni kazi ya dalali, ukihitaji kitu mtandaoni, utaingia jiji letu, kupatana nk hao wote ni watu kati.
Yes , nimekupata vzr kuwa mtu kati ni kama kuwa agent , broker n.k

Utofauti uliopo ni kuwa kwa tz bado hii Kazi wanaifanya kimazoea
 
Kweli ndugu na Wana tamaa Sana..ni majambazi kabisa.
Niliona tangazo moja dalali anatangaza nyumba inapangishwa, kodi milioni mbili kwa mwezi. Mpangaji anatakiwa kulipa kodi ya miezi sita halafu anampa dalali malipo ya sawa na kodi ya mwezi, yaani milioni mbili. Ukiangalia situation kama hii unaona kabisa hapa kuna uzembe ambao dalali anautumia kupiga fedha. la nadhani tuache kulalamika na tujaribu kutumia Internet kuondoa hawa madalali wezi. Kwa mfano akija mjasiria mali na kufungua website au app ya kutumia wenye nyumba na wapangaji na kutoza fee ndogo tu atamaliza huu ujinga. Hata bidhaa kama mazao mtu anaweza kufanya hivi.
 
Niliona tangazo moja dalali anatangaza nyumba inapangishwa, kodi milioni mbili kwa mwezi. Mpangaji anatakiwa kulipa kodi ya miezi sita halafu anampa dalali malipo ya sawa na kodi ya mwezi, yaani milioni mbili. Ukiangalia situation kama hii unaona kabisa hapa kuna uzembe ambao dalali anautumia kupiga fedha. la nadhani tuache kulalamika na tujaribu kutumia Internet kuondoa hawa madalali wezi. Kwa mfano akija mjasiria mali na kufungua website au app ya kutumia wenye nyumba na wapangaji na kutoza fee ndogo tu atamaliza huu ujinga. Hata bidhaa kama mazao mtu anaweza kufanya hivi.
Hakika
 
Wala sio utapeli, kosa ni serikali kutoweka regulations. Unapoagiza gari unamhitaji dalali kuanzia Japan hadi linafika Dar, ukitaka nyumba, kiwanja ni kazi ya dalali, ukihitaji kitu mtandaoni, utaingia jiji letu, kupatana nk hao wote ni watu kati.
Ndugu yetu Dr hayaland kaelezea vyema pia wadau mbali mbali wameelezea.

Sio kwamba tunapinga madalali hapana madalali wanao fuata principal...mfano silent oceans,dalali mwanamke, Gsm e.t.c Hawa ni madalali wenye mitaji na wanafuata misingi

Hapa ugomvi wetu ni wa madalali wa kibongo bongo wale wanao kaa kwenye mgundi..unakuta kwenye maduka mbali mbali ya chakula, masoko makubwa ya mazao ,nguo, vifaa vya ujenzi, dawa za binadamu,vifaa vya umeme then wanakuletea udalali kwa kukubambika Bei za juu..

Hawa madalali ndio wanao ibia wakulima wa mazao kwa kutaka 50%50% na mkulima

Dalali wa aina hii ndio matapeli na wezi.
 
Niliona tangazo moja dalali anatangaza nyumba inapangishwa, kodi milioni mbili kwa mwezi. Mpangaji anatakiwa kulipa kodi ya miezi sita halafu anampa dalali malipo ya sawa na kodi ya mwezi, yaani milioni mbili. Ukiangalia situation kama hii unaona kabisa hapa kuna uzembe ambao dalali anautumia kupiga fedha. la nadhani tuache kulalamika na tujaribu kutumia Internet kuondoa hawa madalali wezi. Kwa mfano akija mjasiria mali na kufungua website au app ya kutumia wenye nyumba na wapangaji na kutoza fee ndogo tu atamaliza huu ujinga. Hata bidhaa kama mazao mtu anaweza kufanya hivi.
Yes, Kama ilivyo kwenye usafiri mfano bolt, taxfy, Uber, faras imesaidia Sana kuweka standards kwenye Bei na huduma.

Naunga mkono hoja yako ndugu yangu yangu.
 
Agent na broker ni kitu kimoja

Mimi ni Kama Amazon ninamiliki mtandao unaomkutanisha mteja na muuzaji .

Nina maduka manne ambayo nafanya nayo Kazi.
Nenda kajielimishe upya. Agent ni wakala, Broker ni dalali. Agent anafanya kazi kwa niaba ya mwenye au mtoa huduma dalali anapush biashara iende kati ya muuzaji na mnunuzi.
 
Wakuu katika Kazi ambazo zinalipa ni pamoja na udalali.

Hii inakuhitaji uwe at least unajua kiingereza , mwandiko mzuri na kuwa na ushawishi wa kuongea vyema.

Kiufupi njia ambazo natumia kufanya hii biashara ni kuwa na smartphone nzuri , laptop kali .

Kisha naaanza kutangaza bidhaa mbalimbali .

Sasa wakati naanza hii Kazi sikutegemea kuwa itanipa pesa.

Mimi bidhaa ninazouza ni slow moving Ila siku nikitusua natusua kweli kweli.

