Sifa ya kuchagua katibu mkuu wa jumuiya kama UVCCM ni ipi?
Mhamasishaji wa mpiga siasa za propaganda mzuri au vip, hii inajumuisha na vyama vingine vya siasa Tanzaniania.
Nadhani, taasisi ya UVCCM mtendaji wao mkuu (Katibu) anatakiwa awe ni mtu mwenye akili sio tu ya propaganda, ila awe na creative na innovative brain ili kushirikiana na serikali kutengeneza fursa hasa ajira kwa vijana wakiwamo kutoka CCM.
Tanzania imezungukwa na nchi 8 (Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Congo, Zambia, Malawi na Mozambique); Barahi ya hindi kuna visiwa kama Seychelles, Madagascar, Comoro na Mauritius.
Kwa competitive advantage ya Tanzania inaweza kuuza ni kwenye soko la hizi nchi ambacho kikizalishwa Tanzania kinalifikia soko na tunavutia forex kuja Tz wakati huo vijana wanalio kwenye mchakato wa hilo suluhisho wakiwa na ajira.
Israel is a tiny country, wao competitive advantage yao imekuwa kuuza solutions za diverse sector ikiwamo kilimo, cyber; Sasa Tanzania hata korosho tunayozalisha, UVCCM katibu alitakuwa kuwa creative dept, sio vibaya vijana waka-own industries, hata za kuzalisha mafuta ya kula kwa kutumia corn harvest na kuuza GCC soko ambalo lina fedha na purchasing power ya kununua top quality products ikiwamo corn cooking oil.
UVCCM enzi za Mwl. Nyerere iliwekeza kwenye real estate, ndio maana wana majengo na wamepangisha.
CCM ya leo Mkiti akiwa Mhe. Samia ambae kajinasibu kufungua nchi, wao wanawaza nini kwenye kutengeneza solutions za ndani na nje ya Tanzania ili kutengeneza "mchuzi"?
Nadhani yule kijana alieteuliwa kushughulikia uchumi kwa kuwa ana jina kubwa, sio right choice kwao; ana fedha na amepata tenda kubwa kuuza jezi za simba, ila kwa UVCCM, wanatakiwa kuwa na brains to solve a lot of problems around and increase value of diverse goods and services which will inturn create wealth. Ila najua kwa kuwa tunapenda sana hiena hiena na propaganda imeonekana ndio mpango mzima, huyu nae anaweza akawa hana tofauti na yule alietoka.
Kila la heri UVCCM na katibu mpya wa sasa.
Amani iwe kwenu.
F