Kenya imetoa ruhusa ya wapenzi wa jinsia moja kujumuika

Kenya imetoa ruhusa ya wapenzi wa jinsia moja kujumuika

Haya mambo ya ushoga huwa naona mnapenda sana kuyafatilia na kutaja taja, mko too obsessed, halafu wengi mnayafanya sana ukanda huo wa kuanzia Tanga, Dar hadi Pemba, huko ambapo dini yenu imetamalaki.
acha uzushi babwabwa we viongozi wenu wa juu wa dini akiwemo papa wenu wanalihalalisha hili na hutujasikia yoyote aliepinga na kauli ya papa huko
 
Wap cocastic ,Culture Me.
Nchi Yetu Soon Itaingia Huko, "King Kong III. Una Maoni gani hapa

Hatari Sana BM ,ila kwa TZ haiwezekani tukaingia maana Mh Rais alishaliweka wazi hili several times hata kwenye mkutano wake na tahiliso alisema wazi tuige mavazi ,technologies na vitu vya maendeleo ila mambo ya "upinde" tuaachane nayo! Kwahiyo TZ tupo kwenye mikono salama ya Mama Mwenye maadili yake,ni bora aendelee kutukamua na maTOZO kuliko tupokee misaada ya masharti ya kukubali U-rainbow.
 
BBC Swahili wanalipoti kuwa mahakama ya juu nchi kenya imeanza vyema kuruhusu wapenzi wa jinsia moja kuwa na haki ya kujumuika hii ni ishara sasa kenya inaelekea kule walipo waliokaaga mwanzo kisha wakakubaliana na hali .

Hili ni tukio baya sana kwa ukanda wetu ambapo ile nguvu moja ya kiafrika ya kukutaa ushoga,usagaji na ndoa za jinsia moja hapa mwenzetu ametusaliti katika mapambano.

Naiomba serikali ya Tanzania usikubali kuingia mkenge kwenye hili ikaze uzi ,izidi kukaza uzi labda sisi na waganda bado tutatoboa maana ndio wanaume halisi tuliobaki



USSR
Mke wa Jo Biden yupo Kenya ziara ya siku 2
 
Mnao support homosexuality , Where do we draw the line?

Mnasema homosexuality is not a mental illness because to quote

"homosexuality per se implies no impairment in judgment, reliability or general social and vocational capabilities."

Na mnasema it's natural, because we've observed homosexuality in animals like lions.

So what about people sexually attracted to children?

What about sleeping with animals?

What about incest? Mzazi na mtoto, kaka na dada? We see animals do it!

Hapo kwenye pedophiles mnaweza kusema it's not right coz mtoto anakuwa hajakua vizuri kiakili hajajitambua,

lakini ni nyie ndo mnasema watoto wanajijua wenyewe kama ni wavulana au wasichana na kuna movements za ku push wazazi waache watoto waamue wenyewe ni jinsia gani,

yaani umezaa mtoto wako wa kiume ana 6yrs aje akwambie mimi I'm not a boy I am a girl, na wewe mzazi unapswa kum support hata kwenda kubadilisha jinsia akitaka.

Nimekuta mahali paedophiles wanataka kutambulika na wao eti mradi mtoto akubali mwenyewe asilazimishwe basi iwe halali!

So what if mtoto wa 12yrs awe na mahusiano na mtu ana 20, 30, 40yrs! Kuna tatizo kwenu? If yes why?

Where do you draw the line on whats acceptable and what's not?
What's right and what's not?
What's natural and what's not?

What would be the ideal world for you?

Where anyone just fu¢¢s anything they meet? Doesn't matter the sex, age, relationship, species?

Nauliza with genuine concern I'll appreciate anyone who answers!
Mabwabwa hawana morals wanajiendea tu... upande huu wanahalalisha upande wa pili wanaharamisha. Unasema at the age of 6 mtoto aamue jinsia the kakipigwa kitu unadai bado mdogo una m R Kelly... wakikujibu ni tag.
 
Mnao support homosexuality , Where do we draw the line?

Mnasema homosexuality is not a mental illness because to quote

"homosexuality per se implies no impairment in judgment, reliability or general social and vocational capabilities."

Na mnasema it's natural, because we've observed homosexuality in animals like lions.

So what about people sexually attracted to children?

What about sleeping with animals?

What about incest? Mzazi na mtoto, kaka na dada? We see animals do it!

