Kenya imetoa ruhusa ya wapenzi wa jinsia moja kujumuika

Kenya imetoa ruhusa ya wapenzi wa jinsia moja kujumuika

Kwani lina shida gani? Kibaya ni ku- impose something on somebody against her or his will! Morally is wrong, but legally is right! Tofautisha kati ya moral obligation na legal obligation!
Tatizo letu waafrika ni kadamnasi, lkn haya mambo yanafanyika tena sana huko kwenye pembe nne za vyumba vyetu! Shida ni kuwa sasa inaanza kuwa public!

(sorry for this, it is very nasty and quite immoral: kuna rafiki yangu mmoja aliniambia kuwa wazee wa kimila/wakuu wa jamii hiyo ya pwani, alioa pwani wakamwambia hata kule kwingine unaonja .......)

Niwekee hukumu hiyo kama unayo. ...KLII sijui kama ipo
Una hakika gani mbona unaleta tetesi ?..umeona kwamba usapot ujinga kwa kutokea mifano kanda fulani kama wewe na ukoo wako huko kwenu mnaona ni haki why are convincing the rest ...Eti sorry ni haki una akili timamu kweli?

Unachafua eti Mila za kipwani sema ni wapi? Achanga na porojo na chuki unafundishwa kanisani kwenu.
 
Una hakika gani mbona unaleta tetesi ?..umeona kwamba usapot ujinga kwa kutokea mifano kanda fulani kama wewe na ukoo wako huko kwenu mnaona ni haki why are convincing the rest ...Eti sorry ni haki una akili timamu kweli?

Unachafua eti Mila za kipwani sema ni wapi? Achanga na porojo na chuki unafundishwa kanisani kwenu.
KAMA UNATOKA PWANI POLE! PWANI NI KUBWA, KENYA, MOZAMBIQUE, SOUTH AFRICA ETC ETC SASA WEWE UNAHISI PWANI GANI? DINI YANGU HUIJUI, SIYO KANISANI WALA MSIKITINI, NINA DINI YANGU.
 
Lazima utaje hiyo kanda wakati nyie nchi nzima mnafanya na waasisi wa ukristo wenu ndo wanasapot ...kenge kabisa usirudie kuchafua maeneo ya watu ...kama unao ushahidi taja hao wamashogo wanaotokea izo sehemu au ulioona wapi vitendo ivyo vikawa vinaruhusiwa kanda iyo?
Wewe mpuuzi kumbe, Huyu kaleta habari wewe mbona inakuuma sana na matusi? Rekebisha tabia hiyo. Definitely wewe utakuwa wa dini ile yangu! hasira za nini?
 
KAMA UNATOKA PWANI POLE! PWANI NI KUBWA NA DINI YANGU HUIJUI, SIYO KANISANI.
Unaropoko tafuta wenye akili ndogo wanaolishwa nyasi na wachungaji ila kama unataka kutolea mifano ya mashogo your clan is the best choice na sio kuleta chuki ..eti pwani danganya wenzio na huko kanisani ..

Unaonekana ni wale wajinga eti unakuja na mifano ya kutunga uliona wapi ? Sioni points zako zaidi ya chuki na porojo
 
Unaropoko tafuta wenye akili ndogo wanaolishwa nyasi na wachungaji ila kama unataka kutolea mifano ya mashogo your clan is the best choice na sio kuleta chuki ..eti pwani danganya wenzio na huko kanisani ..

Unaonekana ni wale wajinga eti unakuja na mifano ya kutunga uliona wapi ? Sioni points zako zaidi ya chuki na porojo
wewe ni kuwa ku block maana ni takataka. Najua kwa reaction hii unatoka pwani. Ndiyo tabia yenu bladifaken
 
Wewe mpuuzi kumbe, Huyu kaleta habari wewe mbona inakuuma sana na matusi? Rekebisha tabia hiyo. Definitely wewe utakuwa wa dini ile yangu! hasira za nini?
Mpuuzi ni ukoo wako wote na aliyekupa ujinga ...Angalia mfano wako na utajua wewe akili zako zipo matakoni ...hauna hoja zaidi ya kutunga tafuta wapumbavu kutoka ukoo wako ndo uwadanganye .

Unasapot uthenge kama unavyofundishwa huko kwenu then eti alitaka kuoa pwani..usirudie huu uthenge peleka kwa wazazi wako.
 
wewe ni kuwa ku block maana ni takataka. Najua kwa reaction hii unatoka pwani. Ndiyo tabia yenu bladifaken
Fala kama wew una faidi gani? You are just a piece of trash ,you can't reasoning Infront of big brains.

Wapumbavu kama nyie nakula nanyi sahani moja .
 
Ushoga kitovu chake kwa Kenya ni Nairobi. Kuna hadi mashirika ya kutetea mashoga huko Nairobi. Kuna makanisa huko Nairobi wanawakaribisha mashoga.
 
Namshukuru MUNGU kuniumba muislam
Kaungane na wenzako huku
JamiiForums1977886362_682x450.jpg


Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo ya ushoga huwa naona mnapenda sana kuyafatilia na kutaja taja, mko too obsessed, halafu wengi mnayafanya sana ukanda huo wa kuanzia Tanga, Dar hadi Pemba, huko ambapo dini yenu imetamalaki.
Maneno yoote yanaweza kuisha, lakini ukweli katika hili ni kuwa katika pande hizi kuu mbili zinazoshindana, kuna upande unadhalilika siku baada ya siku!!! Kila ukijitahidi kurusha uzushi wake (maana mwingi unakosa ushahidi wa wazi zaidi), ndivyo ruhusa za kufyokolewa maeneo yao zinavyozidi kushamiri........mpaka mamlaka zinafikia kuruhusu maana yake fukuto huko chini lipo muda mrefu sana.

Huko kilimanjaro na arusha ndo hivyo tena...........haya, tuendelee kunywa mtori.
 
Inasemekana hata zamani hizo wakenya ndio walisababisha wazungu watuone ni nyani kutokana na ufinyu wao mdogo wa kufikiri na kufanya mambo ya ajabuajabu ya kihayawani.

Tukianza na hapa jf mtazame MK254 utagundua hayuko sawa kiakili
Hayupo sawa yule jamaa
 
Mwenye majibu ya kitaalam anieleweshe kwanini mambo ya ajab ajab hupatikana zaid Kenya?
1. Yesu kapatikana Kenya
2. Mungu wa Nyonyi,Kenya
3. Kuzini na wanyama,Kenya
4. Wanawake/wake wakorofi, Kenya
5. Kesi ya kuwashitak waliomuua Yesu, Kenya.
6. Sura bandia za kucheka, Kenya
7. etc
7.Wazinzi wamegandiana ...pia habari kama hizi ni Kenya tu
 
Back
Top Bottom