Kemi Badenock Mdada wa Kiingereza ambaye Wazazi wake walitokea Nigeria aweka Historia kuwa Mwafrika wa Kwanza Kuongoza Chama cha Conservatives UK

Huyo siyo Mnigeria wala hawajawahi kuwa Mnigeria, ni Muingereza, amezaliwa Uingereza, kaishi, kasoma na kulelewa uingereza, ameolewa na Mzugu muingereza.
Huyo ni Muingereza - mweusi, siyo Mwafrika.

Watu weusi wanapofanikiwa nchi za watu mnakimbilia kuwafunika Uafrika na kuanza kujinasibu kupitia wao ilihali uafrika wao siyo uliowasaidia bali mifumo ya nchi hizo.

Wakitoka Waafrika walioishi nchi za Ulaya na Marekani kuja huko Afrika kukamata fursa na hata uongozi wa juu, huwa mnawakana si wenzenu na mnawaita vibaraka wa mabeberu.

Mayweather alishawarekebisheni kwamba, yeye siku zote atabaki kuwa black-american, siyo african-american.

Weusi siyo uafrika wala baba au babu siyo wanao dominate asili na mifumo ya maisha ya mtu, mtu ni matokeo ya culture anayoiishi, siyo culture ya mababa au babu zake ambayo yeye hajawahi kuiishi.
 
Mwingereza huyo ..
Huyo hata anawajua wanigeria bado si ajabu atawawekea na sunction ๐Ÿ˜„

Niliwahi kusoma na mabint wa kinigeria walikuwa hata wale boy friend zao ni wale pink nose, we huoni huyo mme wake ni nani? Kwanini asiwe mnigeria mwenzie.
 
Ninyi hiyo Dini yenu ya Kiislamu ni Chaos tupu na uongo mwingi

Mara mnasema Manabii wote kasoro Mohamed ni Wayahudi mara muanze kuwachukia.

Nilichogundua ni WIVU tu nothing else.
Qur'an mbona inakataa kabisa kuwa Ibrahim hakuwa Myahudi au Mkristo, Qur'an iliwauliza swali wakristo na wayahudi ni hivi; Mnasema Ibrahim ni Myahudi au Mkristo. Leteni dalili zenu. Hamna mtaishia kuimba kwaya tu.

Tazama Qur'an inavyo elezea ukweli hapo juhusu dini ya Ibrahim.


Qur'an

verses 3:65 to 3:68

Disputing with the Jews and Christians About the Religion of Ibrahim
Allah censures the Jews and Christians for their dispute with Muslims over Ibrahim Al-Khalil and the claim each group made that he was one of them. Muhammad bin Ishaq bin Yasar reported that Ibn `Abbas said, "The Christians of Najran and Jewish rabbis gathered before the Messenger of Allah ๏ทบ and disputed in front of him. The rabbis said, `Ibrahim was certainly Jewish.' The Christians said, `Certainly, Ibrahim was Christian.' So Allah sent down,

ูŠุฃูŽู‡ู’ู„ูŽ ุงู„ู’ูƒูุชูŽู€ุจู ู„ูู…ูŽ ุชูุญูŽุขุฌู‘ููˆู†ูŽ ููู‰ ุฅูุจู’ุฑูŽู‡ููŠู…ูŽ

(O people of the Scripture (Jews and Christians)! Why do you dispute about Ibrahim,) meaning, `How is it that you, Jews, claim that Ibrahim was Jew, although he lived before Allah sent down the Tawrah to Musa How is it that you, Christians, claim that Ibrahim was Christian, although Christianity came after his time" This is why Allah said,

ุฃูŽููŽู„ุงูŽ ุชูŽุนู’ู‚ูู„ููˆู†ูŽ

(Have you then no sense)

Allah then said,

ู‡ุฃูŽู†ุชูู…ู’ ู‡ูŽู€ุคูู„ุงุกู ุญูŽู€ุฌูŽุฌู’ุชูู…ู’ ูููŠู…ูŽุง ู„ูŽูƒูู… ุจูู‡ู ุนูู„ู…ูŒ ููŽู„ูู…ูŽ ุชูุญูŽุขุฌู‘ููˆู†ูŽ ูููŠู…ูŽุง ู„ูŽูŠู’ุณูŽ ู„ูŽูƒูู…ู’ ุจูู‡ู ุนูู„ู’ู…ูŒ

(Verily, you are those who have disputed about that of which you have knowledge. Why do you then dispute concerning that of which you have no knowledge)

This Ayah criticizes those who argue and dispute without knowledge, just as the Jews and Christians did concerning Ibrahim. Had they disputed about their religions, which they had knowledge of, and about the Law that was legislated for them until Muhammad ๏ทบ was sent, it would have been better for them. Rather, they disputed about what they had no knowledge of, so Allah criticized them for this behavior. Allah commanded them to refer what they have no knowledge of to He Who knows the seen and unseen matters and Who knows the true reality of all things. This is why Allah said,

ูˆูŽุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ูŠูŽุนู’ู„ูŽู…ู ูˆูŽุฃูŽู†ุชูู…ู’ ู„ุงูŽ ุชูŽุนู’ู„ูŽู…ููˆู†ูŽ

(It is Allah Who knows, and you know not.)

Allah said,


ู…ูŽุง ูƒูŽุงู†ูŽ ุฅูุจู’ุฑูŽุงู‡ููŠู…ู ูŠูŽู‡ููˆุฏููŠู‘ุงู‹ ูˆูŽู„ุงูŽ ู†ูŽุตู’ุฑูŽุงู†ููŠู‘ุงู‹ ูˆูŽู„ูŽูƒูู† ูƒูŽุงู†ูŽ ุญูŽู†ููŠูุงู‹ ู…ู‘ูุณู’ู„ูู…ุงู‹ ูˆูŽู…ูŽุง ูƒูŽุงู†ูŽ ู…ูู†ูŽ ุงู„ู’ู…ูุดู’ุฑููƒููŠู†ูŽ

3.67. Abraham was not a Jew, nor a Christian; but he was one pure of faith and Muslim (who submitted to God with a sound heart). He was never of those who associate partners with God.
 
Quruani imetungwa karne ya saba mambo ya 3000yrs ago imeyakopi na kuongezea Confusion.
 
Dada ametisha sana, kila la kheri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