Wiki iliingia simu ya Kazi , ghafla nikaambiwa nipokee na kufanya mazungumzo .

Sasa tayari nimeshapiga 6 Million

Hapa nilipo najua hii million sita ni mshahara wa mtu wa mwaka mzima .

Leo huko kijijini nimewapa jumla laki nane nimewanunulia gas na jiko lake.

Nimewavutia Maji.

Wakuu tuendelee kupambania
Hongera.......katika 6M umenunua gesi tu na jiko. Hizo zingine milioni 5 utakula na nani?

Ndio maana madalali hata wapate bilioni wanabaki kuwa pale pale.

Sio wote lakini
 
Niliona tangazo moja dalali anatangaza nyumba inapangishwa, kodi milioni mbili kwa mwezi. Mpangaji anatakiwa kulipa kodi ya miezi sita halafu anampa dalali malipo ya sawa na kodi ya mwezi, yaani milioni mbili. Ukiangalia situation kama hii unaona kabisa hapa kuna uzembe ambao dalali anautumia kupiga fedha. la nadhani tuache kulalamika na tujaribu kutumia Internet kuondoa hawa madalali wezi. Kwa mfano akija mjasiria mali na kufungua website au app ya kutumia wenye nyumba na wapangaji na kutoza fee ndogo tu atamaliza huu ujinga. Hata bidhaa kama mazao mtu anaweza kufanya hivi.
Ili tuukate huu mnyororo wa kulipa mwezi mmoja. Tumfutilie mbali Dalali tapeli.

App hiyo itatoa sharti mtu anayetangaza property hakuna kuchaji pesa ya mwezi.

Asipofanya hivyo hiyo app itajaa madalali wale wale.

Ni wazo zuri
 
Kuna mdau alisema ukiondoa wanasiasa wetu wanafuata kwa upumbavu ni madalali.
 
Ndugu yetu Dr hayaland kaelezea vyema pia wadau mbali mbali wameelezea.

Sio kwamba tunapinga madalali hapana madalali wanao fuata principal...mfano silent oceans,dalali mwanamke, Gsm e.t.c Hawa ni madalali wenye mitaji na wanafuata misingi

Hapa ugomvi wetu ni wa madalali wa kibongo bongo wale wanao kaa kwenye mgundi..unakuta kwenye maduka mbali mbali ya chakula, masoko makubwa ya mazao ,nguo, vifaa vya ujenzi, dawa za binadamu,vifaa vya umeme then wanakuletea udalali kwa kukubambika Bei za juu..

Hawa madalali ndio wanao ibia wakulima wa mazao kwa kutaka 50%50% na mkulima

Dalali wa aina hii ndio matapeli na wezi.
Kosa sio la madalali, ni kosa la serikali kushindwa kusimamia hawa watu, kuwapa sheria na miongozo na kuwasimamia.
 
Ili tuukate huu mnyororo wa kulipa mwezi mmoja. Tumfutilie mbali Dalali tapeli.

App hiyo itatoa sharti mtu anayetangaza property hakuna kuchaji pesa ya mwezi.

Asipofanya hivyo hiyo app itajaa madalali wale wale.

Ni wazo zuri
Ni kweli. Au njia nyingine ni wewe mwenye app kuweka matangazo yako mwenyewe (unaingia mtaani na kutafuta nyumba zinazopangishwa, kuhakiki na kuzipost na pia kuwa- encourage wenye nyumba kutumia huduma yako. Unakuwa na namba za simu na mtu akitaka kupangisha nyumba yake au kuuza, anakuita unapiga picha kwa utaalam na kupost. Mwanzoni itakuwa ngumu lakini ukishakuwa na wateja wengi mambo yatakuwa mazuri kwani unaweza kuweka na matangazo mengine au kupanua huduma na kuuza vitu vingine.
 
Wakuu katika Kazi ambazo zinalipa ni pamoja na udalali.

Hii inakuhitaji uwe at least unajua kiingereza , mwandiko mzuri na kuwa na ushawishi wa kuongea vyema.

Kiufupi njia ambazo natumia kufanya hii biashara ni kuwa na smartphone nzuri , laptop kali .

Kisha naaanza kutangaza bidhaa mbalimbali .

Sasa wakati naanza hii Kazi sikutegemea kuwa itanipa pesa.

Mimi bidhaa ninazouza ni slow moving Ila siku nikitusua natusua kweli kweli.

Wiki iliingia simu ya Kazi , ghafla nikaambiwa nipokee na kufanya mazungumzo .

Sasa tayari nimeshapiga 6 Million

Hapa nilipo najua hii million sita ni mshahara wa mtu wa mwaka mzima .

Leo huko kijijini nimewapa jumla laki nane nimewanunulia gas na jiko lake.

Nimewavutia Maji.

Wakuu tuendelee kupambania
Yaani kupata mil 6 kwenye udalali umeanzisha thread,

Toa mbinu watu wanaopenda waingie huko

Udalali Mungu akibariki kupata mil 5 10 ,30 utazipata
 
Back
Top Bottom