kwahiyo wewe umekuwa refa? PumbavuMchezo wa wa mashindano ya Azam mechi kati ya Yanga vs Geita gold imeonekana Kelvin Yondani kumkanyaga makusudi Fiston Mayele asiyekuwa na mpira. Hii haina tofauti na walichokifanya wachezaji wengine kama Mukoko na wengine waliowahi kufanya hivyo.
Angalia hapa
Nimeangalia hiyo video sijana mahali mayele amekanyagwa ila nimeona mayele akivuta mguu yondani
Mmmmmh
Niambie hilo tukio lipo dakika ya ngapi kwenye hiyo video na mimi nakuwekea hapa hiyo clip ya mayele akimvuta mguu yondaniHujaangalia vizuri au umeamua usiione hiyo sehemu
Hapo mayele ndio mwenye makosa,alitaka kumvuta mguu Yondani amuangusheMchezo wa wa mashindano ya Azam mechi kati ya Yanga vs Geita gold imeonekana Kelvin Yondani kumkanyaga makusudi Fiston Mayele asiyekuwa na mpira. Hii haina tofauti na walichokifanya wachezaji wengine kama Mukoko na wengine waliowahi kufanya hivyo.
Angalia hapa
No doubt this is unsporting behaviourNiambie hilo tukio lipo dakika ya ngapi kwenye hiyo video na mimi nakuwekea hapa hiyo clip ya mayele akimvuta mguu yondani
View attachment 2183664
in that case who is responsible?No doubt this is unsporting behaviour
Nipe reference ya utovu wa nidhani alioufanyaYondani