Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wewe huungi mkono mapenzi ya jinsia moja?Haya mambo ya ushoga huwa naona mnapenda sana kuyafatilia na kutaja taja, mko too obsessed, halafu wengi mnayafanya sana ukanda huo wa kuanzia Tanga, Dar hadi Pemba, huko ambapo dini yenu imetamalaki.
Ni vizuri, kwahiyo wakristo ndio wanashiriki mapenzi ya jinsia mojaNamshukuru MUNGU kuniumba muislam
Wasalimie Mombasa.Namshukuru MUNGU kuniumba muislam
Mtazoea tuu, ni swala la mudaUs sound like ulwaji mavi
USSR
Juma ni jina tu,maana ya ya Juma ni week,ni jina la mtu yoyote.Kwenye uislamu,hakuna ndoa ya jinsia moja.Na uislamu,ukienda kinyume na makatazo yake,automatically anatoka katika uislamu.Hivi Juma Lokole ni Mkristo au mnyazi?
Hiyo mikoa umetaja,haikai waislamu watupu,wapo wa dini nyingine na wasiokuwa na dini.Haya mambo ya ushoga huwa naona mnapenda sana kuyafatilia na kutaja taja, mko too obsessed, halafu wengi mnayafanya sana ukanda huo wa kuanzia Tanga, Dar hadi Pemba, huko ambapo dini yenu imetamalaki.
Wazungu,watalii wanaoingia sehu mbalimbali duniani,ndio michezo yao hiyo.Ni vizuri, kwahiyo wakristo ndio wanashiriki mapenzi ya jinsia moja
Huyo nyang'au ni mmoja wa hao watu😂😂😂Bwana MK254 naona unafurahia hili tamko
Ah lilikuwa suala la muda tuu. Ukiwa huna hela dunia hii utafanya jinsi shetani anataka tuuBBC Swahili wanalipoti kuwa mahakama ya juu nchi kenya imeanza vyema kuruhusu wapenzi wa jinsia moja kuwa na haki ya kujumuika hii ni ishara sasa kenya inaelekea kule walipo waliokaaga mwanzo kisha wakakubaliana na hali .
Hili ni tukio baya sana kwa ukanda wetu ambapo ile nguvu moja ya kiafrika ya kukutaa ushoga,usagaji na ndoa za jinsia moja hapa mwenzetu ametusaliti katika mapambano.
Naiomba serikali ya Tanzania usikubali kuingia mkenge kwenye hili ikaze uzi ,izidi kukaza uzi labda sisi na waganda bado tutatoboa maana ndio wanaume halisi tuliobaki
USSR
Duh! Si mchezo. Sikuamini.BBC Swahili wanalipoti kuwa mahakama ya juu nchi kenya imeanza vyema kuruhusu wapenzi wa jinsia moja kuwa na haki ya kujumuika hii ni ishara sasa kenya inaelekea kule walipo waliokaaga mwanzo kisha wakakubaliana na hali .
Hili ni tukio baya sana kwa ukanda wetu ambapo ile nguvu moja ya kiafrika ya kukutaa ushoga,usagaji na ndoa za jinsia moja hapa mwenzetu ametusaliti katika mapambano.
Naiomba serikali ya Tanzania usikubali kuingia mkenge kwenye hili ikaze uzi ,izidi kukaza uzi labda sisi na waganda bado tutatoboa maana ndio wanaume halisi tuliobaki
USSR
Haha anafurahia harufu chafuBwana MK254 naona unafurahia hili tamko
Hiyo mikoa umetaja,haikai waislamu watupu,wapo wa dini nyingine na wasiokuwa na dini.