jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Namshukuru MUNGU kuniumba muislam
Mbona huku pwani waislamu ndio wanaongoza kutindua mitaro,wewe muislamu wa wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namshukuru MUNGU kuniumba muislam
Naona unajikakamua lakini ndio ishapenyaona vitu mnavyofundisha watoto huko Pwani https://www.jamiiforums.com/data/video/5216/5216350-a5d6e6850d1b0e7854e3ee2d342f61fa.mp4
CC: MK254BBC Swahili wanalipoti kuwa mahakama ya juu nchi kenya imeanza vyema kuruhusu wapenzi wa jinsia moja kuwa na haki ya kujumuika hii ni ishara sasa kenya inaelekea kule walipo waliokaaga mwanzo kisha wakakubaliana na hali .
Hili ni tukio baya sana kwa ukanda wetu ambapo ile nguvu moja ya kiafrika ya kukutaa ushoga,usagaji na ndoa za jinsia moja hapa mwenzetu ametusaliti katika mapambano.
Naiomba serikali ya Tanzania usikubali kuingia mkenge kwenye hili ikaze uzi ,izidi kukaza uzi labda sisi na waganda bado tutatoboa maana ndio wanaume halisi tuliobaki
USSR
Na wewe unakubali mungu kamuumba..? Pili mungu kamuumba muislamu ?Wewe ndio Juha…kasema anamshukuru Mungu kumuumba Muislam, wapi kataja dini nyingine? acheni kujistukia
Yani humu kwanini mnapenda sana kuingilia imani za watuNa wewe unakubali mungu kamuumba..? Pili mungu kamuumba muislamu ?
Kweli waache kujishtukia...maana wangejua mnyaz wanavyoliwa Kwa mpalange wangetulia tuWewe ndio Juha…kasema anamshukuru Mungu kumuumba Muislam, wapi kataja dini nyingine? acheni kujistukia
Mama yangu tena..Yani humu kwanini mnapenda sana kuingilia imani za watu
Basi tosheka mama yako ndio kamuumba
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Akikujibu unitagHivi Juma Lokole ni Mkristo au mnyazi?
Namshukuru MUNGU kuniumba muislam
Sawa ila achana na imani za watu kuku weweMama yangu tena..
Shule ulisomea ujinga..?
Mambo ya mungu Ni mambo ya watu wajinga..
huna akili.Namshukuru MUNGU kuniumba muislam
Astaaghfirullah.Upande upi unaoongoza kwa ushoga ?Kwani hiyo mahakama ni ya wakristu,acha ujuha,Tena upande huo ndio mnaongoza kwa ugasho
Waarabu ndivyo wanaongoza Kwa ushoga na Ufiraji na ndio chanzo cha waislamNamshukuru MUNGU kuniumba muislam
Lazima utaje hiyo kanda wakati nyie nchi nzima mnafanya na waasisi wa ukristo wenu ndo wanasapot ...kenge kabisa usirudie kuchafua maeneo ya watu ...kama unao ushahidi taja hao wamashogo wanaotokea izo sehemu au ulioona wapi vitendo ivyo vikawa vinaruhusiwa kanda iyo?Haya mambo ya ushoga huwa naona mnapenda sana kuyafatilia na kutaja taja, mko too obsessed, halafu wengi mnayafanya sana ukanda huo wa kuanzia Tanga, Dar hadi Pemba, huko ambapo dini yenu imetamalaki.
Wakati uko bussy na Russia huku kwenu wadogo zako wa kiume wanaolewa hata wew utakuja kuolewa...kumbuka yule mwanahatakati aliyekufa juzi anatokea kanda ya pwani sio ?Haya mambo ya ushoga huwa naona mnapenda sana kuyafatilia na kutaja taja, mko too obsessed, halafu wengi mnayafanya sana ukanda huo wa kuanzia Tanga, Dar hadi Pemba, huko ambapo dini yenu imetamalaki.
Mashoga wengi ni wa imani yako, ukibisha fanya utafitiNamshukuru MUNGU kuniumba muislam
Kwani lina shida gani? Kibaya ni ku- impose something on somebody against her or his will! Morally is wrong, but legally is right! Tofautisha kati ya moral obligation na legal obligation!Alafu raia wa Kenya walivyo hawana akili watalifurahia hili
Lazima utaje hiyo kanda wakati nyie nchi nzima mnafanya na waasisi wa ukristo wenu ndo wanasapot ...kenge kabisa usirudie kuchafua maeneo ya watu ...kama unao ushahidi taja hao wamashogo wanaotokea izo sehemu au ulioona wapi vitendo ivyo vikawa vinaruhusiwa kanda iyo?