uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Najiuliza kama sisi tunaweza kuwaamini wahindi au wazungu wanaoishi hapa nchini na afrika kwa ujumla waongoze nchi kwa mustakabali wa maendeleo ya nchi zetu
Waingereza wamempa uongozi mkubwa sana mnigeria na kabla ya hapo walimpa muhindi bila hofu Cha msingi walijali namna anavyoweza kuwavusha kwenye nyakati ngumu
Waingereza wamempa uongozi mkubwa sana mnigeria na kabla ya hapo walimpa muhindi bila hofu Cha msingi walijali namna anavyoweza kuwavusha kwenye nyakati ngumu