Kelele za Tundu Lissu akiwa Ubelgiji ni sawa na fimbo ya mbali isiyoweza kuua nyoka. Arudi bongoland kuweka mbinyo wa kisiasa

Nilikuwa namkubali kwa kujenga sana hoja ndani ya bungeee

changamoto kila zama na mambo yakeee / siasa ni zaidi ya nijuavyo

angepunguza jazba na hasira vingemsaidia sanaa
 
..sio jambo la ajabu kwa WANAHARAKATI kulazimika kuhama nchi zao kwa muda.

..Tunao viongozi wengi wa Afrika ambao wamepata kuishi uhamishoni, kwa mfano Thabo Mbeki, Jacob Zuma, Robert Mugabe, Sam Nujoma, Emerson Mnangagwa, na wengine.
Lisu mbaya wake alishakufa! Sasa kinachomkalisha ubelgiji ni nin?
 
Lisu mbaya wake alishakufa! Sasa kinachomkalisha ubelgiji ni nin?
Wapo wengi walioyaweka Maisha yake rehani,waliombambikia vyesi vyesi vya uchochezi, na wale waogopao mwangwi wa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, na wale wasio heshimu haki za msingi za raia pamoja na uzingativu wa sheria na katiba yetu. Hao wote wanamwogopa kama moto.
 
Ajabu fimbo hiyo imekubutua hadi umekuja kuanzisha uzi baada ya kusikia maumivu yake, isingekuwa na maumivu sidhani kama ungeanzisha uzi
 
Ajabu fimbo hiyo imekubutua hadi umekuja kuanzisha uzi baada ya kusikia maumivu yake, isingekuwa na maumivu sidhani kama ungeanzisha uzi
Lack of education
 
Lisu ni mwansheria nguri na msomi kweri kweri?

Sasa anaogopaje vikesi kesi?
 
Harakati huzaa matunda ikiwa tu zinafanyikia home ground. Ndio maana hata Anc walikuwa wanarudi kufanya mashambulizi nyumbani.

..baadhi wanatakiwa wawe ndani, na wengine nje.

..jambo lingine serikali iongeze uhuru wa watu kufanya siasa.

..nadhani kukiwa na uhuru wanaharakati hawatahitajika. Hutasikia Mtz anapiga makelele akiwa nje ya nchi.
 
Atakuja uchaguzi ukikaribia maana ni nyoka msakatonge.
 
Kwa hiyo atafia ughaibuni?

..haya mambo ya vifo watu wanaya kompliket sana.

..wewe unauliza kama atafia ughaibuni badala ya kwao Tanzania.

..usishangae kuna mwingine anauliza kama atafia mjini / Dsm badala ya kwao Ikungi.

..kila mtu atakufa mahali na kwa namna atakayopangiwa.
 
Wewe ni CCM lialia, tunaweza kuweka hapa post zako zaidi ya laki. Au unataka tuanze kuzibandika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…