Bado Ina changamoto nyingi, dada asie na kazi wala biashara, lakini ndie aliezaa na kulea watoto na familia yote, hana mchango wowote?, Kama anao ni sh ngapi kwa mwaka
Mimi kama mwanamke nimefurahia maamuzi haya. Natamani ifike na hapa. Watu wamekalia kuwaza mali hawajaguja jasho hata chembe. Wengine huishia kuua ili warithi. Ingekuja na hapa tu. Tumejawa dana na ubinafsi. Mtu kwao wanachechemea lakini anatka fanya kama fursa kwao. Watu tutafute vyetu kwa jasho aisee...