Kelele za Tundu Lissu akiwa Ubelgiji ni sawa na fimbo ya mbali isiyoweza kuua nyoka. Arudi bongoland kuweka mbinyo wa kisiasa

Kelele za Tundu Lissu akiwa Ubelgiji ni sawa na fimbo ya mbali isiyoweza kuua nyoka. Arudi bongoland kuweka mbinyo wa kisiasa

Fimbo ya mbali haiwezi kuua nyoka hata kidogo. Lazima iwe karibu na kumfikia nyoka na kisha kumuua.

Lissu yupo Brussel anakula bata kwa mrija, lakini ana malalamiko mengi juu ya mambo yanayotamaraki hapa Tanzania.

Analalamika juu ya kutokuwa na katiba inayokidhi mahitaji ya watanzania. Hivyo anataka Tanzania wapate katiba mpya. Sasa akilalama akiwa Brusels ndio ujumbe utafika vizuri? No anatakiwa aje hapa bongo.

Analalamika juu ya utawala usiofuata sheria na kubambikia watu kesi. Mfano anadai kuwa Mbowe amebambikiwa tuhuma za ugaidi. Lissu aje Tanzania na awasaidie watu kama Mbowe ambao wanaoenewa. Maana msaada wake ni mahakamani.

Kwa ujumla Lissu ana malalamiko mengi ambayo kimsingi hawezi kuyafikisha akiwa Brusele anakula kuku kwa mrija huku anasikiliza rhumba la Kikongo.

N.B . Idugunde ni member wa Jf anayeishi Igunga akifanya kilimo cha Mpunga. Sio mwananchama wa chama chochote kile.
Sasa Sasa fimbo ya mbali yakuwashia nini,? Unawashwa na vitu ambavyo havikuhusu
 
Hata alipoondoka Tz aliondoka kwa ulinzi mkali.
ulinzi wadunia sio wenu local huo ,analindwa MTU kwamabunduk nawatu wenye surambaya lakini keahokutwa unasikia MTU kadondoka ,aibu

Jamaaa anafanya vikao balaa Sweden ,nawengine wanavosema tunatoka ni matokeo ya vikao vyawatu mbelembele huko

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Fimbo ya mbali haiwezi kuua nyoka hata kidogo. Lazima iwe karibu na kumfikia nyoka na kisha kumuua.

Lissu yupo Brussel anakula bata kwa mrija, lakini ana malalamiko mengi juu ya mambo yanayotamaraki hapa Tanzania.

Analalamika juu ya kutokuwa na katiba inayokidhi mahitaji ya watanzania. Hivyo anataka Tanzania wapate katiba mpya. Sasa akilalama akiwa Brusels ndio ujumbe utafika vizuri? No anatakiwa aje hapa bongo.

Analalamika juu ya utawala usiofuata sheria na kubambikia watu kesi. Mfano anadai kuwa Mbowe amebambikiwa tuhuma za ugaidi. Lissu aje Tanzania na awasaidie watu kama Mbowe ambao wanaoenewa. Maana msaada wake ni mahakamani.

Kwa ujumla Lissu ana malalamiko mengi ambayo kimsingi hawezi kuyafikisha akiwa Brusele anakula kuku kwa mrija huku anasikiliza rhumba la Kikongo.

N.B . Idugunde ni member wa Jf anayeishi Igunga akifanya kilimo cha Mpunga. Sio mwananchama wa chama chochote kile.
kama mnateseka na mnaumia kwa meseji zake toka majuu basi Lisu kambana nyoka na karibuni atamuua
 
Fimbo ya mbali haiwezi kuua nyoka hata kidogo. Lazima iwe karibu na kumfikia nyoka na kisha kumuua.

Lissu yupo Brussel anakula bata kwa mrija, lakini ana malalamiko mengi juu ya mambo yanayotamaraki hapa Tanzania.

Analalamika juu ya kutokuwa na katiba inayokidhi mahitaji ya watanzania. Hivyo anataka Tanzania wapate katiba mpya. Sasa akilalama akiwa Brusels ndio ujumbe utafika vizuri? No anatakiwa aje hapa bongo.

Analalamika juu ya utawala usiofuata sheria na kubambikia watu kesi. Mfano anadai kuwa Mbowe amebambikiwa tuhuma za ugaidi. Lissu aje Tanzania na awasaidie watu kama Mbowe ambao wanaoenewa. Maana msaada wake ni mahakamani.

Kwa ujumla Lissu ana malalamiko mengi ambayo kimsingi hawezi kuyafikisha akiwa Brusele anakula kuku kwa mrija huku anasikiliza rhumba la Kikongo.

N.B . Idugunde ni member wa Jf anayeishi Igunga akifanya kilimo cha Mpunga. Sio mwananchama wa chama chochote kile.

Hakuna umbali siku hizi! mawasiliano ya siku hizi umbali si lolote hasa kama hata mikutano hairuhusiwi. Hakuna tofauti hata moja tena Lissu wangeshamtengenezea kesi pamoja na Mbowe
 
Back
Top Bottom