Hapo kwenye pedophiles mnaweza kusema it's not right coz mtoto anakuwa hajakua vizuri kiakili hajajitambua,

lakini ni nyie ndo mnasema watoto wanajijua wenyewe kama ni wavulana au wasichana na kuna movements za ku push wazazi waache watoto waamue wenyewe ni jinsia gani,

yaani umezaa mtoto wako wa kiume ana 6yrs aje akwambie mimi I'm not a boy I am a girl, na wewe mzazi unapswa kum support hata kwenda kubadilisha jinsia akitaka.

Nimekuta mahali paedophiles wanataka kutambulika na wao eti mradi mtoto akubali mwenyewe asilazimishwe basi iwe halali!

So what if mtoto wa 12yrs awe na mahusiano na mtu ana 20, 30, 40yrs! Kuna tatizo kwenu? If yes why?

Where do you draw the line on whats acceptable and what's not?
What's right and what's not?
What's natural and what's not?

What would be the ideal world for you?

Where anyone just fu¢¢s anything they meet? Doesn't matter the sex, age, relationship, species?

Nauliza with genuine concern I'll appreciate anyone who answers!

Hii kitu imenifungua kitu aisee
 
Mnao support homosexuality , Where do we draw the line?

Mnasema homosexuality is not a mental illness because to quote

"homosexuality per se implies no impairment in judgment, reliability or general social and vocational capabilities."

Na mnasema it's natural, because we've observed homosexuality in animals like lions.

So what about people sexually attracted to children?

What about sleeping with animals?

What about incest? Mzazi na mtoto, kaka na dada? We see animals do it!

Hapo kwenye pedophiles mnaweza kusema it's not right coz mtoto anakuwa hajakua vizuri kiakili hajajitambua,

lakini ni nyie ndo mnasema watoto wanajijua wenyewe kama ni wavulana au wasichana na kuna movements za ku push wazazi waache watoto waamue wenyewe ni jinsia gani,

yaani umezaa mtoto wako wa kiume ana 6yrs aje akwambie mimi I'm not a boy I am a girl, na wewe mzazi unapswa kum support hata kwenda kubadilisha jinsia akitaka.

Nimekuta mahali paedophiles wanataka kutambulika na wao eti mradi mtoto akubali mwenyewe asilazimishwe basi iwe halali!

So what if mtoto wa 12yrs awe na mahusiano na mtu ana 20, 30, 40yrs! Kuna tatizo kwenu? If yes why?

Where do you draw the line on whats acceptable and what's not?
What's right and what's not?
What's natural and what's not?

What would be the ideal world for you?

Where anyone just fu¢¢s anything they meet? Doesn't matter the sex, age, relationship, species?

Nauliza with genuine concern I'll appreciate anyone who answers!

Umenifungua kitu hapo ila utuuzima n kuanzia 15 yrs kwa sasa naona wao wanapinga kufanya mapenz na mtt mdogo
 
Kenya walisharuhusu biashara ya wanawake kujiuza so hata hili sio la ajabu kwao
 
BBC Swahili wanalipoti kuwa mahakama ya juu nchi kenya imeanza vyema kuruhusu wapenzi wa jinsia moja kuwa na haki ya kujumuika hii ni ishara sasa kenya inaelekea kule walipo waliokaaga mwanzo kisha wakakubaliana na hali .

Hili ni tukio baya sana kwa ukanda wetu ambapo ile nguvu moja ya kiafrika ya kukutaa ushoga,usagaji na ndoa za jinsia moja hapa mwenzetu ametusaliti katika mapambano.

Naiomba serikali ya Tanzania usikubali kuingia mkenge kwenye hili ikaze uzi ,izidi kukaza uzi labda sisi na waganda bado tutatoboa maana ndio wanaume halisi tuliobaki



USSR


Mishoga mikubwa nyie MK254.
 
Kuna wakati unakosa hata lakusema
Yaan mwanaume anamuowa mwanaume![emoji2955][emoji2955][emoji2955]


Hakika mungu sio [mention]kelphin [/mention]
 
Hivi unaanzaje kutamani njemba km ww
Screenshot_2023-02-09-14-00-08-04.jpg
 
Na yule wanaharakati wa juzi si wa kenya leta mwanaharakati anatokea izo kanda ? Kama wewe unavyotetea mashoga wenzio unatumia nguvu.

Huyo mwanaharakati alijaribu huo upuzi wenu kwenye mikoani yakamkuta...
 
Back
Top Bottom