Kazi ya udalali inalipa sana kiukweli siwezi kuiacha hii kazi

Kazi ya udalali inalipa sana kiukweli siwezi kuiacha hii kazi

Mwanzoni nilikiwa siwezi kutofautisha maana ya dalali na Tapeli.. Ni kwasababu ya namna madalali wanavyofanya kazi zao.

Mimi kwenye biashara yako ukiwepo dalali nakuhakikishia hupati hata mia yangu.

Nafika kwenye duka namuona mwenye duka(muuzaji) alafu kenge ya dalali inanipigia kelele loo Hata unibembeleze vipi ushanikosa..

Udalali wa ki bongo bongo Sio kazi ni UTAPELI
Ukitaka kupanga nyumba unafanyaje mkuu😅😅 maana utakua mkaksi sana
 
Mwanzoni nilikiwa siwezi kutofautisha maana ya dalali na Tapeli.. Ni kwasababu ya namna madalali wanavyofanya kazi zao.

Mimi kwenye biashara yako ukiwepo dalali nakuhakikishia hupati hata mia yangu.

Nafika kwenye duka namuona mwenye duka(muuzaji) alafu kenge ya dalali inanipigia kelele loo Hata unibembeleze vipi ushanikosa..

Udalali wa ki bongo bongo Sio kazi ni UTAPELI
Ukitaka kupanga nyumba unafanyaje mkuu😅😅 maana itakua mkaksi sana
 
Hapana Mkuu , huo ni mnyororo wa thamani .
Bora ule hata 2% Sasa kwa tamaa za wabongo unakuta anaweka profit ya 100% Bei ya kitu Cha 5,000 yeye kwa tamaa atakwambia @ 20,000

Si utapeli huo ni Nini hapo madalali wa bongo wengi ni wezi na matapeli
 
Wanaumiza sana wakulima, ukipeleka mzigo sokoni bila dalali huwezi kuuza na wao ndio wanapanga bei
Mkulima ka henya mbolea,palizi,kulima alafu kizembe zembe middle man anajipatia 50%50% na mkulima

SERIKALI alimulike hili Jambo maana wakulima ndio wanaumia
 
Mtu anajisifu kazi ya utapeli pumbavu.

📌Mtafute kazi za kueleweka acheni uvivu wezi nyie.
 
Bora ule hata 2% Sasa kwa tamaa za wabongo unakuta anaweka profit ya 100% Bei ya kitu Cha 5,000 yeye kwa tamaa atakwambia @ 20,000

Si utapeli huo ni Nini hapo madalali wa bongo wengi ni wezi na matapeli
📌📌📌Hayo majizi ndio maana hayana mafanikio zaidi ya kuvaa mabati kwenye vidole na minyororo shingoni,plus kufuga vitambi vya bia na supu za kongoro.
 
Mtu ambaye anaweza kuwa na uwezo wa kukusanya taarifa na kuwapelekea wahusika na hao wahusika wakaamua kuzifanyia Kazi kwa usahihi pasipo kulenga kumuumiza mnunuaji au muuzaji kisha wewe ukafaidika na ile asilimia chache hapo unakuwa umefanya Kazi vizuri.

Ila watu wanaojiita madalali kwa bongo wengi hawajui Namna ya kuifanya hii Kazi zaidi ya upigaji .


Wachache Kama Silent ocean , Hassanary sound , Dalali Mwanamke wanapata Sana pesa kwakuwa hii kwao ni Kazi Ambayo wanafanya kwa kufata utaratibu maalumu.



Mimi ninao wakubali ni wale ambao hufanya Kazi ya kuuza bidhaa ya mtu na wao kulipwa aslimia kadhaa na sio kitu kinauzwa mil 4 wewe unauza mil 5 yaani. Unapata faida kumzidi mwenye Mali na hapa ndo utapeli uzaliwa.
 
Dalali ni kupe dalali ni shetani dalali nawachukia Sanaa.

Sipendagi ma middle man👞

Yaan anagawana na mkulima 50% 50% inauma Sanaa

Nenda kwenye kuuza au kupangisha nyumba anataka Kodi ya mwezi Bure bureee 🧐

Wapuuzi Sana na muda wote wanatafuna tafuna Kama mbuzi...( Washirikina Sana)
Dalali wa Tanzania ni majambazi. Ila jamii inawalea ndiyo maana.
 
Mtu ambaye anaweza kuwa na uwezo wa kukusanya taarifa na kuwapelekea wahusika na hao wahusika wakaamua kuzifanyia Kazi kwa usahihi pasipo kulenga kumuumiza mnunuaji au muuzaji kisha wewe ukafaidika na ile asilimia chache hapo unakuwa umefanya Kazi vizuri.

Ila watu wanaojiita madalali kwa bongo wengi hawajui Namna ya kuifanya hii Kazi zaidi ya upigaji .


Wachache Kama Silent ocean , Hassanary sound , Dalali Mwanamke wanapata Sana pesa kwakuwa hii kwao ni Kazi Ambayo wanafanya kwa kufata utaratibu maalumu.



Mimi ninao wakubali ni wale ambao hufanya Kazi ya kuuza bidhaa ya mtu na wao kulipwa aslimia kadhaa na sio kitu kinauzwa mil 4 wewe unauza mil 5 yaani. Unapata faida kumzidi mwenye Mali na hapa ndo utapeli uzaliwa.
Hii nchi watu wanamtindio wa ubongo kila mwizi anajiita dalali.No professionalism in anything,mambo yote paranganyika🙌🙌🙌

Na huwezi kuona wahusika wakilikemea hili mpaka wapigwe na vitu vizito kutoka kwa hawa majizi(madalali).
 
Hii nchi watu wanamtindio wa ubongo kila mwizi anajiita dalali.No professionalism in anything,mambo yote paranganyika🙌🙌🙌

Na huwezi kuona wahusika wakilikemea hili mpaka wapigwe na vitu vizito kutoka kwa hawa majizi(madalali).



Madalali wakubwa ni wanasiasa ndo wameanzisha hii Kazi na wao wetajirikia humo.

Mfano issue ya Bandari Dp world imesimamiwa na madalali mtu kati hadi kupewa dp world
 
Bora ule hata 2% Sasa kwa tamaa za wabongo unakuta anaweka profit ya 100% Bei ya kitu Cha 5,000 yeye kwa tamaa atakwambia @ 20,000

Si utapeli huo ni Nini hapo madalali wa bongo wengi ni wezi na matapeli
Wala sio utapeli, kosa ni serikali kutoweka regulations. Unapoagiza gari unamhitaji dalali kuanzia Japan hadi linafika Dar, ukitaka nyumba, kiwanja ni kazi ya dalali, ukihitaji kitu mtandaoni, utaingia jiji letu, kupatana nk hao wote ni watu kati.
 
Back
Top Bottom